Jifunze siasa ambapo mtu hata akikwambia sasa hivi ni jioni kwenye tv na wewe hupo ndani inabidi uende nje ukachungulie kama ni kweli......Mkuu unapoteana... wewe ndio umeuliza kwanini wanatoumia human int wanaitwa Law enforcement... nimekuuliza swali rahisi is CIA a law enforcement agency? Kama umepitiwa, sema tu nimepitiwa. Usitafute visingizio.
Tatizo lako hujui halafu hujui kama hujui.Kwa hiyo FBI ni polisi acha utoto wewe...
Kawaongopee unao wahisi ni wajinga wajinga wenzio lakini sio mm.......Tatizo lako hujui halafu hujui kama hujui.
Kwani polisi ni nini? Police ni majukumu tu. Linapokuja swala la upelelezi wa makosa ya jina, YES FBI NI KAMA POLICE YA TANZANIA. Linapokuja swala la domestic intelligence and security FBI NI KAMA TISS. Linapokuja swala la Rushwa FBI NI KAMA PCCCB.
Again, kajifunze kutoka reputable sources, achana na Jason Bourne.
Kwa uelewa wako wewe ndo unajua ni majukumu tu......Tatizo lako hujui halafu hujui kama hujui.
Kwani polisi ni nini? Police ni majukumu tu. Linapokuja swala la upelelezi wa makosa ya jina, YES FBI NI KAMA POLICE YA TANZANIA. Linapokuja swala la domestic intelligence and security FBI NI KAMA TISS. Linapokuja swala la Rushwa FBI NI KAMA PCCCB.
Again, kajifunze kutoka reputable sources, achana na Jason Bourne.
Kwa hiyo Tanzania anayefanya kazi ya kutukusanyia taarifa nje ya mipaka ni nani???Tatizo lako hujui halafu hujui kama hujui.
Kwani polisi ni nini? Police ni majukumu tu. Linapokuja swala la upelelezi wa makosa ya jina, YES FBI NI KAMA POLICE YA TANZANIA. Linapokuja swala la domestic intelligence and security FBI NI KAMA TISS. Linapokuja swala la Rushwa FBI NI KAMA PCCCB.
Again, kajifunze kutoka reputable sources, achana na Jason Bourne.
hao makada wa ccm hata kwenye hawamo.Ya kwanza wanasemaga Inter Service Intelligence ya Pakistan.......TISS ya mwisho duniani
Israel sio Federal state, hawahitaji federal police. Wana jeshi lao la polisi kama la kwetu tu hapa.Kawaongopee unao wahisi ni wajinga wajinga wenzio lakini sio mm.......
Ndo maana nakwambia logic haujui mtu anavyokupa mfano tengeneza logic sio kukurupuka na kuanza kutoa facts zisizokuwa na mantiki ya kiundani.
Sasa nikuulize tu Kama nchi kama Israeli Sina wana polisi. Sasa ISA inakuwa ima kazi sasa
Hiyo ni kazi ya TISS na kama ni maswala ya kijeshi tuna CMI/DMIKwa hiyo Tanzania anayefanya kazi ya kutukusanyia taarifa nje ya mipaka ni nani???
Kwanza umeelewa swali Hilo.....Israel sio Federal state, hawahitaji federal police. Wana jeshi lao la polisi kama la kwetu tu hapa.
Shinbet ni kama Mi5 au FBI.
Mossad ni kama Mi6 or CIA.
Kwa hiyo umekubali sasa kama wanafanya vitu viwili kwa wakati mmoja kulinda usalama wa ndani na kukusanya taarifa kutoka nje......Hiyo ni kazi ya TISS na kama ni maswala ya kijeshi tuna CMI/DMI
Tatizo kubwa logic zako unazotengeneza umeng'ang'ania kwenye issue za federal crimes na local crimes....Israel sio Federal state, hawahitaji federal police. Wana jeshi lao la polisi kama la kwetu tu hapa.
Shinbet ni kama Mi5 au FBI.
Mossad ni kama Mi6 or CIA.
Wewe jamaa una kichwa kigumu hatari.Kwanza umeelewa swali Hilo.....
Wewe unasema polisi wanaweza wakawa sawa na FBI ndo mm nakakuuliza. Israeli polisi si wanao lakini pia wana ISA. Sasa Kama wangekuwa sawa si wangekuwa na kitu kimoja
Bila kuelewa tofauti ya Federal na State, huwezi kuona kwanini FBI ni kama Police wa Taifa.Tatizo kubwa logic zako unazotengeneza umeng'ang'ania kwenye issue za federal crimes na local crimes....
Kwenye FBI neno "Federal" halipo kwa bahati mbaya, lazima uelewe maana yake ndio utajua mipaka yake.Tatizo kubwa logic zako unazotengeneza umeng'ang'ania kwenye issue za federal crimes na local crimes....
Nimekutolea mfano mdogo tu wa Israel. Pale ISA kazi yao ni nini kama tayari wao wana polisi.....Bila kuelewa tofauti ya Federal na State, huwezi kuona kwanini FBI ni kama Police wa Taifa.
Kwa uelewa wako lakini.....Kwenye FBI neno "Federal" halipo kwa bahati mbaya, lazima uelewe maana yake ndio utajua mipaka yake.
Ukiwa ni mtu wa kushindana kwa useless facts inakuwa sio....Kwenye FBI neno "Federal" halipo kwa bahati mbaya, lazima uelewe maana yake ndio utajua mipaka yake.
Sasa unahisi Child pornography sio hatari kwa usalama wa marekani au unahisi hatari ipo kwenye issue nyingine tu au??Wewe jamaa una kichwa kigumu hatari.
Unajua kwanini nilikuuliza nani anachunguza federal crimes huko Marekani? Sio kwamba nilikuwa sijui jibu lake. Ungekuwa unajua mfumo wa law enforcement ulivyo US ungeelewa kuna Federal na State crimes.
Sasa turudi kwenye ABC.
US hakuna Polisi wa Taifa kama huku kwetu i.e Marekani hakuna IGP Sirro. Kule miji ina polisi wake wanaohusika na mambo ya miji yao. Sasa swali linakuja kama hakuna polisi wa taifa, nani anafanya kazi kwenye maswala ya kitaifa? Ndio linapokuja swala la majukumu. Kuna taasisi zinadeal na mambo ya Federal tu, na premier agency ni FBI. Ndio wanaofanya kazi "kama" polisi wa taifa. Ndio maana nikakumbia wanafanya majukumu ya polisi. Sasa wewe unadhani FBI kazi yake ni maswala yanayohatarisha usalama wa Marekani; wakati FBI inadeal mpaka na Child Pornography.
ISA ni Domestic Intelligence Service.... kazi yao ni kudeal na intelligence ndani ya nchi kama ilivyo Mi5. Kwani UK hawana police? Police kazi yao kufanya mambo juu ya meza, Intelligence kazi yao kufanya mambo chini ya meza.Nimekutolea mfano mdogo tu wa Israel. Pale ISA kazi yao ni nini kama tayari wao wana polisi.....
Kufanya kazi juu ya meza ndo nnISA ni Domestic Intelligence Service.... kazi yao ni kudeal na intelligence ndani ya nchi kama ilivyo Mi5. Kwani UK hawana police? Police kazi yao kufanya mambo juu ya meza, Intelligence kazi yao kufanya mambo chini ya meza.