Taarifa nzuri sana kutoka iringa usikose kusoma

Nipo hapa kilabu cha Mahaba Niue mitaa ya Zizi la ng'ombe natenda maajabu huku nimekumbatia bakuli la msapulo.😎
 
Ila kwel Iringa maisha rahisi sana sema sisi tuozoea samaki wa ziwa Victoria tunapata tabu kula samaki wa huku yaan Wana uchachu falan hvi. Sarangara hapatikani hamn hotel yenye supu ya sangara au Sato
Ila maish n marahsi
 
Kuna maisha iringa mpaka unaona dar wanateseka sanaa
Nikitoka hapa,baada ya watumishi wa umma kuweka vema taarifa zangu za anwani ya makazi,natarajia kutembelea kilabu cha Wipinye na Ipogolo kwa Mwagongo kuwasabahi wanyalukolo!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
hapo kwenye mishkaki hapoo hebu nyoosha maelezo vzur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…