Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Peleka ushoqer CCM huko..Mkuu famila yako inawapenda na kauangalia ujinga wao- mtu anayeangalia wajinga na kufurahi definitely atakuwa mjinga zaidi- pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka ushoqer CCM huko..Mkuu famila yako inawapenda na kauangalia ujinga wao- mtu anayeangalia wajinga na kufurahi definitely atakuwa mjinga zaidi- pole
Mkuu,jumapili iliyopita niliacha kila kitu nikakaa mbele ya tv yangu nisikie viongozi wangu watatoa jibu gani juu ya hili jambo la bandari,nilisikia mengi,ila wote niliwasikia wakitamka neno "mkataba" sikusikia mahali wakisema makubaliano,hata diwani wangu wa zamani na mwanasheria nguli Albert msando aliuita "mkataba" mwanzo mwisho,hakuita makubaliano,mimi siasa siijui,wala siipendiCCM na serikali yake walishasema hakuna mktaba kuna maelewano; kaja yule Mh. Mwambukusi kwenye baa anasema kuna mkataba; mahakanani anasema hakuna mkataba mpaka mh. jaji akalazimika kusema kuwa anacgeza vizuri mahakamani na kwenye siasa.
Mkuu hapa hatuchezi siasa wala kesi mahakamni - hapa tujadili uhalisia- hatuli siasa mkuu
Achana na hao, hili ni jukwa la GREAT THINKER, thinkMkuu,jumapili iliyopita niliacha kila kitu nikakaa mbele ya tv yangu nisikie viongozi wangu watatoa jibu gani juu ya hili jambo la bandari,nilisikia mengi,ila wote niliwasikia wakitamka neno "mkataba" sikusikia mahali wakisema makubaliano,hata diwani wangu wa zamani na mwanasheria nguli Albert msando aliuita "mkataba" mwanzo mwisho,hakuita makubaliano,mimi siasa siijui,wala siipendi