Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kupatikana kwa Abdul Nondo

Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kupatikana kwa Abdul Nondo

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
IMG_20241202_063951_847.jpg
 
Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
 
Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Sinema ndio limeanza
1000016676.jpg
 
Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Miaka fulani niliwahi kudanganya sasa ilifika mahali nikaulizwa maswali magumu kma haya niliishia kukasirika tu maana sikuwa na majibu
 
Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
hapo sasa ndio kuna vitu vya kujiuliza vingi sana
 
Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Thus,we've got a very beautiful and magnificent theatre of our own creation comedies!🤣🤣🤣
 
Yani simple tu.mtu anatekwa anachukuliwa anarudishwa kapigwa au kaulizwa au hajapatikana kabisaa.na nchi ina rais ,waziri wa ulinzi,waziri wa mambo ya ndani cdf,igp .alafu fresh tu.
Yani sijui nisemeje
Yani ni shega tu au wagada!Kutekwa ni kutekwa tu.
 
Back
Top Bottom