Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid

Sweden: Mwanaume achoma Quran nje ya msikiti siku ya Eid

Wewe bibi jiandae ulale. Hizo nati za ubongo zimeanza kulegea. Kulala kwa muda mrefu kunaweza kuongeza afya ya akili.

Saa mbili ya usiku, ukilala mpaka asubuhi una uhakika wa walau masaa 9.
Kijana hutaki nisali? Nalala saa tano ya usiku, naamka saa 9, nasali narudi kulala mpaka ntapoamka.


Nilale mapema yote hii na leo Eid. Unanchekesha. Hivi natazama TV Live watu wapo Muzdalifa huko wameshaanza kusali na kuondoka, wakamlambe mawe shetani.
 
Wacha hata kuchoma Biblia, tumeshuhudia Wakristo wakichinjwa na waislamu kisa imani, bus linatekwa Garissa, abiria asiye muislamu anachinjwa, haya matukio yalishatabiriwa, ni Mkristo asiyesoma Biblia ndiye atashangaa maana siku zinakuja tutashuhudia mengi.
Umesahau Kenyata alisema mnauwana wenyewe mnawasingizia Waisla, wizi wakubwa nyinyi.
 
Kiajna hutaki nisali? Nalala saa tano ya usiku, naamka saa 9, nasali narudi kulala mpaka ntapoamka.


Nilale mapema yote hii na leo Eid. Unanchekesha. Hivi natazama TV Live watu wapo Muzdalifa huko wameshaanza kusali na kuondoka, wakamlambe mawe shetani.
Bibi nikaribishe Eid. Nitafika bila kukosa.

Nile nisaze, nimshukuru Mwenyeji.
 
siku zote huwa najiuliza hivi huyu mungu anayehitaji msaada wa wanadamu wampiganie, wamtetee, ni mungu mwenye nguvu kweli? unaaminije kitu ambacho kinakutegemea ukipiganie na kukitetea? upofu kitu kibaya sana. binafsi mimi Mungu wangu, hata ufanyeje sihitaji kumpigania au kumtetea, yeye anazo nguvu za kutosha kujitetea hahitaji msaada wa mwanadamu. angehitaji msaada wa mwanadamu kutetewa ningeona ni mungu sawa tu na sisi na hapangekuwa na haja ya kumwabudu mtu aliye sawa na wewe.
Embu na wewe acha bangi zako huyo mungu wako aliyozaliwa na maria? Au mwingine?
 
Siye ndiyo tunataka wachome Sweden huko, wenyewe wengi walikuwa hawajuwi Uislam ni nini. Toka walipoanza hao wajinga kuchoma moto Qur'an huko tazama nini kinachotokea:



Raha sana.
 
Umesahau Kenyata alisema mnauwana wenyewe mnawasingizia Waisla, wizi wakubwa nyinyi.

Uzombi wenu haujui mipaka ya nchi wala nini, ukishajiunga huo uzombi unakua kama uliyepagawa, ndio maana mnatetea hata bandari kuliwa na mwarabu kisa dini.

Halafu wewe mwanamke sijui huwa unapata wapi jeuri ya kupambana na wanaume ilhali kwenye hiyo dini mwanamke haupaswi usikike kwenye chochote, wanawake huonwa kama takataka fulani hivi, na ndio maana yule mzee wenu mwarabu mnayemuabudu aligegeda katoto ka miaka 9 (Aisha) na nyote huwa mnaona poa tu.
 
BIBLIA Imeandika Hiyo DINI ya uarabuni kwa Lugha ya picha UFUNUO 9

IMEANDIKWA Hadi TAREHE ya kuanzishwa kwake

Uangamivu wake nk.

KAMA MTU AKIITAJI HUO UNABII ANIFUATE PM NITAMTUMIA.

UISLAMU ni DINI ya shimo la KUZIMU.
 
MTU kanunua mwenyewe na baada ya kuisoma kaamua kuichoma, wewe mwenye Imani hiyo una kopi zako yatu za Kiran, inakuhusu nini? Kumbe Imani yako iko pale pale. Acha wachome.
 
Zaburi 127:1-2 “Bwana asipoijenga nyumba Waijengao wafanya kazi bure. Bwana asipoulinda mji Yeye aulindaye akesha bure. Kazi yenu ni bure

MNAFANYA KAZI BURE WAISLAMU.
KAMA QURAN INGEKUWA NI KITABU CHA MUNGU.
MUNGU MWENYEWE NDIO ANGEILINDA QURAN
LAKINI NI YAKINA WARAQ BIN NURFAI PADRE WA KATOLIKI, SHETANI, MAJINI NA MAPEPO.
HAKUNA MUISLAMU MWANAZUONI ASIYEMJUA .

POLENI sana Kwa kufanya KAZI ya Bure.
 
QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.
 
15:9 Quran

إِنَّا نَحۡنُ نَزَّلۡنَا ٱلذِّكۡرَ وَإِنَّا لَهُۥ لَحَٰفِظُونَ
Hakika Sisi ndio tulio teremsha Ukumbusho huu(Quran), na hakika Sisi ndio tutao ulinda.
Wao. Wako wangapi au ndio hao utatu mtakatifu yaani Mungu baba, Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu?
 
Hawa ndio wanaoleta mtafaruku wa dini upuuzi mtupu

kesho uarabuni nao watachoma Biblia
Mungu wa Biblia anajitetea mwenyewe mkuu. Unapomkashifu au kuchoma Bible utakutana naye wewe mwenyewe. Sisi wafuasi tuko kimyaaaaaa maana vita ni vya Bwana.
 
Back
Top Bottom