Swamidwa Habidadi Mkulima Mwenye Ndoto Kubwa Kutoka Burkina Faso

Huyo ni mbongo acheni kumuuza mara m south mara Burkina faso,,,Yan hayo ma parody ya south na Burkina Faso yamejua kutuibia mtu wetu,,na wabongo nao wanafata mkumbo tu Burkina Faso ,south Africa wanaongea Kiswahili toka lini ?
Wenu nyie ni Gigi,umber ruty na masha love.kiongozi
 
Mbo
na hii picha inatrend sana bongo kama kule Twitter kuna account inatumia ni ya mbongo?
 
Acheni kamba jamani sisi ni watu wazima

Hata kama una nia ya kumpamba mtu mbona njia zipo nyingi, yaani ekali 6 uvune magunia elf10 ya mahindi!! aisee labda kilimo cha karatasi
 
Huyu dada uliyomuweka hapo ni mtanzania,ufanye research kabla ya kupost

Nadhani mleta mada alipofanyia research ni hapa πŸ‘‡
https://www.facebook.com/
View: https://m.facebook.com/story.php/?story_fbid=9074331942583040&id=3327288547287437
Na sisi tunachokijua ni hichiπŸ‘‡

So.... Which is which? πŸ₯΅πŸ₯΅
 
Kwamba kwenye hekta 6 humohumo kavuna gunia 10,000 za mahindi, gunia 8,000 za mchele, gunia 5,000 za karanga.
Na kwenye hekta 6 hizohizo bado kuna nafasi ya kilimo cha mazao ya viwandani. Na bado ana mifugo.

Unatuchukuliaje mzee
Hahahaha jamaa anatudanganya live. Hivi anajua alichoandika huyu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…