Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ huyu mkeo labda awe anaishi Buza! πŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
ukali upo wapi sasa hapo πŸ™„πŸ™„
 
Kesi ndogo sana hiyo,kwanza najifanya siijui pili najifanya kama kuna vibaka wameniibia hela na leso then wakaniwekea hiyo chupi,najifanya nimepaniki sana kuibiwa hela
 
Kesi ndogo sana hiyo,kwanza najifanya siijui pili najifanya kama kuna vibaka wameniibia hela na leso then wakaniwekea hiyo chupi,najifanya nimepaniki sana kuibiwa hela
bora ungerudi na vidonda au ningekuja kukutoa polisi, bila vidonda hakuna mwanamke anaekuelewa
 
du! mkeo labda awe anatokea mkoa! πŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈπŸšΆβ€β™€οΈ

Kwani mkoa hakuna akili au akili zipo dsm tu, hapo mi nshasema hutaki basi labda iwe ina utoko kama haina, mwenyewe sielewi wenye wivu wamenimbikia, nasingizia kisa cha fasta niliacha koti sehemu kisa joto, nampanga hata kaunta wa bar au grocery yoyote mpaka ukome na umbea wako ataomba msamaha mpaka uamini namtoa 15 au 20
 
😁😁😁 I won't buy this crap
 
Kiru πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ ndoroooboe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…