Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Duh pole sana mkuuHii kesi hata mimi Superintendent kimura inanitafuna kuna manzi kaniacha baada ya kupokea sms kutoka kwa hayo mabwana
Ni vizuri awe na watu kumi tu kwenye simu ambao wana tijaImenishangaza kidogo kwamba simu ina majina zaidi ya 200 lakini hukumuona hata mmoja ktk hao angeweza kuku-save 50K ili umalize shida zako mpaka ukaenda kudhalilika mtandaoni.
Hao walipe tu hela yao but pamoja na hayo upo umuhimu wa wewe kuboresha mahusiano yako na jamaa zako (sisemi unahusiana nao vibaya ila ongeza umakini)
Brand yangu ishaharibikaMwamba usiwalipe kwa walichokufanyia ni udhalilishaji,wamekuvua nguo.Fikiria watu ulikuwa unaheshimiana nao,alafu wakudhalilishe kirahisi.USIWALIPE,waambie ushawalipa kupitia udhalilishaji waliokufanyia.
Hapana, sifanyi ivoWalipe tu, na omba radhi kwa kuchelewesha
Dawa ya deni ni kulipa, mwenye tatizo ni wewe hata ukifungua kesi bado itakugharimu tu, ww ulikubali vigezo na masharti, sa tunalalamika nn? Kama ungelipa on time deni lao yote yasingetokea, haijalishi ulikuwa na dharura gani
Hao ni matapeli. Hivi wangapi wanakopa tena hela ndefu na hawadhalilishwi na hizo taasisi walizo kopaWataendelea kukudharirisha and next watakufuata ofisini au nyumbani ukiwa na familia yako, hao wameajiri mabaunsa wasio na akili kukusanya madeni yao
Huu ni upoyoyo! Yaani utumiwe sms kuwa fulani anadaiwa alafu umlipie pasipo kumsikiliza na yeye kama kweli anadaiwa au ni matapeli ndio wanatuma sms🤔.Inavyoonekana we si mwaminifu hata kwenye maisha ya kawaida,ndo maana kwenye circle yako umekosa hata wa kukupiga tafu hiyo 42 elfu.Jirekebishe kwa hilo, na dawa ya deni ni kulipa acha kulia lia.Ukute hata hizo T&C hukusoma.Nenda kafungue kesi uone kama hawajakushinda hao wapuuzi wa mtandaoni.
NIliitoaga mda tu hata kabla hawajaanza kutuma sms zaoCha kufanya ni ku un install hiyo app yao haraka kwenye simu. Laasivyo watachukua hadi sms zako unazomtumiaga mchepuko wako wazi forward kwa mkeo
Kuna watu kibao wanalizwa kila leo
Ni kweli washitaki kwa kuingilia privacy yako; ukiwa na mwanasheria mzuri watakulipa fidia kubwa kuliko deni hilo. Deni ni jambo lako private inayolindwa na katiba kifungu 16-1 mpaka pale mahakama itakapoamuru litangazwe. Walichotakiwa wao na kukupeleka mahakamani, siyo vinginevyo.Huenda ni mimi nilifanya makosa kwa kutopitia terms & conditions vizuri ila hawa jamaa walicho nifanyia ni uzalilishaji mkubwa sana.
Kuna app moja mtandaoni (play store) inaitwa "PESA M FINANCE".
Hawa jamaa walinikopesha elfu 42 mtandaoni kwa muda wa siku 7.
Siku jana nilitakiwa ndiyo nilipe, na jana hiyo nilikuwa kazini nikitegemea nitoke kazini jioni niwalipe pesa yao.
Lakini nashangaa jana mida ya mchana saa saba, watu wanaanza kunitumia kunipigia simu na kunifoadia sms kuwa nadaiwa.
Kumbe hii kampuni ilichofanya baada ya kunikosa hewani jana mda flani, wakatuma sms kwa watu wote walioko kwenye phone book yangu (watu zaidi ya 200) kuwajuza kuwa wananidai na nataka kuwatapeli.
Nikawa napata simu ngingi sana kutoka kwa hao watu waliotumiwa hiyo sms.
Aisee niliona ni udhalilishaji sana hii kampuni imenifanyia.
Sasa nikajiuliza walipataje majina yaliyopo kwenye simu yangu, hapo ndipo nilipokumbuka kwenye app yao ukiwa unafungua kuna sehemu itaandika "allow access to your contacts, messeges n.k" hapo ndipo walipopata majina ya phone book yangu.
Sasa tangu jana hiyo nimekosa raha kabisa baada ya kuzalilishwa na mimi nimeamua kutowalipa mpaka sasa.
Nimepata wazo la kutafta mwanasheria nikawafungulie kesi ya kunidhadhalisha wanilipe fidia, kwanini wanidhalilishe wakati dead line ya malipo ilikuwa bado haijapita.
View attachment 2910966View attachment 2910967