Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Wamezoea kujitoa mhanga. Waache wajitoe mhanga. Kwa mbali namwona mwingine antazama passport na kuiweka sawa aende nchi kwake Ubelgiji.Labda uwaulize wale wanaowatuma vijana wasio na hatia kujipeleka mstari wa mbele na kupoteza maisha huko wao wakibaki majumbani kwao wanakunywa kahawa.