Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Mtetezi wa mafisadi, unamuabisha Mtume Muhamad (محمد بن عبد الله بن عبد ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ)Umma una pesa? Ziko wapi na mimi nizifate?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtetezi wa mafisadi, unamuabisha Mtume Muhamad (محمد بن عبد الله بن عبد ﺍﻟﻤﻄﻠﺐ ﺍﻟﻬﺎﺷﻤﻲ)Umma una pesa? Ziko wapi na mimi nizifate?
waarabu wana hela ila hawana ujuzi, tunataka ujuzi hatutaki hela, viongozi wa china walikuwa wanaenda ulaya na amerika na kupenyeza vijana wao kuiba ujuzi,(tekinolojia) wa kwetu wanaenda ulaya kupiga picha na akina 50cent.Akienda Kwa Wazungu hamna noma yeyote.Hao Wazungu wenyewe wanazitamani pesa ya muarabu ficheni basi hata ujinga wenu kidogo.
hapana mkuu sikuolewa, nilioa tena msikitini babisa na cheti nikapewa. wasingekuwa na wateja wangemuuzia nani?Labda uliolewa,unaonekana pangu pakavu ndio maana una kinyongo,wazungu hawakuwauza? Hao babu zenu waliuzana wao kwa wao,soma historia acha kushinda kwenye kijiwe chenu cha bodaboda.
AiseeAnaanza kuogopa safari zake tusiziweke kwenye kumbukumbu kama la yule Vasco
IUkijibiwa unitag,hata mimi simfahamu kabisa.
Hivi inakuaje Rais anaondoka nchini kama Mwenyekiti wa VICOBA.Nakumbuka Watangulizi wake walikuwa wakiwa wanaenda mahala lazima taifa lijulishwe!
Atakuwa kapungukiwa Afya ya brain!Kilaza bibi yako kenge wewe.
inawezekana babdaItakuwa familia yake ipo kule.
Kwa sababu Mohbare Matinyi ni mtu na nusu ...
CV yake kasoma wapi,kafanya kazi wapi n.kNi mkuu wa wilaya ya Temeke,nimesoma leo!
I
Tuweke kipengele kwenye katiba Rais akitaka kwenda nje ya nchi atangaze kwa Watanzania wote na lazima 51% waridhie
Nadhani kipengele hiki kitasaidia sana kulinda Maliasili zetu dhidi ya Mabedui wa Uarabuni
waarabu wana hela ila hawana ujuzi, tunataka ujuzi hatutaki hela, viongozi wa china walikuwa wanaenda ulaya na amerika na kupenyeza vijana wao kuiba ujuzi,(tekinolojia) wa kwetu wanaenda ulaya kupiga picha na akina 50cent.
Masultani wamempa mahabati anataka kuturudisha kwenye ukoloniHUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
walikuwa wauza watumwa hao,Masultani wamempa mahabati anataka kuturudisha kwenye ukoloni
Kumbe Yuko Kwa Mjomba!