KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Habari za Leo wakuu.
Unasema siafu ni wasumbufu, wanang'ata, je umewahi kuvumilia usumbufu wa hao wakopeshaji wa mtandaoni?View attachment 2961282
kuna mdau yupo blacklisted kwa sababu alikimbia deni la songesha kwa kutupa line kabisa
kwa sasa vyombo vyote vinavyotumia mfumo kuangalia ni wapi unadaiwa hakopesheki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…