Swali la Wiki: Walidanganya, Walidanganywa, Walijidanganya, Walidanganyana, au Wanadanganya?

Swali la Wiki: Walidanganya, Walidanganywa, Walijidanganya, Walidanganyana, au Wanadanganya?

Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Mtaongea lugha zote kkenge nyie wavuruga amani ya nchi
 
Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Mnajidanganya danganya bure.Angalieni mtadanganyika.
 
Unajuwa alama za kunukuu? (Quotation marks)?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wewe nawe unajichetua bila ya sababu.

Hayo maneno ya Kiingereza uliyoyawekea fungua na funga semi hayana Kiswahili chake?

Au kunukuu kumekuwekea kuta za kuzuia kutumia Kiswahili?

Zaidi ya yote mimi sikusoma.
 
Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
waliokuwa WANASIMAMA majukwaani na kutuhakikishia IMEUZWA, Sasa wamegeuka. Toka jana nimeanza kuwasikia wakiseme wanataka waelezwe UKWELI sababu "WANASIKIA" imeuzwa mara imebinafsishwa mara imekodishwa. Yaani sasa hanajidai hawana uhakika na walichokuwa wakiwaaminisha wananchi ktk mikutano yao.
 
Wewe nawe unajichetua bila ya sababu.

Hayo maneno ya Kiingereza uliyoyawekea fungua na funga semi hayana Kiswahili chake?

Au kunukuu kumekuwekea kuta za kuzuia kutumia Kiswahili?

Zaidi ya yote mimi sikusoma.
Hata maana ya neno unajichetua" siielewi.

Hii "platform" ya jF yenyewe ukiisoma imeandikwa Kingereza. Kama ni wepesi ingewekwa yote kwa Kiswahili.
 
Back
Top Bottom