Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid


Hizo ni Hadith za vitabu vyenu vya dini, kwa hiyo unakana haikutokea, Muhammad hakunyandua katoto ka miaka 9
 
Ujinga ni raha sana.


Hapo ndipo utaona raha ya Uislam, siyo 9 ni 6. Lakini punguani huelewi ni miaka 6 ya nini. Siyo miaka ya kuzaliwa , hiyo ni miaka ya sita ya kukua kwake. Yaani chukulia kama alibalehe na miaka 10 ina maana hapo ana miaka 26. hii unayoijuwa wewe.

Hilo moja. Lingine huelewi kuwa Mtume Muhammad alikuwa hafanyi chochote isipokuwa kwa wahyi. Hafanyi kitu kwa matamanio yao.

Huujuwi utamu wa lugha ya Kiarabu. Lugha iliyo karibi na Kiarabu ni Kiswahili pia, ukisikia Kiswahili unaambiwa "mvua sita" maana yake nini?

Halafu wewe siyo jaluo? Kama ni jaluo unatakiwa usipate tabu kabisa na lugha ya Kiarabu, lugha , mila na tamaduni zenu zinafanaa fanana. si mmetokea huko huko Sudani nyini mkadfata maji mengi yako wapi?
 
Hizo ni Hadith za vitabu vyenu vya dini, kwa hiyo unakana haikutokea, Muhammad hakunyandua katoto ka miaka 9
Siyo 9 wewe nyang'au, ni 6. Mbona unamkuza sana Bi Aisha, Alayha Salaam?
 
Hizo ni Hadith za vitabu vyenu vya dini, kwa hiyo unakana haikutokea, Muhammad hakunyandua katoto ka miaka 9
Zote story tu,hata ahmadia Wana vitabu vyao vinavyosema ghulam Mirza Ahmed kadiyani ni masihi,kitabu Cha dini yetu ni QUR'AN
 
Kitabu kinafundisha kuua mwanadam mwenzie si kitab cha shetan hicho ?
 
nani alieanza kusema kuwa shetani anapigwa mawe?
 
Umesema wewe mwenyewe kuwa unaenda kuangalia kwenye tv shetani wanapompoa mawe au umesahau?
 
Hicho ni kitabu kama vitabu vya shigongo.
 
Ila unafiki ni kitu kibaya sana .
Huwa mnapiga kelele humu MUISLAM NDUGU YAKE NI MUISLAM . Leo tena mnatuambia sisi sote ni kitu kimoja .

πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndugu yangu, Mimi ni mkristo Tena dhehebu la Lutheran, Mimi naingia kanisani Tena dhehebu yote nimesali, Roman katoliki, morovian, pentekoste, Lutheran, Anglican, T.A.G , winners chapel, mbali zaidi nimeingia hadi msikitini, Tena ninavaa kanzu, keffiyeh, nina swali vizuri.

Ndugu yangu Mungu Mwenyezi ni mmoja hizo dini ni utaratibu tu wa kumwabudu Mungu Mwenyezi, ila kumbuka Mungu Mwenyezi anaangalia moyo na imani yako.

EID AL ADHA MUBARAK NJEMA. πŸ™
 
Kumbe ni muiraq, muarabu kabisa.
Angekuwa mzungu ungesikia mara West agenda sijui nini.
Sema wanajiletea matatizo tu Sweden.
 
Wachukue Biblia waichane iwe ngoma droo kuliko nguvu kubwa wanayo react na kuleta mauaji yanayoepukika.
 
Kwanini wasimiache Mungu wao anipiganie mwenyewe?

Kwanini atetewe na Wanadamu?

Mbona inaleta maswali kuhusu nguvu na uwezo wa huyo Mungu?
 
Dada acha shobo dundo
 
Mungu mwenye kuhitaji kupiganiwa sio Mungu wa kweli ni mungu baal na wala hastahi kupiganiwa. Mungu anayekuandalia mabikra 70 ukazini nao na mito ya kulewa hakika ni upofu mtupu. Pumzi ikikata jua moja, uzima milele au moto milele uchaguzi ni sasa.
 
No wonder anawavutia kuzimu kwa ahadi fake za mito ya pombe na wanawake mabikra 70 uongo mtupu.Shetani ni baba wa uongo, asemapo uongo husema nafsi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…