Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kupatikana kwa Abdul Nondo

Taarifa ya Jeshi la Polisi kuhusu kupatikana kwa Abdul Nondo

acheni ujinga mnaona kwamba serikali ama chama ndo kinahusika hivi mtu wa upinzani atekwe na ashindwe kusema katekwa na watu gani jinsi wanavyopenda attention, hii mi nakataa hakuna mtekaji akuteke na usijue sababu hata ile ya mo ni danganya toto tu wa tz tunalaghaiwa hapa kuna watu wanatafuta attention tu nothing more, nondo for what it's just for popularity wa tz tuweni serious wanasiasa na wafanya biashara wanatuchezea acheni upuuzi
Nondo for what it's just far popularity....CCM Vilaza ni wengi mno.
 
Sawa Hawani. Wewe ni GEN Q. Usivamie lugha za wenyewe lakini.
huna uelewa yani wabongo mnajifanya mnajua lugha za watu kumbe mazwazwa nakuita hivyo sio kwa bahati mbaya!..😂
 
Jamani............uchunguzi gani tena si nasikia mwamba mmoja kaacha simu yake hapo eneo la tukio pamoja na pingu..........sasa mnachunguza nini tena wajameni???........ila ipo siku .........hao vinyamkera watakutana na maroboti wapigike mpaka waombe poo........harafu tuone statement mtakayo toa itakuwa ya hivi au ya kivingine
 
Kamanda Mliro anatumiwa tu kama alivyotumiwa Kamanda Mambosasa kipindi kile cha utekaji Mo Dewji.
 
Back
Top Bottom