Swali la Wiki: Walidanganya, Walidanganywa, Walijidanganya, Walidanganyana, au Wanadanganya?

Wewe mzee siku nyingi sijakuona mpaka ikawa nakuulizia.Nilidhani umeenda.Lakini sasa umeibukia bandarini.Sijui kama una uwezo tena wa kuogolea mpaka ufukweni.
 
Lisemwalo lipo na kama halipo laja
... Nimefuta.
 
Kina wapi. Watu hujidai kuongea kwa "kina" ili waonekane smart kumbe wanafunua maujinga yao. Sema vichwa maji wenzao huwa wanawashika. Ukiona mtu analazimisha "ukina" kama Mpoto na huyu mwanakijiji jua hamna kitu ni utapeli tu.
Tena huyu mleta mada anayejiita Mzee Mwanakijiji ndiyo bomu kabisa, bado ana deni jukwaa la Historia kwa Alama Mohamed Said, walikuwa na kikundi chao wakaahidi wataandika kitabu kupinga kitabu cha Mohamed Said matokea yake mpaka leo hakuna kitabu wala kijarida.

Na hata yeye na Yericko Nyerere walipojidai kuandika waliiba maandiko ya Mohamed Said bila kumnukuu wala kumpa heshima ya "citation".

Tunawajuwa hawa, ni "Islamophobes".
 
Udini umekuathiri kwa kiwango kikubwa sana.

Kumbuka hizi dini zimeletwa na wageni. Ni ukoloni tu ndio unakufanya unabagua ndugu zako😆😆
 
Sifahamu kuhusu uislamophobes wao. Lakini ni wazi kuwa Mzee Said ni mwanazuoni wa kweli na huyu Mwanakijiji na Yericko ni wanazuoni feki tu.
 
Kitabu cha historia huandikwa kwa ushahidi.Hao.Mohamed Said alipozaliwa alikuta ushahidi nyumbani na familiani kwao.Mwanakijiji watapata wapi vitu hivyo.Wakikosa wakaandika itakuwa ni uzushi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…