SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Don't try this at home...Nataka ukichepuka kikojoleo kizibe, je kitambaa cha rangi ipi kinafaa.?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mimi hata ufunge kitambaa au shuka kabisa mashine yangu inapiga kazi kama caterpillar
 
Hamna lolote. Kutoa tigo sio jambo kuubwa siku hizi. Kwahiyo akikupa ikishalegea utaenda kwa mwengine tena. Kwahiyo hamna cha ajabu mtafanyiwa mkatulia. Labda tuwaombee mpate hela za kubadilisha mboga ndo kidogo mtacheat kwa upole
Kikubwa hatutaki mwanamke anayejifanya mjuaji mjuaji sana.
Hatutaki mwanamke omba omba.

Hatutaki mwanamke ambaye hayupo vizuri 6*6 halafu mchafu.
Hatutaki mwanamke ambaye hajali ndugu wa mume.
Hatutaki mwanamke mshirikina.
Hatutaki mwanamke ambaye hapendi kujishughulisha.
Hatutaki mwanamke ambaye hana elimu ya kueleweka.

Hatutaki mwanamke ambaye hayupo vizuri jikoni na usafi wa mwili na nyumba kwa ujumla.
NK.
 
Bwana wee tushajua hamridhiki. Na sisi tutafanya tunanapoweza tukishindwa basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…