SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

Hakuna cha federal crimes wala nn Kuna makosa mtu ukifanya yakiwa yana hatarisha usalama wa marekani lazima FBI waingilie kati lakini sio kucategorize makosa....

Hiyo mbona inajulikana ndo mfumo wao waliojiwekea kwenye uchaguzi mbona tumeona hata Biden alipitia hiyo hatua....
Kama sio federal crime hawaruhusiwi; Marekani, kama kitu hakijamtakwa kuwa ni Federal, moja kwa moja kinaangukia kwenye Local. Na swali langu halikuwa hilo. Niliuliza nani ana mandate ya kuchunguza federal crimes in USA? Na nani ana mandate ya kuchunguza crimes hapa TZ?
 
Kama sio federal crime hawaruhusiwi; Marekani, kama kitu hakijamtakwa kuwa ni Federal, moja kwa moja kinaangukia kwenye Local. Na swali langu halikuwa hilo. Niliuliza nani ana mandate ya kuchunguza federal crimes in USA? Na nani ana mandate ya kuchunguza crimes hapa TZ?
Kwa hiyo federal crime ni nini?
 
Kwa hiyo federal crime ni nini?
Kwa USA, Federal Crimes ni makosa yanayokatazwa kwa sheria ya Bunge la Marekani; hayahusiani na makosa ya kimajimbo.

1650655528895.png
 
Kwa USA, Federal Crimes ni makosa yanayokatazwa kwa sheria ya Bunge la Marekani; hayahusiani na makosa ya kimajimbo.

View attachment 2196939
Mm nimeelewa hapo hizo federal crimes zimewekwa hivyo ili inapofikia level ya kuprosecute kusiwe na mkanganyiko ndo maana sheria zao ziko hivyo lakini sio kwenye nyanja ya ulinzi hapo tutabishana mpaka basi
 
Tuangalie waingereza ambao ndo kiingereza cha kwao tujaribu hata kugoogle tuone


MI5 wanaiitaje na MI6 wanaiitaje ili tuone security service ina maana gani na intelligence service ina maana gani sio tunabishana kwenye vitu ambavyo havina msingi
 
Kwa mfano mtu atege bomu halafu akamatwe.....na lengo lake lilikuwa ni kuua watu

Hilo linakuwa ni kosa gani?
Hiyo ni federal crime. FBI watafanya hiyo kazi, na hata mashtaka yake, yatapelekwa kwenye federal court. Hata kama amekamatwa na NYPD, bado atakabidhiwa kwa FBI, maana ndio wenye mamlaka ya kuchunguza makosa ya kitaifa; na yapo mengi tu. Sio yote ni ya ugaidi na kuua watu. OJ Simpson alituhumiwa kuua watu wawili, lakini yalikuwa makosa ya Los Angeles..... FBI hawakuhusika kabisa.

Na ndio hapa wanaanza kufanana na CID ya Tanzania, linapokuja swala la makosa ya kitaifa, wao ndio wachunguzi wakuu.
 
Tuangalie waingereza ambao ndo kiingereza cha kwao tujaribu hata kugoogle tuone


MI5 wanaiitaje na MI6 wanaiitaje ili tuone security service ina maana gani na intelligence service ina maana gani sio tunabishana kwenye vitu ambavyo havina msingi
Hapa ndipo unapo-miss bigger picture. Mi5 ni Domestic Intelligence Service ya UK, lakini inafanya kazi sawa na Intelligence Bureau ambayo ni sehemu ya FBI i.e Mi5 inafanya sehemu ya kazi ya FBI.
 
Hiyo ni federal crime. FBI watafanya hiyo kazi, na hata mashtaka yake, yatapelekwa kwenye federal court. Hata kama amekamatwa na NYPD, bado atakabidhiwa kwa FBI, maana ndio wenye mamlaka ya kuchunguza makosa ya kitaifa; na yapo mengi tu. Sio yote ni ya ugaidi na kuua watu. OJ Simpson alituhumiwa kuua watu wawili, lakini yalikuwa makosa ya Los Angeles..... FBI hawakuhusika kabisa.

Na ndio hapa wanaanza kufanana na CID ya Tanzania, linapokuja swala la makosa ya kitaifa, wao ndio wachunguzi wakuu.
CID ndo nn
 
Hapa ndipo unapo-miss bigger picture. Mi5 ni Domestic Intelligence Service ya UK, lakini inafanya kazi sawa na Intelligence Bureau ambayo ni sehemu ya FBI i.e Mi5 inafanya sehemu ya kazi ya FBI.
Hayo yote unayoongea sio kwamba sijui. naelewa...

Sasa nataka nikuulize wewe unabisha nn....

Umeelewa kwanza security service ina maana gani wanavyosema.....

Na kwenye MI6 umeelewa intelligence service ina maana gani......
 
Hiyo ni federal crime. FBI watafanya hiyo kazi, na hata mashtaka yake, yatapelekwa kwenye federal court. Hata kama amekamatwa na NYPD, bado atakabidhiwa kwa FBI, maana ndio wenye mamlaka ya kuchunguza makosa ya kitaifa; na yapo mengi tu. Sio yote ni ya ugaidi na kuua watu. OJ Simpson alituhumiwa kuua watu wawili, lakini yalikuwa makosa ya Los Angeles..... FBI hawakuhusika kabisa.

Na ndio hapa wanaanza kufanana na CID ya Tanzania, linapokuja swala la makosa ya kitaifa, wao ndio wachunguzi wakuu.
Sasa mbona unakuja kule kule ambapo nimesema kwamba ukifanya makosa ya kuhatarisha usalama wa marekani lazima FBI wahusike lakini kwenye masuala ya prosecution ndo kuna hizo federal crimes n.k
 
Mkuu USA wana Imagery and Mapping Intelligence Service, inaitwa National Geospatial-Intelligence Agency. Ndio wanafanya mambo ya Satellite na Mapping.

In total US wana intelligence agencies/service 17, na zipo very specialized kwenye maeneo yao.

Mkuu USA wana Imagery and Mapping Intelligence Service, inaitwa National Geospatial-Intelligence Agency. Ndio wanafanya mambo ya Satellite na Mapping.

In total US wana intelligence agencies/service 17, na zipo very specialized kwenye maeneo yao.
Sasa kama NSA Wana deal na non human source intelligence unabisha nn kutumia satellites.....
 
Criminal Investigation Department.... ndio office ya DCI, au ukisikia "Askari Kanzu" ndio hao
Wewe hauna unachojua labda ungeniambia DCI ndo ningekuelewa sasa unaniambia CID siwezi kukuelewa hata siku moja......

Sasa hao DCI wafanye nn sasa. Nilifikiri nipo na mtu anayejua kumbe haujui...
 
Sasa mbona unakuja kule kule ambapo nimesema kwamba ukifanya makosa ya kuhatarisha usalama wa marekani lazima FBI wahusike lakini kwenye masuala ya prosecution ndo kuna hizo federal crimes n.k
Makosa ya kuhatarisha usalama wa Marekani ndio ya namna gani hayo? Kwahiyo kama hayahusiki na "usalama wa Marekani" FBI hawatahusika?

Prosecution ni matokeo ya Investigation. Huwezi kusema kwenye prosecution ndio kuna "federal" lakini kwenye investigation haijalishi!
 
Wewe hauna unachojua labda ungeniambia DCI ndo ningekuelewa sasa unaniambia CID siwezi kukuelewa hata siku moja......

Sasa hao DCI wafanye nn sasa. Nilifikiri nipo na mtu anayejua kumbe haujui...
Duh.... Yaani hujui kutofautisha kati ya Mahakama na Jaji!

CID ni idara ya polisi na DCI ni cheo.
 
Makosa ya kuhatarisha usalama wa Marekani ndio ya namna gani hayo? Kwahiyo kama hayahusiki na "usalama wa Marekani" FBI hawatahusika?

Prosecution ni matokeo ya Investigation. Huwezi kusema kwenye prosecution ndio kuna "federal" lakini kwenye investigation haijalishi!
Wewe ni mbishi tu....unataka kuleta siasa
 
Hayo yote unayoongea sio kwamba sijui. naelewa...

Sasa nataka nikuulize wewe unabisha nn....

Umeelewa kwanza security service ina maana gani wanavyosema.....

Na kwenye MI6 umeelewa intelligence service ina maana gani......
Hizo mbwembwe tu. Idi Amini FBI yake ilikuwa inaitwa "State Research Bureau", hapa kwetu kabla ya kuitwa TISS walikuwa wanaitwa "Special Branch". Swala kubwa ni majukumu gani wanafanya.
 
Back
Top Bottom