Swali la Wiki: Walidanganya, Walidanganywa, Walijidanganya, Walidanganyana, au Wanadanganya?

Swali la Wiki: Walidanganya, Walidanganywa, Walijidanganya, Walidanganyana, au Wanadanganya?

Uislam siyo dini ya kigeni, ndiyo dini ambayo kila mmoja wetu anazaliwa nayo. Hata wewe.
Samahani, ukitoa kukaririshwa pia kuna kutumia akili yako ya kuzaliwa, yaani unatumia akili ya kawaida kupima ,kuchambua na kuamua. Wewe unaona hiyo inawezekana????

Miongoni mwa nguzo kuu za uislamu ni kutoa shahada. Naomba ufafanuzi wa kina kuwa Adam alitoa shahada na anamfahamu Muhammad.

Profession of Faith (shahada)

The belief that "There is no god but God, and Muhammad is the Messenger of God" is central to Islam.

(https://www.metmuseum.org › learn › educators › unit-one)

Nb: Usitumie hadithi. Si unafahamu maana ya hadithi???? Hadithi njoooooo......uongo...........
 
Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
😂😂😂😂
Bwana wa Chadema hajajibu Bado?
 
Samahani, ukitoa kukaririshwa pia kuna kutumia akili yako ya kuzaliwa, yaani unatumia akili ya kawaida kupima ,kuchambua na kuamua. Wewe unaona hiyo inawezekana????

Miongoni mwa nguzo kuu za uislamu ni kutoa shahada. Naomba ufafanuzi wa kina kuwa Adam alitoa shahada na anamfahamu Muhammad.

Profession of Faith (shahada)

The belief that "There is no god but God, and Muhammad is the Messenger of God" is central to Islam.

(https://www.metmuseum.org › learn › educators › unit-one)

Nb: Usitumie hadithi. Si unafahamu maana ya hadithi???? Hadithi njoooooo......uongo...........
Hivi vihoja vyenu kila mkielimishwa bado mnang'ang'ana tu!.. uislam ni Imani juu ya Mungu mmoja muumba wa kila kitu,kuamini akitumia mitume kila zama na Kuna maisha baada ya kifo ili watu walipwe kwa matendo yao,kutoa shahada ni kama kununua kadi ya uanachama ili wenzio wakutambue
 
Wewe mzee siku nyingi sijakuona mpaka ikawa nakuulizia.Nilidhani umeenda.Lakini sasa umeibukia bandarini.Sijui kama una uwezo tena wa kuogolea mpaka ufukweni.
Kaibuka baada ya padri kutiwa rumande
 
Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
RA ni suspect no. 1 wa kuwaingiza wenzake choo cha kike.
 
Samahani, ukitoa kukaririshwa pia kuna kutumia akili yako ya kuzaliwa, yaani unatumia akili ya kawaida kupima ,kuchambua na kuamua. Wewe unaona hiyo inawezekana????

Miongoni mwa nguzo kuu za uislamu ni kutoa shahada. Naomba ufafanuzi wa kina kuwa Adam alitoa shahada na anamfahamu Muhammad.

Profession of Faith (shahada)

The belief that "There is no god but God, and Muhammad is the Messenger of God" is central to Islam.

(https://www.metmuseum.org › learn › educators › unit-one)

Nb: Usitumie hadithi. Si unafahamu maana ya hadithi???? Hadithi njoooooo......uongo...........
Unavyo viongelea huvifahamu. Unachotakiwa ukielewe kwanza kabisa, ni nini maana ya Uislam?


Ukiielewa maana ya neno Uislam, utajikuta wewe ni Muislam usiyejielewa kuwa u Muislam.

Tuanzie hapo kwenye msingi kabla ya kuingia kwenye details za nguzo, huwezi kupandish nguzo kama hazina msingi.

Kushahahadia ni moja katika nguzo tano za Uislam.
 
Hata maana ya neno unajichetua" siielewi.

Hii "platform" ya jF yenyewe ukiisoma imeandikwa Kingereza. Kama ni wepesi ingewekwa yote kwa Kiswahili.
Usiwe unajibu vijembe dhidi yako, unajiongezea mahasimu humu. Waafrika hatunaga akili!... wachache tunaijua hiyo hali na kuikubali na kujitahidi kukabiliana nayo na kuiepuka. Mtu ukimuona yuko against na wewe mpotezee! Ni WAPUMBAVU TU!
 
Kwa mwamposa wanaoenda kuchukua mafuta wengi ni waislamu
We unawajua waislam wewe?! Muislam mwenye kujitambua na kusimamisha dini na kuijua historia na mwenye kufuata sharti zote za Uislam huwezi kumuona pale. Wengi wanaoenda pale ni chokambaya wanatafuta ahueni za maisha na hawajijui namna ya kujikwamua. Huyo mwamposa wenu aliwahi kumset mtu akamlipa pesa aseme yeye na mkewe wametokea ZnZ wamekuja kwake kufata tiba, unajua ukweli halisi nyuma ya ule mchezo?! Wacha kuropoka! Huwezi kuwaona waislam pale!
 
Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Things fall apart!
 
ni nini maana ya Uislam?

Ukiielewa maana ya neno Uislam, utajikuta wewe ni Muislam usiyejielewa kuwa u Muislam.
Uislam: Kunyenyekea, kutii,kujitoa kwa ajili ya matakwa au amri ya Mungu.(Tafsiri isiyo rasmi)

Islam means “submission to the will of God”; adherents of Islam are called Muslims. The fundamental belief of Islam is “There is only one God, and Muhammad is his prophet.”

(https://www.dictionary.com › browse › islam)

Hivi vitu unakuwa navyo toka tumboni??????

Nb: Tumia akili ya kawaida na siyo ya kukariri
 
Usiwe unajibu vijembe dhidi yako, unajiongezea mahasimu humu. Waafrika hatunaga akili!... wachache tunaijua hiyo hali na kuikubali na kujitahidi kukabiliana nayo na kuiepuka. Mtu ukimuona yuko against na wewe mpotezee! Ni WAPUMBAVU TU!
Tena siyo hamna akili tu, tafiti zinaonesha kila watu watano basi wanne ni vichaa tTanzania hii. hiyo ni 80% ya Watanzania.

Kama wewe ni mjinga utakumbana na wenzako wehu kabisa. Kumbuka hilo.
 
Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...

Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Walidanganyana
 
Back
Top Bottom