SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Hivi kwanini kosa la kuchepuka anapewa Mwanaume tuu
Wakati lile tendo linafanywa na MWANAMKE + MWANAUME
 
Tatizo wake zetu hamwendani na kasi za waume zenu. Kwanza mnanuna sana, kitu kidogo tuu huongei. Halafu mkishapata watoto hamtaki tena quickies, mfano unamkuta mkeo room, ukitaka kumhug kimahaba utasikia nimechoka au kichwa kinauma. Yale mahaba ya uchumba yote hamyataki kisa eti mie mama sasa sio msichana. Mimi kwa kweli nipe dudu at least twice a day for 5 days a week. Sasa nyie hamturidhishi jipangeni upya
Utasikia unawaza tu papuchi maendeleo utawaza saa ngapi,hii kauli huwa inanichefua sana,naunga mkono hoja hata Mimi twice a day for 5 days a week
 
unafikiria kuchepuka ni hela......hela inaongeza hamasa tuu.....ni kijitabia kilichokomaa kwa wanaume....mtusamehe tu jamani ndoa idumu....huwa hatupendi kabisa.......ila huyu athumani kichwa wazi.....akiamua yake....unakesha na mkeo,,,,ila ukiamka asubuhi unapitia mchepuko kwanza ndio waenda job......
Hahaa!! Halafu baada ya kuchepuka unajilaumu na kesho unarudi tena
 
Kuchepuka ni kama kubadilisha mboga tu.ingawa sometimes unakutana na matembele poli yamepoza kuliko uliyoaacha home.ijapokuwa hotpot lilikuwa linavutia.ila ukianza kula baada ya kumeza tonge la kwanza unatamani hata mikono ukanawie home
Halafu hapo unajuta sana kuingia cha kike
 
Ww una sura mwenzio ana umbo
Ww una hips mwenzio ana tako
Ww una sura mwezio ana jicho
Ww una kiuno laini mwenzio ana mgongo wa masage
Ww unagulia kimya kimya mwenzio fulu yowe
Ww gogo mwezio uno mipaka chongo
Ww mbabe mwenzio ana care

By the way sharing is caring
Nadhani hili jibu zuri atalielewa
 
Sio kweli mzigua mwenzangu ukiona mwanaume hachepuki jua ana hofu ya Mungu basi.

Mm wangu hajawahi kuchepuka nawala hana time na wanawake kabisaaa yuko bize na kazi zake na kufanya ibada.

Mdele nagamba vino wagosi WAAMINIFU WAPO
Una uhakika hachepuki?
 
Raha ndo ipi kwa mfano
Kwanza mke akisha jua unachepuka angalau anaongeza umakin hata ktk mapenz tofaut na hapo mwanzo wanabweteka sana kisa wqna watoto, vyet vya ndoa, nyumba nk mwanaune hataki hayo yote anataka kuhudumiwa buana.
 
Baa
Mimi nasemaje tuwaroge tu ukienda kuchepuka mkuyunge usisimame.

Wanaume mpewe nn msichepuke nje ya ndoa?

Naombeni majibu.

Ila kuna dawa moja ya kufanya mwanaume asichepuke

Unachukua kitambaa cheupe ambacho hakijatumika mkimaliza sex na mpenzi wako unamfuta nacho kwenye dushelele unachukua zile shaha.wa alafu unakifunga na kukikaza unakificha sehemu salama akienda kuchepuka akifika huko haisimami kabisa inakuwa inasimama kwako tu mwanamke uliyemfunga.

Sku ukikifungua ndo pona yakee shida ukifa hujafungua ujue na mmeo anakuwa amekufa chini mazima.


Mrs Jr.

Haya mambo hayana tiba. Mkiwa kumi elfu kama wewe, mtatumaliza wanaume wote mtabaki wenyewe. Haya mambo sio ya zama hizi. Mfalme Suleiman kayasababisha haya. Imagine wake 700 na masuria 300 hakutosheka sembuse sisi wenye mke mmoja mmoja.
 
Baa


Haya mambo hayana tiba. Mkiwa kumi elfu kama wewe, mtatumaliza wanaume wote mtabaki wenyewe. Haya mambo sio ya zama hizi. Mfalme Suleiman kayasababisha haya. Imagine wake 700 na masuria 300 hakutosheka sembuse sisi wenye mke mmoja mmoja.
Masuria ni nini hivi?
 
Back
Top Bottom