Kazi ya Polisi ikiwekwa kwenye maandishi ndio itajua kiwango cha ewezo wao kiakili. Ndio maana walipewa marungu na Bunduki just to make life easy to them. Unatunga hadithi badala ya kuelezea event chrolonogically.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya Polisi ikiwekwa kwenye maandishi ndio itajua kiwango cha ewezo wao kiakili. Ndio maana walipewa marungu na Bunduki just to make life easy to them. Unatunga hadithi badala ya kuelezea event chrolonogically.
Nondo for what it's just far popularity....CCM Vilaza ni wengi mno.acheni ujinga mnaona kwamba serikali ama chama ndo kinahusika hivi mtu wa upinzani atekwe na ashindwe kusema katekwa na watu gani jinsi wanavyopenda attention, hii mi nakataa hakuna mtekaji akuteke na usijue sababu hata ile ya mo ni danganya toto tu wa tz tunalaghaiwa hapa kuna watu wanatafuta attention tu nothing more, nondo for what it's just for popularity wa tz tuweni serious wanasiasa na wafanya biashara wanatuchezea acheni upuuzi
nani ccm hapa we zwazwa kweliNondo for what it's just far popularity....CCM Vilaza ni wengi mno.
Hawa jamaa miyeyusho tu !View attachment 3167023
Waliomteka Bonge sura zao zimeoneka dhahiri hadi wametambulika kwa majina lakini mpaka sasa hamjatoa taarifa zao ndiyo mnafanya uchunguzi waliomteka nondo ambao sura zao hazijulikani?
Sawa Hawani. Wewe ni GEN Q. Usivamie lugha za wenyewe lakini.nani ccm hapa we zwazwa kweli
huna uelewa yani wabongo mnajifanya mnajua lugha za watu kumbe mazwazwa nakuita hivyo sio kwa bahati mbaya!..😂Sawa Hawani. Wewe ni GEN Q. Usivamie lugha za wenyewe lakini.
Jamani............uchunguzi gani tena si nasikia mwamba mmoja kaacha simu yake hapo eneo la tukio pamoja na pingu..........sasa mnachunguza nini tena wajameni???........ila ipo siku .........hao vinyamkera watakutana na maroboti wapigike mpaka waombe poo........harafu tuone statement mtakayo toa itakuwa ya hivi au ya kivingine