Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

Uko nyuma ya muda sana mkuu, kimsingi hukutakiwa hata uwepo hapa jf.
Wengine wapo JF mahususi Kwa ...Kula tunda kimasihara,Jf Usiku wa Manane,Wanaodhani wamepungukiwa nguvu za Kiume, Timu Wema,Kiba,Diamond .Harmonize nk!
 
mkuu sasa na wewe unakuwa kilaza sasa, kwa hyo nikishapata kazi ikulu ndo nitakuwa na mamlala ya kumpangia rais safari, mkuu unajua mamlaka aliyonayo rais wetu kwa mujibu wa katiba ya 1970?
Katiba ni ya mwaka 1977 mkuu. Ni hilo tu.
 
Chuki zako tu nilijua hata una sababu za msingi.

Huko ulaya unakokuabudi wazungu wanawapa tenda hawa waarabu unaowachukia wewe.
waarabu wana hela ila hawana ujuzi, hzo kampuni zao zinaendeshwa na wazungu, kamuulize MBS, vikao vya siri anavofanyaga na akina elon ni vya nn?
 
si muhimu,
halazimikuki kukujulisha au kutokukujulisha.

unawezajulishwa au unaweza usijulishwe hiyo ni hiari yake ilmradi gharama za za jumla za safari za Rais zilisha pitishwa kitambo.
Mkuu
Kwa hiyo bajeti ikipitishwa anachukulia wapi hayo masurufu?

Jitahidi kutumia tembe ili kupunguza wasio na stamina za bolungata mitaani
 
Waarabu walikupa talaka kwa kosa gani ukajenga hiyo chuki?
nilioa mwarabu wakawa wanakuja kwangu nakosa hata amani, yaani hawana ustaarabu wanaingia mpaka chumbani kwangu tena watu wazima kabisa, wake kwa waume, halafu si unajua tena waliwauza sana babu zetu utumwani hawa,
 
Wengine wapo JF mahususi Kwa ...Kula tunda kimasihara,Jf Usiku wa Manane,Wanaodhani wamepungukiwa nguvu za Kiume, Timu Wema,Kiba,Diamond .Harmonize nk!
Mkuu temana na hii ishu , jamaa kamind nimeshamuomba msamaha lkn, na yeye kanisamehe kiroho safi.
 
Back
Top Bottom