Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

Umma una pesa? Ziko wapi na mimi nizifate?
Mtetezi wa mafisadi, unamuabisha Mtume Muhamad (محمد بن عبد الله بن عبد ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ)
 
Tuweke kipengele kwenye katiba Rais akitaka kwenda nje ya nchi atangaze kwa Watanzania wote na lazima 51% waridhie
Nadhani kipengele hiki kitasaidia sana kulinda Maliasili zetu dhidi ya Mabedui wa Uarabuni
 
Akienda Kwa Wazungu hamna noma yeyote.Hao Wazungu wenyewe wanazitamani pesa ya muarabu ficheni basi hata ujinga wenu kidogo.
waarabu wana hela ila hawana ujuzi, tunataka ujuzi hatutaki hela, viongozi wa china walikuwa wanaenda ulaya na amerika na kupenyeza vijana wao kuiba ujuzi,(tekinolojia) wa kwetu wanaenda ulaya kupiga picha na akina 50cent.
 
Labda uliolewa,unaonekana pangu pakavu ndio maana una kinyongo,wazungu hawakuwauza? Hao babu zenu waliuzana wao kwa wao,soma historia acha kushinda kwenye kijiwe chenu cha bodaboda.
hapana mkuu sikuolewa, nilioa tena msikitini babisa na cheti nikapewa. wasingekuwa na wateja wangemuuzia nani?
 

Attachments

  • Screenshot_20230927_200243.jpg
    Screenshot_20230927_200243.jpg
    46.4 KB · Views: 1
Tuweke kipengele kwenye katiba Rais akitaka kwenda nje ya nchi atangaze kwa Watanzania wote na lazima 51% waridhie
Nadhani kipengele hiki kitasaidia sana kulinda Maliasili zetu dhidi ya Mabedui wa Uarabuni

kwa raisi huyu itabidi muweke vipengele vingi sana, usisahahu siye raisi tuliyemchagua kwa maana ya kumchuja na kumptisha ndiyo maana kila anachofanya hakiko sawa na , hamna haya wala huruma …
 
waarabu wana hela ila hawana ujuzi, tunataka ujuzi hatutaki hela, viongozi wa china walikuwa wanaenda ulaya na amerika na kupenyeza vijana wao kuiba ujuzi,(tekinolojia) wa kwetu wanaenda ulaya kupiga picha na akina 50cent.
 
Back
Top Bottom