Mbona kama umetupiga kama Mkuu...Ni kweli washitaki kwa kuingilia privacy yako; ukiwa na mwanasheria mzuri watakulipa fidia kubwa kuliko deni hilo. Deni ni jambo lako private inayolindwa na katiba kifungu 16-1 mpaka pale mahakama itakapoamuru litangazwe. Walichotakiwa wao na kukupeleka mahakamani, siyo vinginevyo.
Acha wizi lipa pesa za watuHiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.
Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
Lipa hela za watu chief vurugu zote za nn?Sasahivi wamempigia mzee wangu kijijini wamemtaitisha, mzee amenicheki kanambia anataka kutupa laini.
Nimemwelewesha lakini mzee nae haelewi [emoji50][emoji100]
Silipi unatakaje ????
Hii nzuri ila umeenda harakaharaka sana rejea tena kutupa huo utaalamu tafadhaliHiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Acha wizi lipa hela za watuSilipi unatakaje ????
Sijui wewe unasoma Katiba gani yenye kifungu hicho ulichonukuu; nadhani unasoma kanuni za bunge; Katiba yenyewe inasema hiviMbona kama umetupiga kama Mkuu...
16.-(1) Chama kinachounda Serikali na Chama chenye haki ya
kuchagua Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, vitateua
Wanadhimu wa vyama hivyo Bungeni ambao watajulikana kwa
jina la Mnadhimu wa Serikali na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya
Upinzani Bungeni.
Asante Mkuu, yamkin nilipata kisichoSijui wewe unasoma Katiba gani yenye kifungu hicho ulichonukuu; nadhani unasoma kanuni za bunge; Katiba yenyewe inasema hivi
View attachment 2913620
Tatizo lipo mkuu.Wachana nao
kwani wakitumia watu sms kama hiyo we unapungukiwa nini, songa mbele usirudishe pesa
Wewe picha yako itakua mtandaoni soon 🤣🤣🤣Mara hii nimeamini maneno ya mleta mada,hii text nilitumiwa wiki iliyopita inaonekana kuna jamaa ana namba yangu amewakopa,surprisingly nimejikuta kumbe na mimi kitendo cha mtu mwenye # yangu kukopa mtandaoni basi moja kwa moja nakuwa nimemdhamini hata kama simjui.View attachment 2934580
(truecaller imenipa jina la mmiliki wa hiyo # ila sijamfahamu hasa ila kwa wanaomfahamu watamuona kama mtu wa ajabu sana,hakika huu ni udhalilishaji)
Ndugu stefano iyanga lipa pesa ya watu aiseeHuenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita.
View attachment 2910966View attachment 2910967
App nyingi za finance huwa zina detect kama simu ipo rooted na huwa hazifanyi kazi kwenye rooted phonesHiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Nimezihesabu zizpo 20.. Kila App wakikupa 50k unakua na 1MInawezekana hizo zote ni za kampuni za mtu mmoja. Kuna jamaa nahisi kakopa kwenye hizo app zote kisha katupa line
Hao jamaa akili hawana maana haijulikani wanatumia sheria za wapi yaani hawajui mtu upo ktk situation gani lakini wao wanakung'ang’aniza udhamini.Wewe picha yako itakua mtandaoni soon 🤣🤣🤣
kuna nyingine Pesa X wana maneno ya shombo hadi niliwasave wote namba zao 11 kwenye access nilifinya kuna app moja ilikuwa hacked ilikuwa inaruhusu kupata sms na namba lakin inawapa empt kwahyo hawakupata access yoyote sikuwalipa niliwazulumuWachana nao
kwani wakitumia watu sms kama hiyo we unapungukiwa nini, songa mbele usirudishe pesa
kuna nyingine Pesa X wana maneno ya shombo hadi niliwasave wote namba zao 11 kwenye access nilifinya kuna app moja ilikuwa hacked ilikuwa inaruhusu kupata sms na namba lakin inawapa empt kwahyo hawakupata access yoyote sikuwalipa niliwazulumuWachana nao
kwani wakitumia watu sms kama hiyo we unapungukiwa nini, songa mbele usirudishe pesa