Samahani, huna uwezo wa kiakili hara punje kuelewa hekma iliyopo hapo. Nashauri jadili vifungu vingine labda na kama havipo basi tafadhali turudi kwny mada tunazoziweza.............Kanyea popo, kumtusi jk n.ksiku zote huwa najiuliza hivi huyu mungu anayehitaji msaada wa wanadamu wampiganie, wamtetee, ni mungu mwenye nguvu kweli? unaaminije kitu ambacho kinakutegemea ukipiganie na kukitetea? upofu kitu kibaya sana. binafsi mimi Mungu wangu, hata ufanyeje sihitaji kumpigania au kumtetea, yeye anazo nguvu za kutosha kujitetea hahitaji msaada wa mwanadamu. angehitaji msaada wa mwanadamu kutetewa ningeona ni mungu sawa tu na sisi na hapangekuwa na haja ya kumwabudu mtu aliye sawa na wewe.