Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
mama anatupambania sana hamjui tuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti mbona povu? Mumeo kachepuka?We ajuza kuwa na adabu kidogo unaulizwa mambo ya msingi hapa unaishia kutukana.
We kama umeolewa na hao makobazi kaa utulie ulee ndoa yako we mama
Ungejua ofisi ni nini usingeuliza lile swali.Unauliza swali badala ya kujibu swali anyway yaishe.
Doha 2 October 2023
Mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan awasili Doha, Qatar kwa ajili ya International Horticultural Expo 2023 Doha
View attachment 2769809
Picha na habari : Rais Samia Hassan na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje wa Qatar mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater
HABARI KAMILI :
Doha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewasili jumatatu 02 October 2023 mjini Doha kuhudhuria ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo cha Mbogamboga na Maua 2023 Doha.
Mheshimiwa rais , pamoja na ujumbe aliofuatana nao, walikaribishwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamad na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje mheshimiwa Lolwah bint Rashid Al Khater
President of Tanzania arrives in Doha
Doha: President of the United Republic of Tanzania HE Samia Suluhu Hassan arrived on Monday in Doha to attend the opening ceremony of the International Horticultural Expo 2023 Doha.
Her Excellency and the accompanying delegation were welcomed upon arrival at the Hamad International Airport by Minister of State for International Cooperation at the Ministry of Foreign Affairs HE Lolwah bint Rashid Al Khater.
More info :
Media Launch to announce Ghana's participation in the International Horticultural Expo 2023 in Doha.
Uzinduzi wa Vyombo vya Habari kutangaza ushiriki wa Ghana katika Maonyesho ya Kimataifa ya Kilimo cha Maua 2023 huko Doha.
View: https://m.youtube.com/shorts/RYcLs803HRU
Je. Ni kweli kaondoka kimya?Umma una pesa? Ziko wapi na mimi nizifate?
Jibu swali dada,Kaa utulie we mke wetu kazi yako ule tende halua utuimbie taarabu tu kenge wee
PumbavuBinti mbona povu? Mumeo kachepuka?
Au leo kakukata malinda?
PumbavuJibu swali dada,
Mumeo leo kakutindua malinda? Naona povu kama lote,kakuchana sana sio?
Choko mbona unaanza kuona aibu mapema hivi? Jibu swali basi kama kakuchana linda tukutafutie tiba ikiwa bado ni mapema,kumbe na mamako nae kaliwa? Mbona unaanza kutoa mpaka siri za ndani tena?We punga watu wanamtindua kisoda mamaako na hawasemi hapa acha ujinga we kunguru
Acha kujipendekeza wewe,unajilengesha,mimi sitafuni mapunga,rudi kwa mumeo.Pumbavu
Kweli kabisaa 1,000,000%kwa raisi huyu itabidi muweke vipengele vingi sana, usisahahu siye raisi tuliyemchagua kwa maana ya kumchuja na kumptisha ndiyo maana kila anachofanya hakiko sawa na , hamna haya wala huruma …
duuuhAnaenda mara kwa mara home kwao kama alivyokuwa anafanya Magufuli kwenda Chato
Naunga mkono hoja 👍👏Kila mmoja asali kwa Nafsi.. hakika nawambia Watanganyika.
NilizAnia utani, ila kumbe yuko Serious.
Ameenda Kujifunza Kilimo cha Mboga Mboga JangwaniHUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?