Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachotafutwa ni fine na upigaji diliWatafeli vibaya sana , au wanatengeneza mwanya wa rushwa ,
🤣🤣Ndio maana ukawasha ndinga na kusepa fastaa....Jau FC
Acha iwe watu wameuziwa magari ya wizi sana hapa mjiniTumeishaaa!
Mamnina zao wauza magari wametesa sana wazee wastafu kwa magari ya wiziSasa Kama Mmiliki Wa Awali Yuko Mbali au amefariki Ts means Hawawezi Kufanya Transfer?
Ha ha ha. Wakianza kukagua Gari nyingi tutapakiTumeishaaa!
IpoIvi kuna namna ya kujua kama unadaiwa mtandaoni...msaada kwa anae fahamu
Wasifike huko maana wakianza kumechisha taarifa za bima na kadi ya gari tutaumia sana! Maana itakuwa ni balaa leseni na NidaHa ha ha. Walianza kukagua Gari nyingi tutapaki
Safi sana Tunataka kununua Ndege nyingine 10Wakuu Someni Hii Taarifa Kutoka Mamlaka Ya Mapato Tanzania (TRA)View attachment 1968871
Mamayako Anaupiga Mwingi. Ww Ndio Unaongoza Kwa kumsifiaSafi sana Tunataka kununua Ndege nyingine 10
Wengine sisi na 'makonkodi' wa kununua na kuuza magari 3rd hand used bila kubadilisha umiliki na hayajawahi kua ndoa za kikristo.Nina miaka zaidi ya 14 nikifanya hivyo.Mnaosema kwamba utainunua uendelee kuitumia bila kubadilisha Labda Kama umepanga iwe ndoa ya kikristo,vinginevyo kwenye kuuza itakutoa kamasi
Labda itokee bahati umpate mjinga mjinga ndio umuuzie gari isiyokuwa na jina lako.
Vile vile Kwa wale wafanyakazi wa serikali wanao" declare " Mali akikuuzia gari anakomaa na wewe ubadilishe, hali kadhalika wahindi ndio kabisa huchukui gari mpaka ukabadilishe.
Binafsi sioni tatizo hapo hata Kama gari ni la marehemu utaratibu wa mirathi Upo na Unaeleweka kisheria.
Hii itasaidia kuzuia uuzaji wa magari ya wizi na kulipa Kodi Kwa Wakati
Hawa viongozi wanawaza kutukamua ili waendelee kujineemeshaNgumu sana sana kama ile ya Jamaa we TARURA wanaokusanya Parking Fee ya 500 bila kukupa taarifa
Amekuuzia halafu akafariki au amefariki halafu akakuuzia?Sasa Kama Mmiliki Wa Awali Yuko Mbali au amefariki Ts means Hawawezi Kufanya Transfer?
Eeh mmiliki huenda hata alishadedi na Covid maana upepo wa miaka hii mitatu sio mchezoMimi mwaka wa sita hata huyo mmiliki sijui yuko wapi sijui itakuwaje