SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

Kuna tofauti ipi kati ya tamthilia hii 'Kosem Sultan'
na hii 'Sultan' inayorushwa Azam tv


Nimeangalia Kosem Sultan binti mrembo Anastasia anatekwa kutoka ugiriki mpk jengo la kifalme instambul kipindi hicho mtawala wa taifa ni sultan ahmed aliye apishwa na Saphia Sultan(grand queen),baadae mwishoni akaja mtawala Osman (mtoto wa Ahmed na Anastasia) yakatokea mapinduzi ya kijeshi Osman anauliwa na Mustapha (mdogo wa Ahmed/mtoto wa Halima)anakosa vigezo vya kuwa mfalme kutokana na matatizo ya akili ,

Anastasia (mother queen) anaua wasaliti wote walioshiriki kupindua nchi ikiwemo Dilhuba na mama yake yani (Halima), kisha tamthilia inaishilia ep 100 mahali Anastasia (kosem) anaelekea kumuapisha mwanae mmoja kati ya watoto 4 kuwa mtawala wa taifa.

NAOMBA: Mwenye kufahamu, je hiyo Sultan inayorushwa Azam ni mwendelezo huu au ni series nyingine, na kama ni mwendelezo zipo series ngapi za hii tamthilia matata ya kifalme (Ottoman empire) ndani ya viunga vya instambùl -TURKEY.?

Natanguliza shukrani za dhati kabisa... Asante!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan Ruby Nampa credit! Amafanya vzr [emoji119][emoji119]..

BTW kile kigauni chake kingekuwa cheusi, yaan mtu anaweza kuhisi MBUNI imekuja SZIFF..

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Eti mbuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ✓
 
Kiukweli tuzo za mwakani huu ni Charity!!

Washereheshaji boom heri wangeendesha Charles na Ivone ingenoga dah
Habari za jioni wapendwa wana jf !!!!Leo ndo kilele cha usiku wa tuzo za films zinazofanyika na kuonyeshwa live Kupitia Azam TV ambalo ni mwaka wa pili tangu kuanzishwa kwake hapa nchini kwetu...!!

Kuna filamu mbalimbali zinashindanishwa kutoka kwa wasanii wetu hapa Tanzania na pia wasanii wanashindana katika vipengele tofauti tofauti.

Naona mambo yameanza kwa show. Mubashara!!

Picha iliyotrend kuliko zote ya zulia jekundu ni ya mwanadada Tausi Mdegela.[emoji2]

View attachment 1030597

Ni vya kwetu hata kama vibaya hatuna namnaaa!!! Karibuni nyote wadau!!!

Kwenye mitandao ya kijamii kumekuwa na malalamiko ya tukio kupooza na washereheshaji kudaiwa 'kuboa'.

==========
WASHINDI

Muziki Bora wa Filamu Fupi - Sisi na Wao

Muziki Bora World Cinema - The Silent Revolution ya Ujerumani

Muziki Bora wa Filamu Ndefu - Dema (Khatwab Khamis)

Mpigapicha Bora katika Filamu Fupi - Tamaa (Adam Juma)

Mpigapicha Bora World Cinema - Fatuma ya Tanzania

Mpigapicha Bora Filamu Ndefu - T- Junction (Lister Millado)

Mhariri bora wa Filamu Fupi - Tamaa (Ibrahim Jabir)

Mhariri Bora World Cinema - Sasha was Here ya Estonia

Mwandishi Bora wa Muswada(Screenplay) Filamu Fupi - Supa Mama (Christina Pande)

Mwandishi Bora wa Muswada World Cinema - Golnesa (Vida Salehi)

Mwandishi Bora wa Muswada Filamu Ndefu - Petu na Garu (Sylone Malalo)

Mchekeshaji Bora Filamu ndefu - Mama Mwali (Madebe Lidai)

Muigizaji Bora wa Kike World Cinema - Leena Alam wa Afghanistan na Myra Vishwakarma wa India

Makala bora - Amka (Adam Juma)

Filamu Bora katika Filamu Fupi - Supa Mama

Tuzo ya mtu aliyetukuka katika Tasnia ya Filamu - King Majuto

Mhariri Bora wa Filamu Ndefu - Petu na Garu(John Kallaghe) & T-Junction (Kelvin Mpeta)

Filamu zilizofanya vizuri katika mikoa husika

Mwanza: Laana ya Mke
Morogoro: Mchumia
Mtwara: Unga Unga Mwana
Mbeya: Kidato
Lindi: Dume Jinga
Arusha: Akisha

Filamu Bora yenye maudhui ya kitaifa - Siyabonga (Salim Ahmed a.k.a Gabo Zigamba)

Muongozaji Bora wa Filamu Fupi - Tamaa

Muongozaji Bora World Cinema - EE.MA.YU wa India na Golnesa ya Iran

Muongozaji Bora wa Filamu ndefu - T-Junction (Amil Shivji)

Tamthilia Bora - Safari Yangu (Ester Mdeme)

Muigizaji Bora wa Kike "People's Choice Award" - Flora Patience Kihombo (Kesho)

Muigizaji Bora wa Kiume "People's Choice Award" - Rashid Msigala (Kesho)

Filamu Bora World Cinema - Pihu ya India

===========

Lawama tani kadhaa zimerushwa kwa Azam TV kwa kuwapa watoto tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike na wa Kiume. Wananzengo wanalalama kuwa watoto hao hawawezi kulinganishwa na Gabo Zigamba wala kipenzi chao Wema Sepetu.

Wanatishia kutoangalia tena huku swali kuu likiwa "hizi ni tuzo au charity?"

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo Kubwa ninalo liona kwa Azam Media ni kutaka kufanya Jambo Kubwa Peke yao Bila Kushirikisha au kutaka kutafuta Wadau kutoka Nje ya Azam Media. Tofauti na Host aliyetoka Nje na baadhi ya nyuma ya Kamera Lakini Azam ilipaswa kuwa Chanel Namba Moja hapa Bongo lakini ndio hivyo kutaka kufanya jambo peke yake na hata Vipindi vyao Kwanini hawataki kuruhusu Vipaji kutoka nje ya Azam?
Una uwakika unajua Azam imeibua vipaji vingapi TV nyingine zilikuwa wapi kufanya kitu kama hiki, wamejaribu wamethubutu na wameweza makosa yapo yanarekebishika .
 
Yani Mkuu nimejikuta nawaonea huruma wale walioondoka makwao,nakulipia kushuhudia hili Live pale Mlimani City,Jamaa wako wako tu.............. Azam media ina watu wakuhost ishu za kiburudani ila si Baruan! Shame.......
Halikuwa na kulipia kiingīlio ni suala lä kualikwa tu
 
Back
Top Bottom