Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
πππππWrite your reply...HUYU JOHN ANATAKA ANIHARIBIE NDOA YANGU SHENZI TAIP !! UNAJUA NINI WAIFU NILIMUAZIMA KOTI JAMAA AENDE KWAKE KUBADILISHA SHATI LAKE BAADA YA KUMWAGIWA NA MAJI YA DIMBWI NA GARI NILIKUTANA NAE NJIANI NADHANI HUKO KWAKE KAFANYA UJINGA NDO KASAHAU KAWEKA KUFULI YA DEMU WAKE
Unaitwa na Mchungaji kule anashitakiwa na Muumini, unamsaidiaje?!Mimi nikihisi tu acha ile kufumania...to hell na pesa zako
Anyway swali ni kwa wanaume
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya
Woyoooooooo π₯ Kwa mara ya kwanza nimejibiwa vizuri, kibiinaadam, asanteNampiga na dera/dira
Nampiga na kitenge
Baadaye nampiga na 50000/=USONI.
Ishatoka hiyooo tunakuwa kama tunaanza upya kutongozana.
Swali ndo Hilo jamaa:
Jamani kama sio mwanaume, usikuje, tuwaache wanaume marijali tu wajibu hili swali
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
View attachment 1449461
Sauwa
Duπππππππkwanza unakuwaje duanzi mpaka kufuli libaki kwako?????? ok in reply.....lazima niwe mang'aa...nageuza kibao 100%, liwalo liwe.......yaani umeamua kuniwekea chupi ili unidhalilishe....kwanza kwenye koti langu ulikuwa watafuta nn.......toka huko na kidhibiti feki......ila lazima uwe makini....anaweza kutoboa macho.......wako hatari kwenye scene hiyo....
Du πππππMachinga wa Buza washenzi kweli Nilinunua Barakoa kumbe wameniwekea Chupi...hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha na Hapo sitoboi tuDu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui imetoka wapi akiendelea makofi siku inapita