Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Nimekununulia ya mtumbaSwali ndo Hilo jamaa:
Jaman kama sio mwanaume, usikuje, tuwaache wanaume marijali Tu wajibu hili swali
πΆπΆπΆπΆπΆπΆπΆπΆ
View attachment 1449461
ππππππ Acha uhuni bwanaaπππSi zinatumika kama barakoa sahivi..
Hahahahahahah, Shem Mungu anakuoooona πΆπΆNimekununulia ya mtumba
Shem umenikimbia WhatsApp, unaitwa na KakakoπΆπΆπΆMoney Penny... Shem Tuchati
Kama ni wewe umefumaniwa je?!
Doh hata kama ni Mimi nakupigiaπππTumbo la kuhara lilinikaba sana leo kazini, nilipoingia Toilet sikuangalia vizuri pale nilipoweka simu.... Kumbe palikuwa na hii chupi? Ooohhwkey baby! Sorry sana maana nilipomaliza kujisaidia nilichukua simu na kuweka mfukoni, kumbe niliweka na hii chupi. Sorry sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ Akyanani, umewekewa kwaa koti jamaaπππ
Ndoroooboe ππππππNamwambia atulie tu kwa sababu haiishi....... itaendelea kuwa yake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mwanamke WA Uganda au Tanzania?! ππNajiangusha chini na kujifanya nimezimia, halafu yeye ataninyanyua huku akiwa na majonzi...baada ya dakika 3 najifanya kuzinduka,na kuchapa mzigo kwa mbwa staili.
Hapana nauliza Tu kama bwashee ndio keshakamatwa hivi ingekuwa NI wewe ungejiteteaje?!πΆπΆπΆNimeukumbuka ule wimbo wa 'Wasn't me' wa Shaggy.
Anyways, mtoa mada unataka kujibadilishia jinsi uwe mwanaume?
Sent using Jamii Forums mobile app