KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Backup ya taarifa zake ziko kwenye system yao. Hata akifuta hiyo app wao bado wanazo
Fanya hivi nenda setting>Privacy>permission manager>apps that can control your data....ukifungua huk utazikuta app zote ulizo allow ku access simu yako then gusa moja moja utakuta kipengele cha dont allow.
 
Wachana nao
kwani wakitumia watu sms kama hiyo we unapungukiwa nini, songa mbele usirudishe pesa
Eeeh miye nashangaa mtu anakwambia eti wanadharirisha kivipi si umechukua pesa yani wakikudharirisha ndio tiketi huwalipi kabisa

Na watanzania tunakuwa watu wa ajabu sana hao ilitakiwa hao jamaa wapigwe pesa mpaka wajue kumbe wabongo hawagopi dharirishwa
 
Kwa jinsi walivyo wahuni, hii ndio dawa yao.
 
Mkuu sasa huoni kuwa Mwanasheria anaweza kuhitaji kiasi kikubwa cha fedha kuendesha kesi kuliko ungewalipa hiyo ths.56,000?
Tumia busara lipa pesa yao endelea na mipango yako!
 
Wanaundaga magroup ya Whatsapp na kukudharirisha. Kuna jamaa mmoja niliona ameundiwa group la WhatsApp na huko wameaddiwa ndugu na wazazi wake. Group linaitwa NAUZA MK......U ILI NIPATE PESA YA KUWALIPA PESA X. Wakaweka na Profile picture ha jamaa kabisa. Wanauzi sana hao raia.
 
Tupate wakili wa kujitolea tuwapeleke wao mahakamani kwa kosa la kutudhalilisha.
 
mamlaka za nchi yetu huwa zinakua sharp kupambana na wapinzani tu, magenge kama haya wanachukua muda mrefu kuwawajibisha
 
........ c) Unatumiwa SMS/ Unapigiwa na namba tofauti kwakua mteja una stages. Kuna stage 0 (Kabla haujaoverdue), stage 1 (baada ya kuoverdue kwa siku 1 mpaka 3 au 7), stage 2 (umeoverdue kuanzia siku 4 n.k) so ni lazima utapigiwa na namba tofauti kwakua hizo stages zote zina staff tofauti......
 
Dawa ya deni ni kulipa, acha maneno mengi lipa pesa za watu. Kitendo cha wewe kukopa 42,000/= kinaonesha wewe ni mtu wa aina gani. Kukopa 42,000/= kwenye taasisi wakati una contacts 200 kwenye simu yako ni jambo moja, lakini kuja hapa na kulalamika kwamba umedhalilishwa na kwamba eti unatafuta mwanasheria, hilo ni jambo lingine.
 
Hii adha alikutana nayo PS wa ofisini kwetu, tulimshauri atafute mwanasheria akaogopa akaishia kulalamika. ila yeye case yake ni tofauti kidogo, walimdhalilisha akiwa ameshafanya malipo tayari na wao ndio walichelewa kuconfirm malipo.
Mimi nilikopa app inaitwa Jipimiekash tarehe 26, kufika tarehe 28 ananipigia muhudumu wao kunilazimisha nilipe wakati due date ni tarehe 1 nilimind sana licha ya kumueleza anajibu "hiyo tarehe 1 ni ya kampuni,mimi nataka ulipe leo kabla ya jioni"
 
Hiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.

Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
details boss
 
Hiki ndo nilichowafanyia PESA X mbwa wale, nimepita na 80000 yao, na kunishika hawawezi, shenzi kabisa yani mtu ukikaa tu siku tatu bila kuwalipa wanaaza usumbufu wa kingese.

Mpaka waje kudevelop hizo applications zao tutakuwa tumewaliza sana.
haahaha
 
Pole sana,hao jamaa ni wahuni
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…