Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Fanya hivi nenda setting>Privacy>permission manager>apps that can control your data....ukifungua huk utazikuta app zote ulizo allow ku access simu yako then gusa moja moja utakuta kipengele cha dont allow.Backup ya taarifa zake ziko kwenye system yao. Hata akifuta hiyo app wao bado wanazo
Uwalipe wakat tayari washakuanika? win win situation wewe bak na hela yao wao wabaki na uzalilishaji wao.Hivi mkuu unanishauri niwalipe kwanza au nisiwalipe kabisa.
Maana mimi suala la kuwalipa nafsi yangu inakataa kabisa kwa walicho nifanyia
Nipo na msituko maana waliokuwa wandai kuwa wamekopa kumbe walikuwa wanatafuta pesa za kupeleka watoto wa marafiki hospitali.
I knew this gonna happen🤒🤒,,, anyways unaendeleaje??Nipo na msituko maana waliokuwa wandai kuwa wamekopa kumbe walikuwa wanatafuta pesa za kupeleka watoto wa marafiki hospitali.
Eeeh miye nashangaa mtu anakwambia eti wanadharirisha kivipi si umechukua pesa yani wakikudharirisha ndio tiketi huwalipi kabisaWachana nao
kwani wakitumia watu sms kama hiyo we unapungukiwa nini, songa mbele usirudishe pesa
Kwa jinsi walivyo wahuni, hii ndio dawa yao.Hiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application
Wazembe sana.BOT ndo tatizo
Mkuu,Jamaa ameniangusha sana phone book majina zaidi ya 200 but hakuna hata mmoja anayemwamini hela chini ya laki?
Wanaundaga magroup ya Whatsapp na kukudharirisha. Kuna jamaa mmoja niliona ameundiwa group la WhatsApp na huko wameaddiwa ndugu na wazazi wake. Group linaitwa NAUZA MK......U ILI NIPATE PESA YA KUWALIPA PESA X. Wakaweka na Profile picture ha jamaa kabisa. Wanauzi sana hao raia.Eeeh miye nashangaa mtu anakwambia eti wanadharirisha kivipi si umechukua pesa yani wakikudharirisha ndio tiketi huwalipi kabisa
Na watanzania tunakuwa watu wa ajabu sana hao ilitakiwa hao jamaa wapigwe pesa mpaka wajue kumbe wabongo hawagopi dharirishwa
Tupate wakili wa kujitolea tuwapeleke wao mahakamani kwa kosa la kutudhalilisha.Wanaundaga magroup ya Whatsapp na kukudharirisha. Kuna jamaa mmoja niliona ameundiwa group la WhatsApp na huko wameaddiwa ndugu na wazazi wake. Group linaitwa NAUZA MK......U ILI NIPATE PESA YA KUWALIPA PESA X. Wakaweka na Profile picture ha jamaa kabisa. Wanauzi sana hao raia.
mamlaka za nchi yetu huwa zinakua sharp kupambana na wapinzani tu, magenge kama haya wanachukua muda mrefu kuwawajibishaWanaundaga magroup ya Whatsapp na kukudharirisha. Kuna jamaa mmoja niliona ameundiwa group la WhatsApp na huko wameaddiwa ndugu na wazazi wake. Group linaitwa NAUZA MK......U ILI NIPATE PESA YA KUWALIPA PESA X. Wakaweka na Profile picture ha jamaa kabisa. Wanauzi sana hao raia.
........ c) Unatumiwa SMS/ Unapigiwa na namba tofauti kwakua mteja una stages. Kuna stage 0 (Kabla haujaoverdue), stage 1 (baada ya kuoverdue kwa siku 1 mpaka 3 au 7), stage 2 (umeoverdue kuanzia siku 4 n.k) so ni lazima utapigiwa na namba tofauti kwakua hizo stages zote zina staff tofauti......Twin_Kids
Mahakamani unaweza kupelekwa na kesi ikawa against your favor.
Ukienda BRAC au NMB kukopa unaweka dhamana kitu. Online hauweki kitu, in theory tunatarajia hitaji lako la next loan ndilo litakupush ulipe (in practice ni mchanganyiko na sitaandika)
a) Ili nijue riba ya kampuni natakiwa kujua principal amount aliyopokea mleta uzi na alichotakiwa kurudisha. Riba imo ndani ya maelekezo ya BOT.
b) Mkopo ni wa online. Kuonana, kunaua logic ya msingi ya mkopo wa online.
c) Unatumiwa SMS/ Unapigiwa na namba tofauti kwakua mteja una stages. Kuna stage 0 (Kabla haujaoverdue), stage 1 (baada ya kuoverdue kwa siku 1 mpaka 3 au 7), stage 2 (umeoverdue kuanzia siku 4 n.k) so ni lazima utapigiwa na namba tofauti kwakua hizo stages zote zina staff tofauti.
2) Upo sahihi. Kuna namna za kuongea na mteja na emergency contacts. Hizi contacts ambazo wamepata access sijui sheria inasemaje. Hizi siwezi kuzisemea, kama unahisi unaweza kushinda mahakamani jaribu kumshirikisha mwanasheria.
3) Taasisi zinajulikana. Nilielezea ni kwanini mnafeel hazijulikani but zinajulikana. So kutojulikana usiutumie kama msingi, as I said earlier ni ngumu online platform na mteja kukutana kudiscuss malipo, ikiwa mteja anaona kuna umuhimu huo ni bora akapokea simu na kujielezea.
Of course kampuni nyingi hua zinaweza kumfanyia exemption mteja mfano badala ya 35K akalipa 25K. Kwa ulichoandika hapa naona haujui Fintech inafanyaje kazi kwa % kubwa.
Hela za kugawa kama njugu? Hili swali ni la kitoto mno sioni kama ni level yangu ya uelewa kulijibu. Kama mitandao ya simu itakua inakata pesa kutakua hakuna haja ya uwepo wa debt collectors.
Mimi nilikopa app inaitwa Jipimiekash tarehe 26, kufika tarehe 28 ananipigia muhudumu wao kunilazimisha nilipe wakati due date ni tarehe 1 nilimind sana licha ya kumueleza anajibu "hiyo tarehe 1 ni ya kampuni,mimi nataka ulipe leo kabla ya jioni"Hii adha alikutana nayo PS wa ofisini kwetu, tulimshauri atafute mwanasheria akaogopa akaishia kulalamika. ila yeye case yake ni tofauti kidogo, walimdhalilisha akiwa ameshafanya malipo tayari na wao ndio walichelewa kuconfirm malipo.
details bossHiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.
Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
haahahaHiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.
Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
Pole sana,hao jamaa ni wahuniHuenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita.
View attachment 2910966View attachment 2910967
Pia soma malalamiko mengine: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Iwashughulikie Wakopeshaji wa Mtandaoni Wanaodhalilisha Wateja Wao Kwa Kusambaza Taarifa Binafsi Kwa Wasiohusika
Majibu ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi: Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi yazionya Taasisi za mikopo zinazodhalilisha watu ikiwemo kutuma ujumbe kwa ndugu
AiseeHiyo access uliwapa wewe mwenyewe....
Mara ya kwanza ulipoanza kutumia hiyo app ilikutaka uruhusu matumizi kama location,storage na some authority options ndio maana yamekutokea hayo....
Hao dawa yao simu inakua rooted,Una remove acces ya contact unawaomba mkopo,wanakupa....
Unafungua lucky patcher unaedit custom firmware za app halafu unafuta na application