kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Kimyakimya ndio zao hawa wapigaji maana na huyo kakamtu wake zenji wapinzani wanadai anapiga za chinichini.😂🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimyakimya ndio zao hawa wapigaji maana na huyo kakamtu wake zenji wapinzani wanadai anapiga za chinichini.😂🤣
Jana alikuwa na kikao cha kamati kuu ya ccm- tafuta UONGO MWINGINE
PumbavuJana alikuwa na kikao cha kamati kuu ya ccm- tafuta UONGO MWINGINE
HILO IMEKULA KWAKOPumbavu
Mamako ni kiongozi wa nyumba yakeWanawake hawapaswi kuwa viongozi
Hawezi kwenda nchi za wazungu bila mbwembwe za taarifa kwa umma lakini huko kwa Waarabu anakofanya kuhujumu nchi lazima aende kwa kificho!Angeenda nchi za wazungu ingekuwa hamna tatizo?
Mbona me nlisikia hiyo jana alikuwa na kikao cha CCM akashiriki uteuzi wa akina Jokate. Ina maana baada ya kikao ndo akaenda kufanyia Doha huo uteuzi!?
Akupe wewe taarifa kama nani? Na Ili iweje?
Punga Hili,angetaka kuficha angemteua huyo mteule kutokea huko?Hawezi kwenda nchi za wazungu bila mbwembwe za taarifa kwa umma lakini huko kwa Waarabu anakofanya kuhujumu nchi lazima aende kwa kificho!
Wee chawa hushangai Rais wa nchi kusafiri nje ya nchi bila kutoa taarifa kwa wananchi wake? Kuna nini cha siri anachokwenda kufanya huko kwa wajomba zake? Je yuko likizo?Punga Hili,angetaka kuficha angemteua huyo mteule kutokea huko?
Una akili za kuvukia Barabara tuu.Mwisho sio mara ya kwanza Samia Kufanya teuzi akiwa Nje ya Nchi.
Ndege ya Rais wa hapa hapa bongoland hiyo ofisi ipo?....Popote alipo Rais haimzuwii kufanya kazi zake,hata ndege za marais hua zina office ambayo rais anafamya kazi hata akiwa angani.
Duh!Anaenda mara kwa mara home kwao kama alivyokuwa anafanya Magufuli kwenda Chato
Unafahamu maana ya Ofisi?Ndege ya Rais wa hapa hapa bongoland hiyo ofisi ipo?....
Unauliza swali badala ya kujibu swali anyway yaishe.Unafahamu maana ya Ofisi?
Tuanzie hapo kwanza.