SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

SWAT, FBI na CIA nini tofauti ya hizi taasisi?

Hivi ile 'Homeland security department' sio counter intelligence pia?....

Hawaingiliani kimajukumu na FBI ?
Homeland security ilianzishwa baada ya Sep 11. Ilikusanya taasisi kibao za usalama wa ndani kuanzia immigration, customs, border patrol, majanga etc. Ila hawafanyi intelligence kama FBI wala hawafanyi upelelezi wa makosa ya jinai.
 
Homeland security ilianzishwa baada ya Sep 11. Ilikusanya taasisi kibao za usalama wa ndani kuanzia immigration, customs, border patrol, majanga etc. Ila hawafanyi intelligence kama FBI wala hawafanyi upelelezi wa makosa ya jinai.
Ok....ila kuna wakati FBI hufanya uchunguzi wao mpaka nchi nyingine ina maana hapo hushirikiana na CIA ?
 
Ok....ila kuna wakati FBI hufanya uchunguzi wao mpaka nchi nyingine ina maana hapo hushirikiana na CIA ?
Wakifanya uchunguzi mpaka nje ya nchi, ni issue ya crime. Mfano; ubalozi wao ulivyopigwa bomu Tanzania, walikuja kufanya uchunguzi, maana wao ndio wanapeleka mafaili kwa waendesha mashtaka huko kwao. Ila hawafanyi intelligence nje ya nchi. Lakini hamna kinachowazuia CIA kuwapa taarifa FBI, ni kama hapa kwetu, JWTZ ikipata kitu, watashare na wenzao.
 
Mnabishana vitu ambavyo ni very simple! Ipo hivi ujasusi auvushushushu namna namna ya utekelezaji wa mikakati hii ni mahsusi kwa ajili ya NJE YA NCHI.

Kupata taarifa za kiusalama kwa kuzikusanya kutoka katika vyanzo mbalimbali ili kuilinda nchi ikiwa ni NDANI YA NCHI tunaita INVESTIGATION(upelelezi)

Misingi ya kazi:
Kwa marekani:
[emoji666]Kuna sheria za usalama na uzalendo anayogawa majukumu kwamba nani afanye kazi za kiusalama nje na nani afanye za ndani.

[emoji666]FBI [emoji117] NDANI
[emoji666]CIA [emoji117]NJE

Pia kupitia sheria ya Homeland security inawapa mamlaka ya ofisi hizi kushirikiana kwa kipeana taarifa lakini pasipo kuingiliana majukumu na kuvuka mipaka ya mwingine.

Note:
Ndani ya miundo ya FBI na CIA kuna departiments ndani yake ambazo nazo nmegawanyika kisheria na zipo za siri ambazo zinafanya kazi ktk nyanja nyingi kisiasa, kijeshi, kiuchumi, kiulinzi n.k

Misingi yao mikuu hasa kwa CIA kiujumla ni kubaini:
[emoji666]sabotage
[emoji666]terrorism
[emoji666]espionage na
[emoji666]subversion
 
IMG_9373.jpg

Muundo wa FBI na majukumu au idara zake
 
Mm nimekutolea mfano tu ili kuleta maana Kama unabisha Basi......
Kwani unahisi hizo official websites hatuzijui tunazijua. Ila mm kwenye suala la kuniambia CIA hawafanyi kazi ndani ya Marekani naona Kama unaniongopea tu.
We jamaa wewe hujui kujieleza, Mimi ambae uelewa wangu ulikuwa mdogo kuhusu hizi taasisi nimefafanuliwa na nimefatilia nikaelewa ila wewe unaejidai unaelewa kumbe ni hovyo tu. Kichuguu ameeleza jinsi ilivyo ila umeshindwa kukubari kwasababu unahisi utaonekana wa hovyo. Elimu Haina mwisho mkuu
 
Unaongopewa na nani? Unapewa facts, jibu kwa facts sio series au labda unadhani kuwa na ofisi US ndio maana yake wanafanya kazi ndani ya US? Labda tuseme, hawaruhusiwi ku-target watu walioko ndani ya Marekani. Kama una hata operation moja ya CIA ndani ya USA, weka hapa

CIA kwa Marekani ni kama ilivyo Mi6 ya UK, nao hawaruhusiwi kufanya kazi za ndani. FBI kwa Marekani ni kama ilivyo Mi5 kwa UK hawaruhusiwi kufanya kazi za nje. Ndio maana ya Foreign na Domestic Intelligence service.
Achaneni nae huyo hajielewi, eti huwezi kuniongopea, inamaana anakana hadi maelezo sahihi yaliyoandikwa na wahusika . Basi alete uhakisia siyo porojo
 
Ninaweza nikawa dogo lakn nikakuzidi uelewa......usiniulize mm kafuatilie ndo uje hapa.
Siku nyingine usije na viterminology vyako sijui spy ring ukadhani hatujui.
We jamaa ni ng'ombe kama ng'ombe wengine tu Bora kuachana nae
 
We jamaa wewe hujui kujieleza, Mimi ambae uelewa wangu ulikuwa mdogo kuhusu hizi taasisi nimefafanuliwa na nimefatilia nikaelewa ila wewe unaejidai unaelewa kumbe ni hovyo tu. Kichuguu ameeleza jinsi ilivyo ila umeshindwa kukubari kwasababu unahisi utaonekana wa hovyo. Elimu Haina mwisho mkuu
Sasa wewe ambaye unajua kujielezea umetoa kipya kipi....tukasema wewe unajua kujielezea.....ndo shida ya watoto wa kwenye mapipa Kama wewe......chomoa haraka niwahi nyumbani
 
Sasa wewe ambaye unajua kujielezea umetoa kipya kipi....tukasema wewe unajua kujielezea.....ndo shida ya watoto wa kwenye mapipa Kama wewe......chomoa haraka niwahi nyumbani
Hakuna kipya hapa zaidi ya kukubari kuwa wewe ni mburura tu
Umeeleweshwa hutaki kukubali hadi unapewa facts bado tu sasa tukuweke kundi gani kenge wa mayai wewe
 
kipya hapa zaidi ya kukubari kuwa wewe ni mburura tu
Umeeleweshwa hutaki kukubali hadi unapewa facts bado tu sasa tukuweke kundi gani kenge wa mayai wewe
Kukubari ndo umeandika nn sasa hata kuspell haujui......hauna jipya bwana zaidi ya kukurupukia watu
 
Hakuna kipya hapa zaidi ya kukubari kuwa wewe ni mburura tu
Umeeleweshwa hutaki kukubali hadi unapewa facts bado tu sasa tukuweke kundi gani kenge wa mayai wewe
Kwa hiyo hata mama yako angekataa asingemkubali baba yako naye angekuwa mburura???
 
Kwa hiyo hata mama yako angekataa asingemkubali baba yako naye angekuwa mburura???
Akili yako Haina akili, leta Uzi wako tuone kama kweli na wewe nimjanja, siyo kushambulia watu wanaofahamu mambo kama unataka elimu sema usaidiwe, kenge wa mayai wewe
 
Akili yako Haina akili, leta Uzi wako tuone kama kweli na wewe nimjanja, siyo kushambulia watu wanaofahamu mambo kama unataka elimu sema usaidiwe, kenge wa mayai wewe
Sasa tuliza makalio yako Kama yanakuwasha.......watu ambao mlipata lishe kenge. Andazi kipande chai jagi Kama nyie mna matatizo. Walaumu wazazi wako waliokupa lishe duni mpaka udumae akili.
 
Akili yako Haina akili, leta Uzi wako tuone kama kweli na wewe nimjanja, siyo kushambulia watu wanaofahamu mambo kama unataka elimu sema usaidiwe, kenge wa mayai wewe
Wakitaka waandike kila kitu watu tukubali anzisha platform ya kwako na ili wasipingwe hao unaowaona wanajua na wanaelimu......
 
Akili yako Haina akili, leta Uzi wako tuone kama kweli na wewe nimjanja, siyo kushambulia watu wanaofahamu mambo kama unataka elimu sema usaidiwe, kenge wa mayai wewe
Unavyofikiri wewe ulivyo mpenda sifa kwa watu ukafikiri watu wote wako hivyo......
 
Back
Top Bottom