digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Sasa mkuu unashindwa kulipa parking fee ya sh.500?Juzi nimemgumia demu anataka kuniandikia ile kaingiza T722 paaap!
Nikamshika bega,,, wewe unafanya nini hapo hebu usiniingize bana mie naondoka sasa hivi nimekuja kufanya delivery ya mzigo mda si mrefu! Huyo nikaingia ndani ya chombo na kusepa.
Kwa style ile unaweza kuandikiwa charges hata ukiwa umepaki bar bila wewe kujua aisee!
Ivi kuna namna ya kujua kama unadaiwa mtandaoni...msaada kwa anae fahamu
Shida sio kulipa shida ni kuandikiwa bila kujijua una deni sababu inaji compound on daily basis😅 sasa laiti nisingejua siningejikuta niko kwenye deni ambalo sijui hata parking ya lini nilipigwa hivyoSasa mkuu unashindwa kulipa parking fee ya sh.500?
Unaweza kuandikiwa parking fee hata kama uko kwenye foleni tu.Juzi nimemgumia demu anataka kuniandikia ile kaingiza T722 paaap!
Nikamshika bega,,, wewe unafanya nini hapo hebu usiniingize bana mie naondoka sasa hivi nimekuja kufanya delivery ya mzigo mda si mrefu! Huyo nikaingia ndani ya chombo na kusepa.
Kwa style ile unaweza kuandikiwa charges hata ukiwa umepaki bar bila wewe kujua aisee!
Yeah yani power walio nayo Tarura wanaweza kukufanya chochote wakati wowoteUnaweza kuandikiwa parking fee hata kama uko kwenye foleni tu.
Wrong start!Wakuu Someni Hii Taarifa Kutoka Mamlaka Ya Mapato Tanzania (TRA)View attachment 1968871
=====
October 8, 2021 by Global Publishers
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kumekuwepo na changamoto kubwa ya baadhi ya watu wanakuwa wamesajili vyombo vya moto lakini usajili wao ni batili, hawajasajiliwa na TRA ambapo magari yao yanakuwa yameliingiza nchini kimagendo, jambo linalopelekea magari zaidi ya moja yote yanakuwa na namba moja ya gari.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa, Oktoba 8, 2021 na Mercy Macha ambaye ni Afisa Msimamizi wa Kodi TRA wakati akitolea ufafanuzi katika kipindi cha Front Page kinachoruka kupitia +255 Global Radio huku akiwahimiza wananchi kufuata taratibu zilizowekwa na mamlaka hiyo kubadili umiliki wa vyombo vya moto ili kuondokana na changamoto mbalimbali zinazoweza kuwakumba.
“Jukumu la TRA sio kukusanya kodi tu, hata kuelimisha pia. Kabla hujanunua gari lazima au chombo chochote cha moto, fika TRA ujue kama chombo hicho ni cha halali, hakidaiwi kodi, fuata taratibu wa kubadilisha umiliki kuja kwako.
“TRA tumekuja na utaratibu mpya, unapokuja kubadilisha umiliki wa chombo lazima mmiliki wa mwanzo awepo, mmiliki mpya (aliyeuziwa) awepo na atuonyeshe kitambulisho chake, chombo lazima kiwepo maofisa wetu wakikague kuanzia Chassis Number. Unapobadilisha umiliki wa chombo lazima zile kodi za uhamishaji wa chombo zichukuliwe, TRA tukusanye mapato.
“Gharama ya kuhamisha umiliki wa chombo cha moto ni Tsh 100,000 jumlisha asilimia 1 ya gharama ya ununuzi iliyoandikwa kwenye kwenye mkataba, na huu mkataba lazima uwe legal, usainiwe na mwanasheria na aweke risiti ya huduma aliyotoa.
“Kuna wanaopewa bajaji za mkataba, anaendesha akimaliza mkataba anakabidhiwa inakuwa ya kwake lakini hawaji kubadilisha umiliki, hawa nao tunawahimiza kuja TRA kubadilisha umiliki wa vyombo vyao.
“Kwa magari ambayo yameingizwa nchini yakiwa na msamaha wa kodi, wakati yanauzwa kuna utaratibu wa kufuatwa kuhakikisha msamaha hauhami kwenda kwa mtu mwingine, mhusika arudi TRA kufuata taratibu hizo. Usiuze chombo chako cha moto bila kuhakikisha umebadilisha umiliki, unayenunua hakikisha nawe unakuwa mmiliki halali wa chombo chako,” Mercy Macha, Afisa Msimamizi wa Kodi TRA.
View attachment 1969147
View attachment 1969149
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wataanza kufanya msako soon washenzi hawa
Sioni kama hawa TRA wanakubaliana na TEHAMA SYSTEM au impact of saving time! Ninawasiwasi hata databases huwa haziko updated to reflect! Manunuzi mengi dunia ya sasa ni online systems na ndio sytem inayoingiza hela za hapo kwa hapo yaani chap chap! Kwa maamuzi mliyofanya sanasana mnatengenezavmianya ya rushwa, msongamano kwenye vituo vyenu vya TRA na watu kuambukizana corona tu na jinsi mlivyo slow 🐌 mara excuses za mtandao uko down oooh mara mtandao haujarudi! Kwa hili naweza kusema mmekurupuka na hamja crack vichwa vyenu!Wakuu Someni Hii Taarifa Kutoka Mamlaka Ya Mapato Tanzania (TRA)View attachment 1968871
=====
October 8, 2021 by Global Publishers
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kumekuwepo na changamoto kubwa ya baadhi ya watu wanakuwa wamesajili vyombo vya moto lakini usajili wao ni batili, hawajasajiliwa na TRA ambapo magari yao yanakuwa yameliingiza nchini kimagendo, jambo linalopelekea magari zaidi ya moja yote yanakuwa na namba moja ya gari.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa, Oktoba 8, 2021 na Mercy Macha ambaye ni Afisa Msimamizi wa Kodi TRA wakati akitolea ufafanuzi katika kipindi cha Front Page kinachoruka kupitia +255 Global Radio huku akiwahimiza wananchi kufuata taratibu zilizowekwa na mamlaka hiyo kubadili umiliki wa vyombo vya moto ili kuondokana na changamoto mbalimbali zinazoweza kuwakumba.
“Jukumu la TRA sio kukusanya kodi tu, hata kuelimisha pia. Kabla hujanunua gari lazima au chombo chochote cha moto, fika TRA ujue kama chombo hicho ni cha halali, hakidaiwi kodi, fuata taratibu wa kubadilisha umiliki kuja kwako.
“TRA tumekuja na utaratibu mpya, unapokuja kubadilisha umiliki wa chombo lazima mmiliki wa mwanzo awepo, mmiliki mpya (aliyeuziwa) awepo na atuonyeshe kitambulisho chake, chombo lazima kiwepo maofisa wetu wakikague kuanzia Chassis Number. Unapobadilisha umiliki wa chombo lazima zile kodi za uhamishaji wa chombo zichukuliwe, TRA tukusanye mapato.
“Gharama ya kuhamisha umiliki wa chombo cha moto ni Tsh 100,000 jumlisha asilimia 1 ya gharama ya ununuzi iliyoandikwa kwenye kwenye mkataba, na huu mkataba lazima uwe legal, usainiwe na mwanasheria na aweke risiti ya huduma aliyotoa.
“Kuna wanaopewa bajaji za mkataba, anaendesha akimaliza mkataba anakabidhiwa inakuwa ya kwake lakini hawaji kubadilisha umiliki, hawa nao tunawahimiza kuja TRA kubadilisha umiliki wa vyombo vyao.
“Kwa magari ambayo yameingizwa nchini yakiwa na msamaha wa kodi, wakati yanauzwa kuna utaratibu wa kufuatwa kuhakikisha msamaha hauhami kwenda kwa mtu mwingine, mhusika arudi TRA kufuata taratibu hizo. Usiuze chombo chako cha moto bila kuhakikisha umebadilisha umiliki, unayenunua hakikisha nawe unakuwa mmiliki halali wa chombo chako,” Mercy Macha, Afisa Msimamizi wa Kodi TRA.
View attachment 1969147
View attachment 1969149
Vipindi vingi kwenye station zetu za radio na TV vina majina ya kigeni na hasa kiingereza.kipindi cha Front Page
Hatari sanaTumeishaaa!
hahahhahah mkuu umenichekesha hapo kwa wahindi gari anakupa ila kadi hakupi mpaka mkabadilishe....waoga sana wa masekeseke wanawajua wabongo akili zao.Mnaosema kwamba utainunua uendelee kuitumia bila kubadilisha Labda Kama umepanga iwe ndoa ya kikristo,vinginevyo kwenye kuuza itakutoa kamasi
Labda itokee bahati umpate mjinga mjinga ndio umuuzie gari isiyokuwa na jina lako.
Vile vile Kwa wale wafanyakazi wa serikali wanao" declare " Mali akikuuzia gari anakomaa na wewe ubadilishe, hali kadhalika wahindi ndio kabisa huchukui gari mpaka ukabadilishe.
Binafsi sioni tatizo hapo hata Kama gari ni la marehemu utaratibu wa mirathi Upo na Unaeleweka kisheria.
Hii itasaidia kuzuia uuzaji wa magari ya wizi na kulipa Kodi Kwa Wakati
Hakuna hata haja ya kupelekana polisi wala nini,hii kesi inaishia hapo hapo kwa maana jina la kwenye kadi lazima liendane na taarifa za mlipaji wa Bima ya hiko chombo cha moto.Nionalo kwa baadaye ikiwa mwitioo utakua mdogo, polisi watatumika kwenye hili zoezi. Ukisimamishwa unaombwa kadi na kitambulisho chako. Ukisema umeazima kwa siku moja gari inawekwa kituoni ukamlete mmiliki halali. Ugumu utakuja pale utakapokua umemuacha mmiliki dar na wewe uko uyole.
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Na wewe unapotumia neno TV je hakuna neno la kiswahili linalotumika kwa kitu jicho ?Vipindi vingi kwenye station zetu za radio na TV vina majina ya kigeni na hasa kiingereza.
Je sababu ni nini wakati mazungumzo yanakuwa ya kiswahili mwanzo hadi mwisho?
Je huko Ulaya na Marekani wenzetu wamevipa vitindi vya station zao majina ya Kiswahili?
Je kuwa na majina ya kiingereza kwa vipindi vya TV na redio kuna tija gani katika ustawi wetu?
Je ina maana Kiswahili hakina majina yanayofaa kwa vipindi hivyo?