SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

Is it ok kusema fbi ndio equivalent to dci office yetu?
Hapana, mashitaka yanayofanywa na Federal Government Marekani hayasimimiwi centrally kama DCI wa kwetu anavyosimamia mashitaka yote ya jinai nchini. Badala yake, Marekani wana ofisi za kanda US Attoney's Office ambao ndio wanashughulikia mashtaka ya federal ndani ya kanda yao. Elewa kuwa Marekani wana serikali za ngazi mbalimbali kuanzia Federal government, State government, County government, na mwishoni Local government. Kila serikali kwa ngazi yake ina sheria zake na Attorney's office yao ambayo ndiyo inayosimamia mashtaka yaliyo chini ya jurisdiction yake. Ndiyo maana kama ulifuatilia kesi ya yule askari Derek Chauvin aliyemuua George Floyd, kwanza alishitakiwa na State of Minnesota kwa mauaji ambapo alikutwa na hatia, hivyo kufungwa jela kwa miaka 22 jela. Hata hivyo akiwa tayari yuko jela, bado ofisi ya US Attorney ya Minneeapolis nayo ilimfuata huko jela na kumshitaki tena kwa kumkosesha George Floyd haki zake za binadam, akakubali makosa. Anategemea kuhukumia kifungo jela kwa takriban miaka 20 kutokana na hii kesi ya Minneapolis US Attorney office. Yeye anataka akafungwe na Federal Governement badala ya State Governement kwa vile kule federal kuna unafuu kidogo.
 
Hapana, mashitaka yanayofanywa na Federal Government Marekani hayasimimiwi centrally kama DCI wa kwetu anavyosimamia mashitaka yote ya jinai nchini. Badala yake, Marekani wana ofisi za kanda US Attoney's Office ambao ndio wanashughulikia mashtaka ya federal ndani ya kanda yao. Elewa kuwa Marekani wana serikali za ngazi mbalimbali kuanzia Federal government, State governement, County governement, na mwishoni Local governement. Kila serikali kwa ngazi yake ina sheria zake na Attorney's office yao ambayo ndiyo inayosimamia mashtaka yaliyo chini ya jurisdiction yake. Ndiyo maana kama ulifuatilia kesi ya yule askari Derek Chauvin aliyemuua George Floyd, kwanza alishitakiwa na State of Minnesota kwa mauaji ambapo alikutwa na hatia, hivyo kufungwa jela kwa miaka 22 jela. Hata hivyo akiwa tayari yuko jela, bado ofisi ya US Attorney ya Minneeapolis nayo ilimfuata huko jela na kumshitaki tena kwa kumkosesha George Floyd haki zake za binadam, akakubali makosa. Anategemea kuhukumia kifungo jela kwa takriban miaka 20 kutokana na hii kesi ya Minneapolis US Attonyer office. Yeye anataka akafungwe na Federal Governement badala ya State Governement kwa vile kule federal kuna unafuu kidogo.
Sasa mm nataka kuuliza yule jamaa juzi juzi hapa aliye set off smoke grenades na baadae kuanza kushoot watu kwenye subway station alifanya federal crime mbona tunaona FBI walihusika pia......
 
Sasa mm nataka kuuliza yule jamaa juzi juzi hapa aliye set off smoke grenades na baadae kuanza kushoot watu kwenye subway station alifanya federal crime mbona tunaona FBI walihusika pia......
Maswali ya kiyoyo hayo. Kama unataka kuelewa nitakujibu, na kama unataka kuchallenge basi tayari unajua na wala huna haja ya kuuliza. Kama umepinga kila kitu nilichokuambia ambacho nina uhakika kuwa 100% ni sahihi, unategema nini kwangu tena. Mtu mwenyewe una lugha za uchochoroni.
 
Maswali ya kiyoyo hayo. Kama unataka kuelewa nitakujibu, na kama unataka kuchallenge basi tayari unajua na wala huna haja ya kuuliza. Kama umepinga kila kitu nilichokuambia ambacho nina uhakika kuwa 100% ni sahihi, unategema nini kwangu tena. Mtu mwenyewe una lugha za uchochoroni.
Sasa wewe unataka watu wakubali kila unachoandika......
 
Maswali ya kiyoyo hayo. Kama unataka kuelewa nitakujibu, na kama unataka kuchallenge basi tayari unajua na wala huna haja ya kuuliza. Kama umepinga kila kitu nilichokuambia ambacho nina uhakika kuwa 100% ni sahihi, unategema nini kwangu tena. Mtu mwenyewe una lugha za uchochoroni.
Wewe jibu hilo swali....
 
Maswali ya kiyoyo hayo. Kama unataka kuelewa nitakujibu, na kama unataka kuchallenge basi tayari unajua na wala huna haja ya kuuliza. Kama umepinga kila kitu nilichokuambia ambacho nina uhakika kuwa 100% ni sahihi, unategema nini kwangu tena. Mtu mwenyewe una lugha za uchochoroni.
Kutokana na marekani jinsi ilivyo kutokana na katiba yake Federal government ni sawa na central government kwa hapa bongo.

Kwa hiyo unataka kuniaminisha Kwamba Marekani makosa yapo kingazi yaani kwenye hizo Federal government mpaka Local government....

Hapo ndo unaponishangaza mm aisee hicho kitu hakipo acha kutuongopea.
 
Una matatizo fulani ya kisaikolojia; tafuta wataalamu wakusaidie.
Kwa hiyo wewe ukiwaambia wenzio Wana pumba ukajibiwa kibingwa ndo wenzako Wana matatizo ya akili si ndo hivyo au ulitaka ujibiwe kwa kubembelezwa.....
 
Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kweli kuwa security agencies zote ni za ujasusi kama wa CIA wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazohatarisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuklia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinazohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zote za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu
Maelezo yako yameshiba ila hapo kwenye NSA hao wana deal na mambo ya Satellite, Traffic Camera etc
Marekani wana vitengo vingi mfano kuna Homeland security, DEA etc naona hamjazichambua hapo juu
 
Maelezo yako yameshiba ila hapo kwenye NSA hao wana deal na mambo ya Satellite, Traffic Camera etc
Marekani wana vitengo vingi mfano kuna Homeland security, DEA etc naona hamjazichambua hapo juu
NSA wana majukumu mawili nimeshayatolea ufafanuzi, siyo satellite wala traffic camera kama unavyosema; in fact traffic camera ziko chini ya DOT kwenye local governments. Sasa hivi space force ina shirika la ujasusi linaitwa Space Delta 7 linaloshughulikia usalama wa masatellites tu. Homeland Security ni karibu sawa na wizara ya mambo ya ndani ya nchi wakitofautiana mambo machache tu; hiyo ni kubwa zaidi ya hayo mashirika ya ujasusi na upelelezi ambayo yako chini ya wizara nyingine. DEA ni kikosi maalum cha kushughulikia madawa ya kulevya kilichoko chini ya wizara ya sheria; hicho kina askari wake, wanasheria wake na majasusi/wapelelezi wake ambao wako chini ya kitengo cha ONSI kama nilivyoeleza huko nyuma.
 
Yote uliyosema ni kweli ila unayatafsiri vibaya hasa unapotaka kutenganisha function ya security na ya intelligence ambazo naturally ziko intertwinned.

Nikurudisha nyuma tena kuwa CIA hawana jurisdiction ndani ya nchi, hawaruhusiwi kabisa kufanya ujasusi ndani ya nchi. Mambo yote ambayo CIA wangependa kuyajua yanapotokea ndani ya mipaka, yanakuwa ni crimes inayoshughulikiwa na FBI ambao wana kitengo kinaitwa Intelligence Branch (IB). Iwapo uhalifu huo unafanyika ndani ya mipaka ukiwa unahusisha na watu walioko nje ya nchi, basi NSA ndiyo inayoshulikia. Electronic surveilance ni sehemu moja tu ya kazi za NSA lakini zipo nyingine. It happens tu kuwa mtu anayefanya mambo yanayodhaniwa kuwa ya ughaidi akiwa anashirikian na watu wa nje atatumia mawasiliano electronic, kwa hiyo ndiyo maana electronic surveillance inaonekana kuwa ni kubwa sana, lakini elewa pia kuwa CIA nao wana electronic surveilance yao. Kwa hiyo ni kweli kuwa NSA ina juridiscation ndani na nje ya nchi hivyo ni kubwa zaidi ya CIA, lakini kuna majukumu ambayo yamepewa CIA tu nje ya mipaka ambayo NSA hawawezi kuyafanya . Hiyo ni pamoja na kuwa CIA inaweza kufanya sabotages mbalimbali pamoja na assasination ya magaidi ambao ni hatari kwa usalama wa Marekani, vitu ambavyo NSA haiwezi kuvifanya.

Siyo kweli kuwa security agencies zote ni za ujasusi kama wa CIA wala hazina malengo yanayofanana. Agencies hizo nyingi ni za ujasusi wa kijeshi kulingana na branches za jeshi la marekani. Agency za kiraia, zaidi ya CIA, FBI, na NSI (hii iko pande zote za kiraia na kijeshi) nyingine ni pamoja na ONSI (ujasusi wa kutafuta taarifa za vyanzo vya madawa ya kulevya), OICI (Ujasusi wa kutafuta habari zinazohatarisha nishati ndani ya nchi pamoja na ujasusi wa kutafuta habari kuhusu matumuizi mabaya ya nishati ya nyuklia) na INR ( kwa ajili ya ujasui kutafuta habari zinazohusu usalama wa mabalozi). Agencies nyingine huwa hazifanyi ujasusi bali zinafanya analysis ya habari za kijasusi zinazopatikana kutoka kwenye agencies nyingine kwa malengo maalumu. Hizi ni pamoja na OIA (kuchambua taarifa mbalimbali za kijsausi kuangalia kama zinahusisha utakatishaji wa pesa) na I&A ( hii inakusanya taarifa mbalimbali za kijasusi na kuchambua namna ya kuzifikisha kwenye idara zinazaozhitaji habari hizo zaidi). Agency nyingine zote za kijasusi zilizobaki ni kwa sababu ya branches mbalilmbali za kijeshi tu, sasa hivi imeongezwa moja ya Space Delta 7 kwa ajili ya ujasusi unaohusiana na usalama wa satellites tu
Uko vzr
 
Wewe uelewa wako ni mdogo na nasema hivyo kwa sababu haujanielewa nliandika nn.
Kwani nikuulize hao FBI hawana intelligence analysts au hapo vipi. Kwa hiyo kwa sababu wana maintelligence analysts Basi tubadilishe maana ya kwamba ile ni intelligence service.
Kingine wewe unataka kuleta ligi tu nani amekwambia FBI hawafanyi kazi overseas.
Yaani ufananishe FBI na CID hapo ndo umenichekesha kwa kweli yaani hii ndo inapima wasomi Kama wewe uwezo wao kifikiria na kung'amua Mambo duh.
Halafu kingine uwe unaelewa kwanza kabla ya kujibu.....mm nlimaanisha wakikuhisi ni threat kwa taifa lao ndo watakushughulikia Sasa hapo kwenye kuelewa wewe huyo mhusika atakuwa wapi waliyemhisi is up to you.
Kutokana CIA wanavyofanya kazi nahisi unajua.Kama haujaelewa basi sio ligi hii kwamba tunashindania mbuzi au nn sijui!!!
We jamaa ujuaji mwingi na unayoongea hayana uhalisia wowote, mbona mwenzio anajipambanua na anaeleweka vizuri tu.

FBI, Federal Bureau of Investigation ni domestic intelligence and security service of United states and its principal federal law enforcement agancy. Inafanya kazi under jurisdiction ya US department of justice...

CIA, Central Inteligence Agency ni civilian foreign intelligence service of federal government of US, na iko tasked with gathering, processing and analyzing national security infos from around the world hasa primarily wakitumia Human Intelligence HUMINT...

Hizo taasisi zote zina report kwa director of National Inteligence...

Mwenzako anaeleza vizuri na hoja zinaeleweka ila wewe umekazana kujib hoja kwa kebehi ilhali unachotetea hakieleweki.

Unachong'ang'ania ni sawa na kutuaminisha wizara ya mambo ya ndani na wizara ya mambo ya nje zinaingiliana shughuli zake. Ilhali hata kwa asiyejua lazima atakataa kwa kufatilia tu majina yanavojieleza...

Hizo movie mnazoziangalia huwa hamjifunzi kwazo pale CIA na FBI wanapooneshwa kugombania muhalif na FBI akimchukua kwasabab muhalif yu ndani ya mipaka ya nchi yao?

Em jibu hilo swali alilokuuliza, unawezaje kuzungumzia issue y security bila kua na intelligence?
 
Binafsi nmejifunza na kuelewa mengi sana

NB: si kila mtu yupo kwa ajili ya kujifunz na kielewa kutoka kwa wengin tunaribu kuwapuuza tu[emoji1488]
 
We jamaa ujuaji mwingi na unayoongea hayana uhalisia wowote, mbona mwenzio anajipambanua na anaeleweka vizuri tu.

FBI, Federal Bureau of Investigation ni domestic intelligence and security service of United states and its principal federal law enforcement agancy. Inafanya kazi under jurisdiction ya US department of justice...

CIA, Central Inteligence Agency ni civilian foreign intelligence service of federal government of US, na iko tasked with gathering, processing and analyzing national security infos from around the world hasa primarily wakitumia Human Intelligence HUMINT...

Hizo taasisi zote zina report kwa director of National Inteligence...

Mwenzako anaeleza vizuri na hoja zinaeleweka ila wewe umekazana kujib hoja kwa kebehi ilhali unachotetea hakieleweki.

Unachong'ang'ania ni sawa na kutuaminisha wizara ya mambo ya ndani na wizara ya mambo ya nje zinaingiliana shughuli zake. Ilhali hata kwa asiyejua lazima atakataa kwa kufatilia tu majina yanavojieleza...

Hizo movie mnazoziangalia huwa hamjifunzi kwazo pale CIA na FBI wanapooneshwa kugombania muhalif na FBI akimchukua kwasabab muhalif yu ndani ya mipaka ya nchi yao?

Em jibu hilo swali alilokuuliza, unawezaje kuzungumzia issue y security bila kua na intelligence?
Huy jamaa ni mbishi kupita maelezo..... Anakataa CID na FBI kufanana sawa, namuuliza federal crimes US zinachunguzwa na nani? Na crimes hapa TZ zinachunguzwa na nani? Anabaki anatukana tu.

USA is very complicated country. Zile ni nchi 50 ndani ya nchi moja. Mfumo wao wa ulinzi, usalama na haki ni wa ajabu sana. Hata uchaguzi wao ni wa aina yake duniani, Hillary Clinton alishinda kwa kura zaidi ya mil 3 na bado nchi hakupewa!
 
We jamaa ujuaji mwingi na unayoongea hayana uhalisia wowote, mbona mwenzio anajipambanua na anaeleweka vizuri tu.

FBI, Federal Bureau of Investigation ni domestic intelligence and security service of United states and its principal federal law enforcement agancy. Inafanya kazi under jurisdiction ya US department of justice...

CIA, Central Inteligence Agency ni civilian foreign intelligence service of federal government of US, na iko tasked with gathering, processing and analyzing national security infos from around the world hasa primarily wakitumia Human Intelligence HUMINT...

Hizo taasisi zote zina report kwa director of National Inteligence...

Mwenzako anaeleza vizuri na hoja zinaeleweka ila wewe umekazana kujib hoja kwa kebehi ilhali unachotetea hakieleweki.

Unachong'ang'ania ni sawa na kutuaminisha wizara ya mambo ya ndani na wizara ya mambo ya nje zinaingiliana shughuli zake. Ilhali hata kwa asiyejua lazima atakataa kwa kufatilia tu majina yanavojieleza...

Hizo movie mnazoziangalia huwa hamjifunzi kwazo pale CIA na FBI wanapooneshwa kugombania muhalif na FBI akimchukua kwasabab muhalif yu ndani ya mipaka ya nchi yao?

Em jibu hilo swali alilokuuliza, unawezaje kuzungumzia issue y security bila kua na intelligence?
Kwani nani ambaye amebisha kwamba FBI ni domestically nianzie hapo kwanza......

Ila uelewa wako ndo umeishia hapo mm niliielezea hiyo Tv show ili kuleta logic....

Na wewe pia kwa nn usiwe mjuaji pia kwani inakatazwa....
 
We jamaa ujuaji mwingi na unayoongea hayana uhalisia wowote, mbona mwenzio anajipambanua na anaeleweka vizuri tu.

FBI, Federal Bureau of Investigation ni domestic intelligence and security service of United states and its principal federal law enforcement agancy. Inafanya kazi under jurisdiction ya US department of justice...

CIA, Central Inteligence Agency ni civilian foreign intelligence service of federal government of US, na iko tasked with gathering, processing and analyzing national security infos from around the world hasa primarily wakitumia Human Intelligence HUMINT...

Hizo taasisi zote zina report kwa director of National Inteligence...

Mwenzako anaeleza vizuri na hoja zinaeleweka ila wewe umekazana kujib hoja kwa kebehi ilhali unachotetea hakieleweki.

Unachong'ang'ania ni sawa na kutuaminisha wizara ya mambo ya ndani na wizara ya mambo ya nje zinaingiliana shughuli zake. Ilhali hata kwa asiyejua lazima atakataa kwa kufatilia tu majina yanavojieleza...

Hizo movie mnazoziangalia huwa hamjifunzi kwazo pale CIA na FBI wanapooneshwa kugombania muhalif na FBI akimchukua kwasabab muhalif yu ndani ya mipaka ya nchi yao?

Em jibu hilo swali alilokuuliza, unawezaje kuzungumzia issue y security bila kua na intelligence?
Acha kukurupuka..........
 
NSA wana majukumu mawili nimeshayatolea ufafanuzi, siyo satellite wala traffic camera kama unavyosema; in fact traffic camera ziko chini ya DOT kwenye local governments. Sasa hivi space force ina shirika la ujasusi linaitwa Space Delta 7 linaloshughulikia usalama wa masatellites tu. Homeland Security ni karibu sawa na wizara ya mambo ya ndani ya nchi wakitofautiana mambo machache tu; hiyo ni kubwa zaidi ya hayo mashirika ya ujasusi na upelelezi ambayo yako chini ya wizara nyingine. DEA ni kikosi maalum cha kushughulikia madawa ya kulevya kilichoko chini ya wizara ya sheria; hicho kina askari wake, wanasheria wake na majasusi/wapelelezi wake ambao wako chini ya kitengo cha ONSI kama nilivyoeleza huko nyuma.

Screenshot_20220422-215659.png
 
Huy jamaa ni mbishi kupita maelezo..... Anakataa CID na FBI kufanana sawa, namuuliza federal crimes US zinachunguzwa na nani? Na crimes hapa TZ zinachunguzwa na nani? Anabaki anatukana tu.

USA is very complicated country. Zile ni nchi 50 ndani ya nchi moja. Mfumo wao wa ulinzi, usalama na haki ni wa ajabu sana. Hata uchaguzi wao ni wa aina yake duniani, Hillary Clinton alishinda kwa kura zaidi ya mil 3 na bado nchi hakupewa!
Hakuna cha federal crimes wala nn Kuna makosa mtu ukifanya yakiwa yana hatarisha usalama wa marekani lazima FBI waingilie kati lakini sio kucategorize makosa....

Hiyo mbona inajulikana ndo mfumo wao waliojiwekea kwenye uchaguzi mbona tumeona hata Biden alipitia hiyo hatua....
 
Maelezo yako yameshiba ila hapo kwenye NSA hao wana deal na mambo ya Satellite, Traffic Camera etc
Marekani wana vitengo vingi mfano kuna Homeland security, DEA etc naona hamjazichambua hapo juu
Mkuu USA wana Imagery and Mapping Intelligence Service, inaitwa National Geospatial-Intelligence Agency. Ndio wanafanya mambo ya Satellite na Mapping.

In total US wana intelligence agencies/service 17, na zipo very specialized kwenye maeneo yao.
 
Back
Top Bottom