Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Mtaongea lugha zote kkenge nyie wavuruga amani ya nchiLazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...
Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?