Taarifa kutoka TRA kuhusu kubadilisha umiliki wa chombo cha moto

Taarifa kutoka TRA kuhusu kubadilisha umiliki wa chombo cha moto

Sasa Kama Mmiliki Wa Awali Yuko Mbali au amefariki Ts means Hawawezi Kufanya Transfer?
Mamnina zao wauza magari wametesa sana wazee wastafu kwa magari ya wizi

USSR
 
Mnaosema kwamba utainunua uendelee kuitumia bila kubadilisha Labda Kama umepanga iwe ndoa ya kikristo,vinginevyo kwenye kuuza itakutoa kamasi
Labda itokee bahati umpate mjinga mjinga ndio umuuzie gari isiyokuwa na jina lako.

Vile vile Kwa wale wafanyakazi wa serikali wanao" declare " Mali akikuuzia gari anakomaa na wewe ubadilishe, hali kadhalika wahindi ndio kabisa huchukui gari mpaka ukabadilishe.

Binafsi sioni tatizo hapo hata Kama gari ni la marehemu utaratibu wa mirathi Upo na Unaeleweka kisheria.
Hii itasaidia kuzuia uuzaji wa magari ya wizi na kulipa Kodi Kwa Wakati
Wengine sisi na 'makonkodi' wa kununua na kuuza magari 3rd hand used bila kubadilisha umiliki na hayajawahi kua ndoa za kikristo.Nina miaka zaidi ya 14 nikifanya hivyo.

Labda hayo matatizo yaanze Leo asubuhi.
 
Nionalo kwa baadaye ikiwa mwitioo utakua mdogo, polisi watatumika kwenye hili zoezi. Ukisimamishwa unaombwa kadi na kitambulisho chako. Ukisema umeazima kwa siku moja gari inawekwa kituoni ukamlete mmiliki halali. Ugumu utakuja pale utakapokua umemuacha mmiliki dar na wewe uko uyole.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Tozo nyingine tena au ilikuwepo?
 
Mambo mengine huleta ugumu wa maisha tu bila sababu. Let's agree that there are issues can work better in Europe or America but not in Africa, at least in some decades to come. Otherwise watajikuta wanakosa hata hicho kidogo.
 
Back
Top Bottom