mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
CCM oyeeeeeNiende wapi mnyalu mimi karibu mishkaki Chiblak mmoja 150 wakuonja nakupa
😂😂😂mishkaki ni sh 150 kwa mshikaki mmoja,
Hakika anaupiga mwingiiCCM oyeeeee
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe napo kuna komoni inachemkia tumboni aloooo kwaiyo mmepanga kutuvuruga ubongo kabisaaaaView attachment 2942313
Kamwene: Hali ya hewa iringa leo ni nzuri sana hakuna Baridi na jua linawaka vizuri sana. Bei ya komoni ni sh 300 kwa lita 1, ulanzi ni sh 400 kwa lita, pia kuna promosheni ya Ulanzi kwa vilabu vyote Lita 2 inauzwa kwa sha 700. Bei ya kande kibakuli kimoja ni sh 100 pilipili bure, upande wa mishkaki ni sh 150 kwa mshikaki mmoja,
Ndimnofu elaa makasiUnogage.
Hahahahahahahha swela be🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe napo kuna komoni inachemkia tumboni aloooo kwaiyo mmepanga kutuvuruga ubongo kabisaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe napo kuna komoni inachemkia tumboni aloooo kwaiyo mmepanga kutuvuruga ubongo kabisaaaa
Chai ya kibabe.View attachment 2942313
Kamwene: Hali ya hewa iringa leo ni nzuri sana hakuna Baridi na jua linawaka vizuri sana. Bei ya komoni ni sh 300 kwa lita 1, ulanzi ni sh 400 kwa lita, pia kuna promosheni ya Ulanzi kwa vilabu vyote Lita 2 inauzwa kwa sha 700. Bei ya kande kibakuli kimoja ni sh 100 pilipili bure, upande wa mishkaki ni sh 150 kwa mshikaki mmoja,
Wewe ni ngonyani auNawasalimia Watani Zangu
Punguzeni Kula Mbwa MtaniWewe ni ngonyani au
Ndo mana mnamajina ya wanyama mtani harafu wafupiPunguzeni Kula Mbwa Mtani
Pia Acheni Kujinyonganyoga Kisa Mnafata Nyayo Za Chief Wenu Mkwawa.Ndo mana mnamajina ya wanyama mtani harafu wafupi