Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Mtaongea lugha zote kkenge nyie wavuruga amani ya nchiLazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...
Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Kwa ivo Hiyo mitaala ya Kiingereza imekifuta Kiswahili kichwani mwako?Nilisoma mitaala ya Muingereza.
Endelea kuona tu.Bado haujamalizana tu! Naona statement moja unaijibujibu.
Na hapa na wewe nawasiliana kwa lugha gani?Kwa ivo Hiyo mitaala ya Kiingereza imekifuta Kiswahili kichwani kwako?
Nazungumzia ulipochomekea Kiingereza.Na hapa na wewe nawasiliana kwa lugha gani?
Na ni uzandiki mkubwa! 😅Uhaini huu
Unajuwa alama za kunukuu? (Quotation marks)?Nazungumzia ulipochomekea Kiingereza.
Kama hujaelewa Kaa kimya. Ameongea kwa kina sana.Unajimix kama Mpoto ili uonekane unatoa nondo kumbe hamna kitu.
Hayo yamekujaje sasa hapa...?! Wacha UPUMBAVU WEWE!!Andika na kiarabu basi sio kile cha kwenye Qur'an
Mnajidanganya danganya bure.Angalieni mtadanganyika.Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...
Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Wamekuja na msemo wanaofikiri utawatoa kwenye mtanzukoWalidanganywa na kuhadaiwa kwa wakati mmoja.
Uzuri wamejua walidanganywa
Wewe nawe unajichetua bila ya sababu.Unajuwa alama za kunukuu? (Quotation marks)?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
waliokuwa WANASIMAMA majukwaani na kutuhakikishia IMEUZWA, Sasa wamegeuka. Toka jana nimeanza kuwasikia wakiseme wanataka waelezwe UKWELI sababu "WANASIKIA" imeuzwa mara imebinafsishwa mara imekodishwa. Yaani sasa hanajidai hawana uhakika na walichokuwa wakiwaaminisha wananchi ktk mikutano yao.Lazima jibu lipo mahali. Kuna mtu hasemi ukweli na katika kujitahidi kutokusema ukweli ametafuta maneno mazito matamu anayotaka yakubalike kama ukweli. Kuna watu wameshtukia na sasa wanang'aka! Wanaona kama wamezugwa, wameingizwa mjini au kwenye kile choo maarufu...
Mimi ninalo jibu langu...wewe je? Nani anamdanganya nani?
Wakishindwa hoja hukimbilia "Mwarabu" "udini" "mdini" "mswahili" "mzanzibari" "mpemba" 'madrasa".Hayo yamekujaje sasa hapa...?! Wacha UPUMBAVU WEWE!!
Kina wapi. Watu hujidai kuongea kwa "kina" ili waonekane smart kumbe wanafunua maujinga yao. Sema vichwa maji wenzao huwa wanawashika. Ukiona mtu analazimisha "ukina" kama Mpoto na huyu mwanakijiji jua hamna kitu ni utapeli tu.Kama hujaelewa Kaa kimya. Ameongea kwa kina sana.
Waliokamatwa...Wakishindwa hoja hukimbilia "Mwarabu" "udini" "mdini" "mswahili" "mzanzibari" "mpemba".
Wasikusumbuwe, ndiyo upeo wao ulipoishia.
Hata maana ya neno unajichetua" siielewi.Wewe nawe unajichetua bila ya sababu.
Hayo maneno ya Kiingereza uliyoyawekea fungua na funga semi hayana Kiswahili chake?
Au kunukuu kumekuwekea kuta za kuzuia kutumia Kiswahili?
Zaidi ya yote mimi sikusoma.
Eti eenh!!Hata maana ya neno unajichetua" siielewi.
Hii "platform" ya jF yenyewe ukiisoma imeandikwa Kingereza. Kama ni wepesi ingewekwa yote kwa Kiswahili.