Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majibu yake huleta utata na gumzoHotuba zake zote zinakuaga controversial, nashauri aachane na mambo ya kuhojiwa na hotuba. Hayupo vizuri kuzungumza vitu mbalimbali
TBC ndiyo chombo chake cha PR..Salaam Wazalendo Wote
Tafadhali soma Taarifa yote Kama ilivyoambatanishwa hapo chini
View attachment 2096657
Mfanyakazi unatoa povuWafanyakazi wananyanyaswa na maafisa utumishi mapunjo hayapelekwi wizarani. Aondoe maafisa utumishi wanaofanya kazi kwa mazoea. Aweke fresh from vyuoni wilaya zote. Ataona mafanikio mapema
Muda huu anahangaika na kukariri majibuWanaohoji ni TBC, hapo ni mwendo wa mapambio tu.
Hayo maswali yote ni scripted yatakayomfanya aonekane intelligent (kitu ambacho kamwe hakiigiziki, it's either you are smart or dumb - there is no 2 ways about it). Hakuna swali la mantiki hata moja litakaloulizwa.
Hii ni kama vile mtoto kujitungia mtihani wake mwenyewe,halafu mtarajie afeli.
Bora angekuwepo na paschal mayalla namkubali sn jamaa kwenye kuuliza maswali magumu na bila kuwa na woga. Swali alilomuuliza Mh. JM lilikuwa lina uzito wa tani 7Ni jambo jema.
Mayalla maana yake ni njaa kwa kisukuma!
Ile hotuba ya mwisho, "Baki na mavi yako nyumbani".Anamfikia jiwe?
Na ile kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake tunaiweka wapi?Ile hotuba ya mwisho, "Baki na mavi yako nyumbani".
Ile lazima iingie kwenye the most controversial speech in the world[emoji2371]
Kesho birthday yake, huenda tbc ndio wamemuombaKwa hiyo ni TBC ndio wameomba kumuhoji au ni yeye ameomba kuzungumza kupitia TBC?
Wamuulize swali la mtangulizi wake kuhusu kuchoma nyavu halali Kata yakalya nini anafikiria kutufanyia wavuvi baada yakuonewa sana kiasi kile ?Salaam Wazalendo Wote
Tafadhali soma Taarifa yote Kama ilivyoambatanishwa hapo chini
View attachment 2096657
Ile kama ulikuja mjini toka barana mfuko wa rambo huwezi kuielewa,, wa mjini hawaoni shida na methali ile[emoji23][emoji23]Na ile kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake tunaiweka wapi?
Ulitaka ajiandae vipi? Hapo ndipo kajiandaa tayari.Moja ya kitu anachofeli ni namna anavyozungumza na public, hotuba zake zote huwa zina makosa mengi sana. Sijui huww hajiandai vizuri
Sio cha kuchekesha hapo..Ile kama ulikuja mjini toka barana mfuko wa rambo huwezi kuielewa,, wa mjini hawaoni shida na methali ile[emoji23][emoji23]
Rais aachane na hizi mambo za mahojiano,aje kwenye ziara mikoani