Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeenda nchi za wazungu ingekuwa hamna tatizo?HUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Kila mmoja asali kwa Nafsi.. hakika nawambia Watanganyika.HUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Si kwaoHUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Kawaida tu, Mjomba alibanwa na mafuaHUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Marahabaa.Jf, shikamoo.
Anaenda mara kwa mara home kwao kama alivyokuwa anafanya Magufuli kwenda ChatoKila mmoja asali kwa Nafsi.. hakika nawambia Watanganyika.
NilizAnia utani, ila kumbe yuko Serious.
Ni kuchezea pesa za umma tupuAnaanza kuogopa safari zake tusiziweke kwenye kumbukumbu kama la yule Vasco
kabisa, waarabu, hapana kabisa,Angeenda nchi za wazungu ingekuwa hamna tatizo?
Mobhare Matinyi ndio nani?
Ataendelea kwenda huko hadi 2030 sasa itakuwaje?kabisa, waarabu, hapana kabisa,
Umma una pesa? Ziko wapi na mimi nizifate?Ni kuchezea pesa za umma tupu
Uko nyuma ya muda sana mkuu, kimsingi hukutakiwa hata uwepo hapa jf.Mobhare Matinyi ndio nani?