Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

Jamaa simpendi kichizi.
 
Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kunipigania na hatimaye nimefika hapa nilipo, kwani haikuwa kazi rahisi na wala si kwa ujanja wangu wala uwezo wangu mimi kama binadam ambae hajakamilika.
Pili napenda kutoa shukrani zangu kwa JamiiForums na members wote waliokuja kuniona nikiwa nimelazwa (ingawa najua wengi walipata taarifa kwa kuchelewa.
Nasema asante kwa members wooote mlio nijulia hali hapa jamvini, na hakika nimeuona upendo wenu ulivyo mkubwa. Na....Mungu awabariki sana!!!!
 
Amen kaka ugua pole namin utazid kuimarika.
 
Tangu ulipo fungua uzi kwamba haunipendi nilitambua mkuu, wala usitumie nguvu kubwa..[emoji1787]
Lakini kwangu mimi nina amani sana kwaku najua ninatenda mengi yalio mema "lakini sijakamilika"
Kaka naambiwa na kusoma mengi umewagusa wengi humu kwa namna moja ama nyingine natamani ningelijua mapema hilo pengine ningelisaidika.kama wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…