Sweden kuwafukuza kwa nguvu watu wenye asili ya Iraq


Vifungu vipo kabisa, kwamba mtu alipewa karatasi na akazingua. Karatasi linachukuliwa na unarudishwa kwenu kwa lazima.
 
Kwa makafiri ndiyo kwenye maisha. Wewe huoni mikoa ambako makobaz ni wengi, kumepauka kinyama. Wenyewe kazi yao kubwa ni umbea tu. Wamejaa uvivu na wivu.
Hapo sasa inakuwa kinyume chake.
Miji mikongwe kama ya Bagamoyo, Lindi, na mengineyo walivyo ishi maendeleo yamewafikia hapa Kalibuni baada ya kufikiwa na hao wanaowaita Makafiri na kufanya kazi za maendeleo. Kabla ya hapo ilikuwa miji ya hali ya chini sana.
Naona wanaitumia slogan ya ukafiri ili kuficha mapungufu yao.

Leo Baba wa Uislamu Iran anaomba msaada wa kijeshi kwa hao hao wanaowaita Makafiri.
Bila jamii nyingine watu wa Imani maisha yao yangekuwa duni, na vurugu tele.
Hao Saudia bila kuchimbiwa mafuta na jamii nyingine nao wangekuwa hoi kiuchumi.

Hapa inamaanisha wao ndio Makafiri.
 

Ebu soma tena ulichoandika.
 
Hata kunukuu unajuwa maana yake? Wewe utakuwa ni mBurundi au mkongo
 
Wafukuzwe tu, ingekuwa amri yangu hata hapa Tz ningewaondoa wote
 
Kwa makafiri ndiyo kwenye maisha. Wewe huoni mikoa ambako makobaz ni wengi, kumepauka kinyama. Wenyewe kazi yao kubwa ni umbea tu. Wamejaa uvivu na wivu.
Tunaona nyote mumekimbia huko mikoani mumekimbilia Dar es Salaam kwa waislamu wazaramo na huku Zanzibar ndio mliingia kwa majeshi na mnauwa kila miaka 5
 
Nipo China, naona Waafganistan nao wamekimbilia hapa kwa wingi....ila so far wana adabu, siwasikii usiku wala alfajiri wakipiga makelele yao!.
Mchina yuko serious kulinda culture yake is why hawadhubutu ku cross huo mstari
 
Mbona waislamu wachina wako wengi tu na kila siku wanasilimu?
Wako controled, unajua ethnic cleansing ambayo china wamefanya? Wanawapeleka kwenye camp maalumu kufanyiwa kitu kinaitwa re-education, lengo ni kufuta hizo ideology na wanafanyiwa ukatili mwingine. Yes uislam upo but hauna nguvu, uko under ccp gov control. Mchina si mtu wa mchezo
 

Hizo ni propaganda za west , hakuna kitu kama hicho

angalia mwenyewe



View: https://youtu.be/Xa_z1c_QztA
 
Nchi ipi ni ya wagalitia ??

Wewe tumekuzoea

Makanisa yanauzwa Sweden na kugeuzwa misiskiti
unaweza kutuletea ushahidi wa kuchomwa kanisa moja tu huko Sweden ?? ninavyofahamu makanisa yanauzwa kwa waislamu huko sweden hayana watu


Source ya habari yako tafadhali au chuki zimewazidi ??
Jiangalie wewe ni pumbavu sana, hao huko kila aina ya uhalifu wamo.
Wana mpaka makundi yao ya kimafia(magaidi)
mitaani.
Gym wanafundishana ugaidi mpk mtaani,nyumbani kila mahali ni hao hao tu.
Mtoto wa miaka 16 kapigwa shaba juzi tu hapo.
Miaka 18,16,22,26 wameuana wao na wazazi wao hukohuko Sweden mpk na bibi na babu zao.
Majitu yapo tu nchi za watu ni kula kulala kunywa kahawa basi ukoo mzima.
Afadhali hata wanawarudisha,vinginevyo wangedungwa sindano tu wapotee.
 
Nilidhani unawazungumzia wairaki wa kule Hanang.

Cc Teko Modise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…