Swali la Wanaume Tu: Wanaume Mkifumaniwa huwa mnamalizanaje na wapenzi wenu?

Write your reply...HUYU JOHN ANATAKA ANIHARIBIE NDOA YANGU SHENZI TAIP !! UNAJUA NINI WAIFU NILIMUAZIMA KOTI JAMAA AENDE KWAKE KUBADILISHA SHATI LAKE BAADA YA KUMWAGIWA NA MAJI YA DIMBWI NA GARI NILIKUTANA NAE NJIANI NADHANI HUKO KWAKE KAFANYA UJINGA NDO KASAHAU KAWEKA KUFULI YA DEMU WAKE
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nampiga na dera/dira
Nampiga na kitenge
Baadaye nampiga na 50000/=USONI.


Ishatoka hiyooo tunakuwa kama tunaanza upya kutongozana.
 
Nampiga na dera/dira
Nampiga na kitenge
Baadaye nampiga na 50000/=USONI.


Ishatoka hiyooo tunakuwa kama tunaanza upya kutongozana.
Woyoooooooo πŸ”₯ Kwa mara ya kwanza nimejibiwa vizuri, kibiinaadam, asante
 
kwanza unakuwaje duanzi mpaka kufuli libaki kwako?????? ok in reply.....lazima niwe mang'aa...nageuza kibao 100%, liwalo liwe.......yaani umeamua kuniwekea chupi ili unidhalilishe....kwanza kwenye koti langu ulikuwa watafuta nn.......toka huko na kidhibiti feki......ila lazima uwe makini....anaweza kutoboa macho.......wako hatari kwenye scene hiyo....
 
DuπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸ™„
 
Nampiga biti hili
"pumbavuu hivi we mwanamke nimekukosea nn...yaani mpaka unafikia hatua ya kuniendea kwa waganga!!! sasa kwa taarifa yako chupi yako hiyo na mabegi yako yote sepa nayo..kawaroge hao hao..."

(Kisha naingia zangu chimbani kujifukiza)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…