Taarifa Kwa Umma: Fact Finding Mission-Jimbo la Kigamboni

Mkuu bila kukuficha hili zoezi lako lina ukakasi mwingi sana.

Ila bila kukukatisha tamaa we endelea ila kama alivosema mdau mmoja apo juu hakikisha unakuwa na kibali cha watu wa takwimu maana ndo kazi zao hizo kabla watu hawajakuripoti ikawa noma kwako na waliokutuma.
 
Mkuu unaelewa sheria?Unaelewa sheria ya takwimu?Unajua ninachokifanya?Unajua matumzi ya taarifa ninazokusanya?Unajua iwapo nina kibali?Unajua chochote kuhusu mimi.Jibu ni kwamba you have limited knowledge.
Najua hofu ya watanzania ni kwamba hamjazoea watu kufanya mambo kisasa na ndio maana mnakuwa na hofu na mashaka.
Wewe kama ni mkazi wa Kigamboni unaweza leta maoni yako kuhusu maeneo ambayo ungependa yawe kipaumbele katia kujadiliwa kipindi hiki cha uchaguzi na pia katika miaka mitano ijayo.Hayo mengine ni hofu tu za watu
 
Huyu ni bashite mwenyewe. Kajamaa kanependa drama sana

Ni 'Mpumbavu' sijapata Kuona, halafu anadhani anaweza Kufanya hizi 'Drama' zake na wenye Akili 'tulizobarikiwa' nazo na Mungu hatutomshtukia.
 
Ni 'Mpumbavu' sijapata Kuona, halafu anadhani anaweza Kufanya hizi 'Drama' zake na wenye Akili 'tulizobarikiwa' nazo na Mungu hatutomshtukia.
Mna mu overate sana Bashite.Sipendi kuhusishwa naye.Hahusiki kwa namna yoyte ile katika jambo hili na wala kwa principles zangu sidhani kama naweza kufanya kazi na mtu wa calibre yake
 
acha porojo umetumwa na Makonda ww, au unadhani humu ndani wamejaa watoto?

Mkuu mwambie hii ni JamiiForums 'The Home of Great Thinkers' na kwamba hapa kuna Watu wana 'IQ' Kubwa kuliko Yeye na ya Makonda wake.
 

Safi sana Mkuu na labda kwa Kukusaidia tu huyu anatumika na Makonda, ili Maoni ya hapa yaende upesi kwa JPM na ateuliwe Yeye tu Kugombea.
 

Precisely Chief. Thanks for 'advising' that Fool.
 
Wewe Bashite hem tulia huko. Mbona una kihere here weweee. Unapenda kujipenyeza kama ushuzi.

Mbona unapenda sana uongozi weweeee.
Mijitu mingine bhana

Nashukuru Mkuu na Wewe Kumtambua kuwa ni Yeye. CCM Kigamboni 'wameshaamua' Kipenzi chao ni Dkt. Faustine Ndugulile tu na si P Makonda.
 
Why Kigamboni,ndiyo shida inapoanzia mkuu.....ungesema dsm kwa ujumla sawa.....ila kwa upepo wa siasa za kigamboni siku za karibuni utaonekana umetumwa tu
Mkuu,Tunaweza fanya na kwingine pia
 
Mkuu umenichekesha sana.....eti unafanya mambo kisasa[emoji23][emoji23][emoji23]......haya kila lakheri bana.
 
Afungue pm yanini. Kwendra kule unatuchafulia mazingira hapa.

Na kwa Kumsaidia tu hiyo Mbinu aliyotaka Kuitumia Kwangu siku hizi imepitwa na wakati. Najua ananitafuta sana na hii ID inamkera, ila haniwezi.
 
Na kwa Kumsaidia tu hiyo Mbinu aliyotaka Kuitumia Kwangu siku hizi imepitwa na wakati. Najua ananitafuta sana na hii ID inamkera, ila haniwezi.
dah!unakuwa kama don namilson
 
Jitambulishe tukujue we ni nani na uchunguzi wako utasaidia vipi wamanchi au mamalaka za juu.

Mkuu ajitambulishe mara ngapi tena Kwetu wakati wenye 'Akili' kumzidi Yeye na wana 'Bashite' wake wote tumeshamjua Yeye ni Paul C. Makonda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…