Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

Tangu ulipo fungua uzi kwamba haunipendi nilitambua mkuu, wala usitumie nguvu kubwa..🀣
Lakini kwangu mimi nina amani sana kwaku najua ninatenda mengi yalio mema "lakini sijakamilika"
Nadhani huyu ndiye anayekupenda kuliko wote hapa jamiiforum ,ila anataka aonekane tu kuwa Yuko kinyume na watu wengine,usijali mkuu afya njema
 
Inshallah.
Amin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…