Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanampa kazi sana msemaji wao!
Mbona.wengine wanasema yupo mahututi. Nani tumwamini
Sinema ndio limeanzaDahhhh.....😥
Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??
Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??
Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??
Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
ofisini za ACT wanafanya kazi Usiku?
Miaka fulani niliwahi kudanganya sasa ilifika mahali nikaulizwa maswali magumu kma haya niliishia kukasirika tu maana sikuwa na majibuDahhhh.....😥
Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??
Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??
Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??
Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
hapo sasa ndio kuna vitu vya kujiuliza vingi sanaDahhhh.....😥
Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??
Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??
Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??
Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Thus,we've got a very beautiful and magnificent theatre of our own creation comedies!🤣🤣🤣Dahhhh.....😥
Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??
Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??
Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??
Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Anachekicheki kama chai imeiva.Waziri wa mambo ya ndani anafanya Nini ofisini?
Kuna mahututi na mautiuti.Ngoja tuone the END ya tamthiliya ya the PROMISE.Mbona.wengine wanasema yupo mahututi. Nani tumwamini
Yani ni shega tu au wagada!Kutekwa ni kutekwa tu.Yani simple tu.mtu anatekwa anachukuliwa anarudishwa kapigwa au kaulizwa au hajapatikana kabisaa.na nchi ina rais ,waziri wa ulinzi,waziri wa mambo ya ndani cdf,igp .alafu fresh tu.
Yani sijui nisemeje