Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kupatikana kwa Abdul Nondo

Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kupatikana kwa Abdul Nondo

Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Toka niliposikia katekwa huyu sikuamini habari hii. Labda ni kutokana na chama chake, kweli mtu wa zambarau anaweza tekwa? Hii ni kiki tu
 
Umesahau. Na ina raia wapatao milioni siting. Nao wapo tu!
Na jaji mkuu yupo.
Kuhusu raia Sina Cha kuwalaumu.
Maana hii nchi inaongozwa kwa Sheria za nchi.nawalaumu Hawa ambao wamepewa hilo jukumu la kulinda Sheria na kuacha wapumbavu wachache wafanye wanavyotaka au VINGINEVYO haya matukio Yana baraka zao.mtu ana makosa mbona rahisi tu.mkamateni mpelekeni kituoni baadae mahakamani atahukumiwa Sheria si zipo?ila si hivi mnavyofanya nchi inakuwa kama DANGURO.
 
Dahhhh.....😥

Mbona tuliambiwa hajiwezi na anahali mbaya hata kuongea hawezi, aliwezaje kumuelekeza bodaboda??

Lakini najaribu kuwaza kwamba alitoa wapi pesa ya kulipia boda boda??

Hivi katika hali ya kawaida, ni boda gani anaweza kubalu msala wa kumbeba mtu asiye mtambua na mwenye hali mbaya kiasi kile??

Hivi kweli mtu alie ngongeka hadi akachakaa anaweza akakaa kwenye bodaboda??
Unauliza nauli kwa mtu kama yeye bado hawezi mbeba ?

Sugu tuliambiwa yuko ICU hali yake ilikuwaje ?
 
KWa sasa ni aheri kusingekuwa na polisi wala TISS. Tungebakia tu JWTZ, halafu tukaboresha Sungusungu.
Maana ni aheri usiwe na ulinzi kuliko ukawa na mlinzi halafu akageuka kuwa jambazi dhidi yako.
Ulitakaje Sasa jeshi lipo kwa ajili ya usalama wa raia na Mali zake Cha msingi amepat
ni aheri tusingrkuwa na polisi wala TISS, tungebakia na JWTZ na kuboresha utendaji kazi wa Sungusungu. Maana ni aheri usiwe na ulinzi kuliko ukawa na mlinzi akageuka kuwa jambazi dhidi yako.
 
Hii ndio taarifa yao katika mtandao wa X.

1733114794497.jpeg
 
Jambazi m
Uchunguzi ambao Jeshi la Polisi wanaendelea nao, ambapo hadi sasa hawajakamilisha ripoti zao;

Waliompiga risasi Tundu Lissu....Uchunguzi unaendelea

Waliomteka na kumuua Mzee Ali Kibao.....Uchunguzi unaendelea

Waliowateka akina Soka na wenzake...... Uchunguzi unaendelea

Waliotaka kumteka Kimario Bonge..... uchunguzi unaendelea

Na sasa waliomteka Abdul Nondo..... uchunguzi unaendelea 🙌

Hii Nchi ngumu sana hii saivi 🙆
Jambazi anapofanya uchunguzi dhidi ya majambazi wauaji.
 
Hii nchi inaendeshwa kishamba sana.

Halafu inakuja kima moja alievimbiwa vileja inakwambia kifo ni kifo tu.
 
Miaka na Miaka Kupotezwa kwa watu wanaonekana ni kero kwa utawala ni jambo ambalo lilikuwepo
Na hata katika nchi nyingine duniani suala hilo lipo....

Kinachoshangaza idara ya usalama siku hizi haina weledi? Inashindwaje kumfinya mtu kimyakimya kwa weledi? Idara imepoteza uwezo na inaongozwa na watu wasio na maarifa?

Sio kwamba naunga mkono watu kutekwa HAPANA ila pia nawaza uwezo na weledi wa idara zetu za usalama siku hizi
 
Back
Top Bottom