Taarifa kutoka TRA kuhusu kubadilisha umiliki wa chombo cha moto


Kwani kila umiliki unapobadilika huwa lazima mali iwe imeuzwa?

Zawadi, takrima, bakshish ni kwa vigogo tu?

Mzee Mwinyi kapewa lake 500m+ kutoka mifukoni mwetu. Yeye kodi haimhusu.

Sisi wengine tukiwapa au kupewa hiyo ni batili?

Harufu ya ubaguzi ule ule ambao katiba mpya ni muhimu ikauangazia.
 
Hiv kuna menu ya kuingia kwa cm ya mkononi ili kuchek kama una deni la tochi?
 
Hahaa!
Ngoja nikamfufue baba angu aje tubadilishe umiliki wa haka ka gari ka urithi alikoniachia...
Happy birth day dad. Six years now since you departed from planet Earth to be reborn in the kingdom of Heaven!
 
Nahisi tu! Kama yupo mbali aje, kama amefariki unapeleka cheti cha kifo.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Hati ya kifo, hati ya chanjo ya Corona.

Si wote katika jamii hii wanazihitaji hati hizo hata kama chanjo wamechanjwa au kufa hata kama wamefiwa.

Mengine haya ni kutafutana uchawi tu.
 
Ndio maana tunadunda nayo bila kubadilisha kadi Wala nini,na Maisha yanaenda freshhhhhh.
Mara nyingi aliyekuuzia hakubali kitu kama hicho. Kosa lolote likitokea wanaanzia kwake. Ni usumbufu!
 
Hence: watu hawatauziana na tra Watakosa mapato

Hawa majamaa wamesomea wapi!?

Udsm ndio inaleta majitu kama haya au degree za chupli chupli?

Yaani jitu linaongea kiurahisi tu halijali yaani
UDSM imekufanya nini? una 'lnferiority Complex'
 
Sasa Kama Mmiliki Wa Awali Yuko Mbali au amefariki Ts means Hawawezi Kufanya Transfer?
Yaani serikali inaweka masharti magumu sana ya kufanya uhamisho wa vyombo vya moto. Hii ya face to face itafeli sana, kama muuzaji yuko Pemba na anayetumia gari yuko Mpanda, inamaana Mpemba analazimika kusafiri hadi Katavi kwenda kuonekana TRA na kuhakiisha umiliki na uhamisho unakamilika. Sasa hapa TRA wanakaribisha rushwa, maana taratibu za uhamisho zitapindishwa na magari yataendelea kuhamishwa na watumishi na pesa itaingia mifukoni mwao badala ya kuingia kwenye mfuko mkuu wa serikali.
 
Huu utaratibu ni kuongeza usumbufu tu.
Hao ma afisa wa TRA wenyewe watakagua wanao huo muda?
Kama kuwainua tu kwenye kiti wanadai hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…