Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Your prayers mean the world to me..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your prayers mean the world to me..
Now unaendeleaje mkuuYour prayers mean the world to me..
Mungu amekua mwema upande wanguDuh!!!! inasikitisha sana Mungu ataingilia kati na atamponya tu.
Nimepata nafuu kubwa baada ya kutolewa chest tube, nimebakiza maumivu tuNow unaendeleaje mkuu
Mimi binafsi na furahi sana kama unaweza ku breath again Allah is great hayo yote ni majaribio ya maisha keep on kicking comrade.Mungu amekua mwema upande wangu
Glad you are back jirani... Aaagh yaani aisee nimefaarijika sana kukuona. Ulinipa mawazo sana tulivyoongea... Mungu aendelee kukupa uzima broNimepata nafuu kubwa baada ya kutolewa chest pipe, nimebakiza maumivu tu
Jamaa simpendi kichizi.Na hii ndio taarifa yake
Habari ya asubuhi wana familia.
Sisi tunaumwa, nilipata ajali mbaya tarehe 5 October na ilionekana nimepata fracture kwenye mguu, siku tatu mbela ikaonekana nimepata clavicle dissociate (mfupa wa bega ulipishana.
Na nilimuona bingwa wa mifupa tukapata matibabu (arm sling na figger of 8).
Niliendelea kupata nafuu hadi tarehe 24 ghafla nilianza kupata maumivu mapya upande wa kulia kama kichomi kikali, tulipata rufaa na sasa tupo muhimbili Sewahaji 17 room 12.
Nimetobolewa pafu baada ya kugundilika lili pata kuvia dam na uzembe ulifanyika kwa kutokugundua tatizo hilo na nikakaa na shida hiyo kwa wiki 3.
Kwakifupi hatuendelei vizuri sana lakini nashkuru Mungu naendelea kutoa damu kwenye pafu na sasa nikama inatoa usaha.
Leo kuna vipimo tutafanya pamoja na kukaa na wataalam, kama ikiwa bora zaidi tunaweza sogea kwa nchi yenye wataalamu zaidi ili tupate kupona.
Naomba mtuweke kwenye maombi n Mungu atawabariki sana.
NB: Kwenye ajali hiyo mbaya iliyohusisha madereva wawili pamoja na Ushimen! Dereva wa kwanza ambaye ndie alisababisha ajali hiyo mbaya alikufa pale pale.. Dereva wa pili aliyekuwa na Ushimen alifariki siku tatu baadae
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumuepusha ndugu yetu na kifo.. Tumuombee nafuu ya mapema
Lolote baya likukute.Nimepata nafuu kubwa baada ya kutolewa chest pipe, nimebakiza maumivu tu
Pole sana mkuu...😂Jamaa simpendi kichizi.
Amen kaka ugua pole namin utazid kuimarika.Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kunipigania na hatimaye nimefika hapa nilipo, kwani haikuwa kazi rahisi na wala si kwa ujanja wangu wala uwezo wangu mimi kama binadam ambae hajakamilika.
Pili napenda kutoa shukrani zangu kwa JamiiForums na members wote waliokuja kuniona nikiwa nimelazwa (ingawa najua wengi walipata taarifa kwa kuchelewa.
Nasema asante kwa members wooote mlio nijulia hali hapa jamvini, na hakika nimeuona upendo wenu ulivyo mkubwa. Na....Mungu awabariki sana!!!!
Tangu ulipo fungua uzi kwamba haunipendi nilitambua mkuu, wala usitumie nguvu kubwa..🤣Lolote baya likukute.
Sifurahishwi na maendeleo yako ya kiafya.
Asante mkuu..🙏Amen kaka ugua pole namin utazid kuimarika.
Kwanini umpendi?Lolote baya likukute.
Sifurahishwi na maendeleo yako ya kiafya.
Pole sana kaka, mungu ni mwema 🙏Nimepata nafuu kubwa baada ya kutolewa chest pipe, nimebakiza maumivu tu
Kaka naambiwa na kusoma mengi umewagusa wengi humu kwa namna moja ama nyingine natamani ningelijua mapema hilo pengine ningelisaidika.kama wengine.Tangu ulipo fungua uzi kwamba haunipendi nilitambua mkuu, wala usitumie nguvu kubwa..[emoji1787]
Lakini kwangu mimi nina amani sana kwaku najua ninatenda mengi yalio mema "lakini sijakamilika"
Kuna dada mmoja aliwahi kunichukia sana hapa, sasa tulipo kuja kutana kwenye party flani 2016 akaja niambia......Kwanini umpendi?
Bado haujachelewa, niombee nipone kabisa naamini Mungu ndie atatuongoza na sio kwa uwezo wetuKaka naambiwa na kusoma mengi umewagusa wengi humu kwa namna moja ama nyingine natamani ningelijua mapema hilo pengine ningelisaidika.kama wengine.