Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Haya mkuu kila la kheri.sasa mkuu ningekuwa mtu wa kujikweza si ningesema nina uwezo wa kumzuia sa100 asiwe na mafungamano na nchi za kiarabu, ndo nikasema uwezo huo sina, me ni kibodi woria tu chief.