#COVID19 Taarifa ya tume ya Corona sio yetu watuambie walikoitoa

Nimekwambia hivi kama Hili nalo la kujua kama kuna wagonjwa wa Corona nchini au hamna kwako linahitsji research.
Basi Baba ako alipoteza hela zake bure.
Bora angenunua kuku angekula mayai
kuna uwezekano mkubwa hujui nini maana ya RESEARCH and its application.
 

Wimbi la pili liliondoka na mpiga kasia namba moja.

Wimbi la tatu subiria mziki wake.

Utanyoosha tu maelezo.
 
So hiyo jumuiya ya kimataifa imeshapata dawa ya corona?
Yaani tujifunze kwa waliofeli?


Ndugu yangu zimo kweli wewe?
Hebu taja hapa nchi moja Duniani ambayo tunasema Yes.....tujifunze kupitia kwao kuhusu ishu ya corona. Moja tu.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Kinachonishangaza mimi, mbona hata hao waliochanjwa bado wanavaa mabarakoa??? kuna nini nyuma ya pazia??? nahisi watu wanamuhujumu mama Samia ki staili fulani, afarakane na wananchi, vifo hakuna, mabarakoa ya nini tena?? hivi pale Kariakoo kama kweli corona ipo kuna mtu angebaki?? na kila siku watu wapo na wanapiga mishemishe kama kawaida!! Mama awe makini na washauri wake, asipokee kila ushauri, mwingine ni wa kumfarakanisha na wananchi.
 
Kinachonishangaza mimi, mbona hata hao waliochanjwa bado wanavaa mabarakoa??? kuna nini nyuma ya pazia??? nahisi watu wanamuhujumu mama Samia ki staili fulani, afarakane na wananchi, vifo hakuna, mabarakoa ya nini tena?? hivi pale Kariakoo kama kweli corona ipo kuna mtu angebaki?? na kila siku watu wapo na wanapiga mishemishe kama kawaida!! Mama awe makini na washauri wake, asipokee kila ushauri, mwingine ni wa kumfarakanisha na wananchi.
 
Tume imegoogle report ya watu kutoka ng'ambo na kuitafsiri kwa kiswahili. Hakuna cha utafiti wala nini. Yaani wameshindwa hata kurecommend chanjo gani inayoweza kufaa kwa mazingira yetu. Report nzima imejaa recommendations za kidwanzi sana.
 
Acheni kupotosha aiseeeee, mnapata faida gani?
 
Magenge ya kupiga pesa yanarudi upya kuliko awamu ya nne
Mradi hewa wa CORONA ISIYOKUWEPO HUO UMESHAUNDWA KINACHOSUBIRIWA NI FUNGU TU LA PESA WATU WAPIGE PESA
YEHODAYA unaongelea kupiga pesa awamu ya 4. Kama wewe ni muelewa maomba nikujulishe kuwa Awamu ya Magufuli imepiga fedha nyingi kuliko jumla ya awamu zote zilizotangulia kuanzia Nyerere hadi KIKWETE.

Hakuna fisadi mbaya Kama alivyokuwa Mwendazake
 
Rais Samia aliponda uvaaji wa barakoa akafananisha na namna mbuzi anavyovishwa vitambaa mdomoni ili asile mazao ya watu wakati akipelekwa machungani.

Haya yanayoendelea kuhusu hii report ya wataalam ni katika kuweka sawa masuala yetu haswa kuhusiana na taasisi kama IMF, ili na sisi tuwe sehemu ya ustaarabu mzima wa kidunia.

Hayati aliwaudhi wakubwa wa dunia kwa kuwaonyesha kwamba na wao ni binadamu tu wenye kuweza kupingwa muda wowote ule. Watu wa aina ya Hayati ni wachache sana, na wenye madaraka makubwa ndio wachache zaidi na hutokea mara moja moja.
 
Goli sawa sio goli sawa.kazikwenu mnaokufa ni nyinyi siosisi na kuacha watoto mayatima
 
YEHODAYA unaongelea kupiga pesa awamu ya 4. Kama wewe ni muelewa maomba nikujulishe kuwa Awamu ya Magufuli imepiga fedha nyingi kuliko jumla ya awamu zote zilizotangulia kuanzia Nyerere hadi KIKWETE.

Hakuna fisadi mbaya Kama alivyokuwa Mwendazake
Alikuwa fisadi mzuri sababu alikwapua lakini tunaona maendeleo kila mitaa lami,umeme kila kijiji ba usiokatika hovyo kwa muda mrefu nk alikuwa fisadi mzuri tofauti na awamu zilizopita ambapo pesa zilikwapuliwa zikaishia akaunti zao binafsi nje ya nchi
 
Mwendazake, Maalim Seif na Kijazi wamefagiliwa na wimbi la 2.

Acheni kufuru kwa mambo ya kitaalamu
 
Walitaka kumfurahisha mama,maana hata hayo mabarakoa waliyovaa ni maigizo,hivyi hapo waliposimama wakisoma taarifa kuna tisho kubwa la corona mpaka kushindwa hata kutoa mask wakati wa kusoma ripoti? Kitisho cha hapo kipo juu kuliko kwenye daladala watu wamejaa na pa kukanyaga hakuna?
wasomi wa hivyi ni hasara kabisa.
 
Hawajui mpaka sasa wanakuna vichwa watu walivyokanyagana kumuaga JPM walitegemea mlipuko wa hatari lakini hakuna kitu
viwanja vya mpira vinajaa mashabiki,shule zetu za msingi watoto 300 darasa moja na hawavai barakoa na hakuna corona,leo ndo mnataka tukopi kwa watu wao wakijaa kidogo tu Israeli anachukua wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…