johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Au Tundu Lisu kwenda UbelgijiAnaenda mara kwa mara home kwao kama alivyokuwa anafanya Magufuli kwenda Chato
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au Tundu Lisu kwenda UbelgijiAnaenda mara kwa mara home kwao kama alivyokuwa anafanya Magufuli kwenda Chato
😂😂😂😂😂😂😂Ubaya uko wapi hapo?
Dr Lucas mwashambwa inabidi awapige msasa wa kutosha juu ya masuala ya diplomasia et al 😂🤣
Ongezea nyama MKUU!Yupo kwenye toba ya siku zake za mwisho
hapa nafikiri YUNUS kazingua .kasahau ku edit
This is serious 😳Kwamba addressee ni Doha? Ina maana hiyo taarifa si yetu bali Moja kwa moja kwa wajomba zetu.
Kwa hiyo ukiwa angani unasaini kwa kutumia adress ya anganiPopote alipo Rais haimzuwii kufanya kazi zake,hata ndege za marais hua zina office ambayo rais anafamya kazi hata akiwa angani.
Swali la kijinga sana hili,hapo mwenyewe basi unajiona bonge la kichwa na umeuliza bonge la swali.Kwa hiyo ukiwa angani unasaini kwa kutumia adress ya angani
Akienda Kwa Wazungu hamna noma yeyote.Hao Wazungu wenyewe wanazitamani pesa ya muarabu ficheni basi hata ujinga wenu kidogo.HUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Labda uliolewa,unaonekana pangu pakavu ndio maana una kinyongo,wazungu hawakuwauza? Hao babu zenu waliuzana wao kwa wao,soma historia acha kushinda kwenye kijiwe chenu cha bodaboda.nilioa mwarabu wakawa wanakuja kwangu nakosa hata amani, yaani hawana ustaarabu wanaingia mpaka chumbani kwangu tena watu wazima kabisa, wake kwa waume, halafu si unajua tena waliwauza sana babu zetu utumwani hawa,
Acha mawazo mfuAmeenda kusalimia ujombani, bila shaka huko atakuja na mkataba mwingine wa wizi muda utaongea vizuri tuu
Waarabu sio masikini labda uwachukie kwa sababu nyingine angalia kule Uingereza timu karibu zote zimenunuliwa na Waarabu hata wachezaji wazuri wote wanawachukua kuwapeleka Uarabuni na kuwalipa mahela kibao lakini isitoshe nchi zote za wazungu wanatengeneza bidhaa ghali kuanzia ndege,magari n.k soko lao kubwa ni nchi za Kiarabu.ndyo waarabu n masikini kama sisi anaenda kufanyaje??
Kieleele chako tu cha kudandia kukaa mbele yangu,😀😀😀😀 hilo swali wala halikuhusuSwali la kijinga sana hili,hapo mwenyewe basi unajiona bonge la kichwa na umeuliza bonge la swali.
Nchi za wazungu hawapokei wageni wale wale kila siku, watakupokea mara moja kwa mwaka na uwe na ajenda muhimu, vinginevyo mtakutana mtandaoni.Angeenda nchi za wazungu ingekuwa hamna tatizo?
Itakuwa familia yake ipo kule.HUYU MAMA ANA AGENDA GANI NA NCHI ZA KIARABU HUYU?
Hivi unajielewa kweli? Swali halinihusu ila umeniquote mimi? Hebu rudi post #88 ukaangalie umemquote nani?Kieleele chako tu cha kudandia kukaa mbele yangu,😀😀😀😀 hilo swali wala halikuhusu