granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
hata sijui itakuweje maana hata nguvu ya kumzuia ninayo basi chief, me ni kibodi woria tu.Ataendelea kwenda huko hadi 2030 sasa itakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata sijui itakuweje maana hata nguvu ya kumzuia ninayo basi chief, me ni kibodi woria tu.Ataendelea kwenda huko hadi 2030 sasa itakuwaje?
Acha ujinga wewe mujahidinaUmma una pesa? Ziko wapi na mimi nizifate?
Pumbavuhata sijui itakuweje maana hata nguvu ya kumzuia ninayo basi chief, me ni kibodi woria tu.
Kwamba, ni mzaliwa wa huko?Si kwao
Unaonekana unanijua sana!Niko nyuma ya muda eeh,acha dharau za kijinga,mimi ni mtu kama wewe thamini utu wangu kama unavyomthamini baba yako.Uko nyuma ya muda sana mkuu, kimsingi hukutakiwa hata uwepo hapa jf.
mkuu sasa unanitukania nn? unajua mantiki ya mm kumjibu huyo jamaa hvo?Pumbavu
Unaonekana ni mtu wa kujikweza sana wewe kwa taarifa yako,JISHUSHE.hata sijui itakuweje maana hata nguvu ya kumzuia ninayo basi chief, me ni kibodi woria tu.
Binafsi nadhani kuna connection ya kindugu na kidini, ndiyo maana anaenda sana huko, na ninadhani anaipambania ZanzibarHUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
sasa mkuu kukuambia uko nyuma ya muda ni kuvunja utu wako, unaelewa maana ya kuvunja utu wa mtu? basi mkuu nisamehe kama nimevunja utu wako.Unaonekana unanijua sana!Niko nyuma ya muda eeh,acha dharau za kijinga,mimi ni mtu kama wewe thamini utu wangu kama unavyomthamini baba yako.
Huna lolote kj tuu wewe!Umkuu sasa unanitukania nn? unajua mantiki ya mm kumjibu huyo jamaa hvo?
Na hata hivyo hulazimiki kumjua! By the way who is Matinyi?Unaonekana unanijua sana!Niko nyuma ya muda eeh,acha dharau za kijinga,mimi ni mtu kama wewe thamini utu wangu kama unavyomthamini baba yako.
Angeenda Vatican ungeuliza hili swali?HUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Kumbe "Unadhani" nlifikiri "Unajua"Binafsi nadhani kuna connection ya kindugu na kidini, ndiyo maana anaenda sana huko, na ninadhani anaipambania Zanzibar
Hao wote hawana maana,hakuna mtu mweupe mwenye mapenzi mema na mtu mweusi hao wazungu wanataka ukubali ushoga waarabu wanataka uwe manamba wao.kabisa, waarabu, hapana kabisa,
Nimekusamehe ila lugha yako ni ya kibaguzi kwamba sistahili kuwepo jf,Mobhare Matinyi ni mkuuwa wilay ma ya Temeke,sio wote wanaojua hivyo.Kwa msaada wa wengi ilipaswa aeleze hivyo na sasa kbadilishwa nafasi!Wewe unaenda mbali kwamba niko nyuma na sifai kuwa jf!Ndo maana nimekwambia,unaonekana unanijua sana!Si kwa dharau huzo!sasa mkuu kukuambia uko nyuma ya muda ni kuvunja utu wako, unaelewa maana ya kuvunja utu wa mtu? basi mkuu nisamehe kama nimevunja utu wako.
sasa mkuu ningekuwa mtu wa kujikweza si ningesema nina uwezo wa kumzuia sa100 asiwe na mafungamano na nchi za kiarabu, ndo nikasema uwezo huo sina, me ni kibodi woria tu chief.Unaonekana ni mtu wa kujikweza sana wewe kwa taarifa yako,JISHUSHE.
Ndo hapo sasa!Na hata hivyo hulazimiki kumjua! By the way who is Matinyi?