WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Chuki mnaleta nyie wajinga, kwani huyo jamaa kakosea nini? kaona ni vyema afanye yeye sasa wewe unaumia nini? kazi ya hukumu ni ya Mungu braza ok
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo na wewe ndio umepotea kabisa!quran imewashinda maadui zake kwa HOJA NDO MAANA WANAICHUKIA.hauwezi kumkuta muislam akichoma biblia.maana anajua hicho kitabu hakina hoja za kumshinda.
Mahakama moja nchini Sweden imeruhusu uchomaji wa Quran kufanyika nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm.
=======
Soma zaidi.
Two men stood outside Stockholm's central mosque on Wednesday and burned a Quran, following the go-ahead given by a Swedish court, to coincide with the beginning of the Muslim holiday of Eid al-Adha.
The man who had requested permission for the action, a 30-year-old Iraqi refugee who wants the book banned, tore out pages from the Quran, wiped them on his shoe and set some of them on fire, Swedish public broadcaster SVT said.
Around 200 people gathered to watch, including counterprotesters. One man was detained after he tried to throw a rock.
Permission was given by a court on Wednesday. Sweden rarely bans protests, even ones that might be considered forms of incitement in other countries. The burning of the Islamic religious book took place during Eid al-Adha, one of the holiest days of the year for Muslims.
The book burning may further jeopardize Sweden's attempts to overcome Turkey's opposition to its NATO membership bid. Turkish President Recep Tayyip Erdogan responded to a previous Quran burning by saying Sweden should not join the alliance.
Turkish Foreign Minister Hakan Fidan condemned the act in a tweet.
What did Swedish authorities say?
The court had said that there must be a clear connection between security problems and the planned gathering. Police deemed this to not be the case, according to Swedish broadcaster TV4.
"The security risks and consequences that the authorities can see connected to a Quran burning are not of such a nature that according to the current law they give grounds for a decision to reject a request for a general gathering," the court said.
"Police authorities, therefore, give you permission for the requested gathering," it added.
Morocco withdraws envoy
In response to the incident, Morocco withdrew its ambassador to Sweden on Wednesday for an indefinite period.
Morocco's Foreign Ministry also summoned Sweden's charge d'affaires in Rabat and expressed the kingdom's "strong condemnation of this attack and its rejection of this unacceptable act," the state news agency reported.
Sweden's book-burning problems
The burning of the Quran has become a mainstay of far-right extremists in Sweden, with Danish-Swedish far-right politician Rasmus Paludan having made a name for himself with such acts. But Paludan was not behind Wednesday's action.
Although Sweden rarely bans protests, or book burnings, a planned anti-NATO demonstration that would have also included a Quran-burning rally, was blocked by Swedish police in February.
Before that, far-right extremists had burned a Quran outside the Turkish embassy. This led to Turkey canceling a visit by Sweden's defense minister to Ankara, and President Erdogan saying Sweden can not count on Turkey's support.
DW
Kumbuka pia Januari mwaka huu tukio la kuchoma Quran lilifanyika Sweden.
Quran yachomwa moto Sweden
Mwanasiasa mmoja nchini Sweden kachoma quran mbele ya balozi wa uturuki. Kitendo hicho kimewakasirisha watu hasa RAIA wa uturuki mpaka kusababisha watu kuchoma Bendera ya swedenwww.jamiiforums.com
bibila ni kitabu kilichokuja baada ya yesu kuondoka duniani.hapo hapo biblia imechezewa maandiko yake.kuna aya wanafuta kuna aya wanaongezaHapo na wewe ndio umepotea kabisa!
Unajaribu kuziba mvua kwa mkono?Wewe ndio unabisha.....
Nimekuwekea facts nilitegemea utanijibu kisomi KINYUME chake unanijia na zodo tu [emoji1787][emoji1787]
Ndio nakwambia na wewe unapotea!Ukishaamini dini yako inatosha,wa dini hiyo nayo wanaweza kukujibu hivyo hivyo!Mijadala ya imani haijawahi kuishia sehemu salama zaidi ya kila mtu kushika la kwake!So ka kujua hilo,wewe amini unachoamini na muache mwingine aamini anachoamini kisha mheshimiane kwa kila mtu anachoamini!bibila ni kitabu kilichokuja baada ya yesu kuondoka duniani.hapo hapo biblia imechezewa maandiko yake.kuna aya wanafuta kuna aya wanaongeza
Nakala ya Qur'an tukufu ilikaa kwenye majumba ya ufalme wa uingereza kwa Karne,zipo pia Vatican...Kwahiyo mungu wenu hana uwezo wa kuilinda ila ninyi wanadamu?
Mungu gani!?..ulipo huna hata uhakika unaabudu Mungu gani,ukiulizwa huwezi mtaja kwa sentensi moja Bali maelezo mengi ambayo hata mwenyewe huyaelewiSababu twaamini hata wachome Mungu sio Biblia
Ulishasikia wakristo wakileta vurugu kwa sababu biblia imechomwa?Hawa ndio wanaoleta mtafaruku wa dini upuuzi mtupu
Kesho uarabuni nao watachoma Biblia
Tatizo sio hilo,tatizo ni jambo hilo kuwa backed na mamlaka!Vichaa sawa tunajua wapo,issue ni kupewa airtime na uwanja wa kufanyia huo uvichaa wao!Hizi unaweza kuzuia kila kitu Dunia hii? Kuna vichaa, watumia madawa ya kulevya, watoto, wapenda fujo......... kama Dunia nzima utakuwa unafuatilia kila wanaochoma vitabu badala ya kuangalia na kujali wewe na Mungu wako utakuwa na shida sana. Jali imani yako zaidi ya vitu. Hicho kitabu hujui kimetoka wapi au hata ni kweli kitabu au uzushi. Mtu anaweza kuchoma daftari akasema Quran utajuaje??
Mungu wa biblia ndiyo yupi!?Mungu wa Biblia anajitetea mwenyewe mkuu. Unapomkashifu au kuchoma Bible utakutana naye wewe mwenyewe. Sisi wafuasi tuko kimyaaaaaa maana vita ni vya Bwana.
Yesu alibinua mezabza biashara hekaluni baada ya wayahudi kugeuza hekalu soko...mbona hakuwahubiria badala yake akachukia kuliko Mungu wake!?Hakuna mwenye jeuri ya kumpangia mwenzake, unapaswa umhubirie huyo unayedhani amekengeuka lakini sio umlipukie mabomu kwamba wewe ndiye umekerwa kumzidi "mungu" wenu.
Ungeuliza kwanza kabla ya kudhihaki ningekwambia QUR'AN inasema nini juu ya mtu ambaye ujumbe haukufika kwakeDini za kuletwa na Meli Africa zina changamoto zake , Hivi watu wote waliofariki Kabla ya dini kuletwa na Meli , wameenda mbinguni au jehanamu ¿??????.
Mungu wenu ana nguvu Sana Ila hawezi kuhubiri mwenyewe tumsikie tumfuate,badala yake mnarukwa mate kwenye majukwaa jua Kali kimuhubiri,na babu zako waliingia dini kwa kupewa masweta ya mitumba na peremende...kwa fikra zako hizo huyo Mungu hajiwezi,dhaifuMungu wetu ana nguvu sana.
mungu wao hana nguvu
Unavijua Vita vya msalaba!?Mtani upo ndugu yangu🤣🤣🤣🤣🤣 tusalimiane @ Mkunazi Njiwa : Kuna kisa kilitokea biblia zilichomwa kule jakrata Indonesia malundo kwa malundo na sababu ilikua ndogo tu ya makosa ya kiuandishi na baadhi ya makanisa yakabimolewa.Na hakuna aliyelalamika,au hujui hiyo incident?????? Mm ni mtafiti wa dini za binadamu,na kisaikolojia nadhani misingi ya dini ys ukrsto imejengwa kwa kutolalamika wala kuitetea au kuipigania dini yao.Na uislamu umejengwa katika imani wanayoita kupigania dini kwa mitazamo binafsi mfano mzuri hicho kikundi cha Al shabab au Talban.Wakrsto wao wapo kiroho sana kuliko kimwili ndio maana hawana masharti mengi ya kimwili na waislamu wapo kiroho na kimwili ndio maana wana masharti mengi ya kimwili.Maoni yangu ndio hayo mkuu kama mtafiti wa dini za wanadamu.
Bila hivyo Qur'an ingekua na versions nyingi mzee,unadhani kulinda ni kumuona na mapanga na mishale!?..Allah sijawahi kumuona akiilinda Quran Wala uislamu
Ukweli gani umewahi kuutoa we mbuzi!?Kimsingi jikite kwenye kuwapa ukweli wao, mimi huwa nawapa maandiko yao wenyewe ambayo yapo kwenye vitabu vyao.
Yule babu yao alikua anagegeda katoto, ipo imeandikwa, alikua ananyonya ulimi wa mvulana, ipo imeandikwa, yaani maushetani mengi tu ambayo hawawezi kukana maana yameandikwa humo kwenye vitabu vyao.
Na hawa ndugu zetu kutoka nchi za kiislam ni wakati sasa wa kuwa na selection za oa kwenda. Mimi ni mkristo, hata ktk ukimbizi chaguo langi la kwanza haliwezi kuwa Iran au Pakistan au India ambako najua naenda kupata shida hasa ktk ku practice Imani yanguHizo ni nchi za mashoga....
Zinawapinga wakristo wanaofuata maandiko....
Zinawapinga wayahudi.....
Zinawapinga waislamu....
Hao ni "atheists" tu [emoji1787][emoji1787]