Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

Swali Rais Samia yupo Doha Qatar kimyakimya? Kwanini uteuzi wa Mobhare Matinyi ufanyike akiwa Uarabuni?

Ubaya uko wapi hapo?
Dr Lucas mwashambwa inabidi awapige msasa wa kutosha juu ya masuala ya diplomasia et al 😂🤣
😂😂😂😂😂😂😂

Shida ni kuwa sidhani kama ana elimu hiyo. Ana elimu mpya ya kusifiasifia ambayo haimo hata kwenye somo la propaganda, ambalo makomredi tulienda Eastern block enzi hizo kusomea
 
Ameenda kusalimia ujombani, bila shaka huko atakuja na mkataba mwingine wa wizi muda utaongea vizuri tuu
 
nilioa mwarabu wakawa wanakuja kwangu nakosa hata amani, yaani hawana ustaarabu wanaingia mpaka chumbani kwangu tena watu wazima kabisa, wake kwa waume, halafu si unajua tena waliwauza sana babu zetu utumwani hawa,
Labda uliolewa,unaonekana pangu pakavu ndio maana una kinyongo,wazungu hawakuwauza? Hao babu zenu waliuzana wao kwa wao,soma historia acha kushinda kwenye kijiwe chenu cha bodaboda.
 
ndyo waarabu n masikini kama sisi anaenda kufanyaje??
Waarabu sio masikini labda uwachukie kwa sababu nyingine angalia kule Uingereza timu karibu zote zimenunuliwa na Waarabu hata wachezaji wazuri wote wanawachukua kuwapeleka Uarabuni na kuwalipa mahela kibao lakini isitoshe nchi zote za wazungu wanatengeneza bidhaa ghali kuanzia ndege,magari n.k soko lao kubwa ni nchi za Kiarabu.
 
Kieleele chako tu cha kudandia kukaa mbele yangu,😀😀😀😀 hilo swali wala halikuhusu
Hivi unajielewa kweli? Swali halinihusu ila umeniquote mimi? Hebu rudi post #88 ukaangalie umemquote nani?
 
Back
Top Bottom