Taarifa za uongo ni silaha kubwa ya Mzungu tangu enzi

Taarifa za uongo ni silaha kubwa ya Mzungu tangu enzi

Natty Bongoman

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2008
Posts
403
Reaction score
191
WENGI wetu hata humu jukwaani wanameza kirahisi sana taarifa za habari za uongo na elimu za uongo, espesheli, historia. Ili mradi zimeletwa na mzungu... afu Cha kusikitisha, ndo wanakuwa wabishi wakubwa. Historia za uongo wa mzungu tunazijua sana sana, ila sielewi kwa nini kila kukicha akatoa taarifa - inamezwa chap bila kuchambuliwa.

Wengi wamekuwa wakali kwa putin bila kujua pande zote mbili. Wengi hawajatambua kwa nini anasema de-nazify.

Historia yetu kufikia vizazi vyetu mbeleni itakuwa ya kutatanisha na kushusha hadhi - wala sio kivingine. Hii ndio nia ya mzungu tokea enzi za warumi. Kanisa lenyewe lilianzisha JESUITS kwa madhumuni ya kupotosha elimu ili itikadi zao zitawale na watawale bila kubishiwa. Wanaamini ukimfundisha binadamu uongo kitapeli na kwa marudio, ataamini uongo kuwa ni ukweli.

Picha hapo chini na pale unapo google 'chief Mkwawa'... oneni uongo ambao utafikia watoto wetu na vizazi vyetu vya mbeleni. Wanahistoria, waandishi - jamani mtu mweusi anza kuchunguza na kuandika historia yako mwenyewe. 'Usipojua historia yako - ni rahisi kurudia makosa'.

1647113885181.jpeg

...stori mbili tofauti
 
Unalalamika site ya mzungu kupost, hivyo unamwambia mwanao alinde historia yake ili asije akaingia google akaukuta uongo akaumeza.

KWANINI USIMPE AKILI MWANAO AZINDUE GOOGLE YAKE? Kwani kuna mtu amelazimishwa kuingia wikipedia? Si ni hiyari? Kwanini sisi tusianzishe cha kwetu ili waje wasome vya kwetu vyenye ukweli?

Afrika embu tuzinduke jamani.
 
WENGI wetu hata humu jukwaani wanameza kirahisi sana taarifa za habari za uongo na elimu za uongo, espesheli, historia. Ili mradi zimeletwa na mzungu... afu Cha kusikitisha, ndo wanakuwa wabishi wakubwa...
Mkuu wazungu walituharibu akili walipokuja na dini zao tu.....walijaribu kufuta kila kitu kinachomuhusu mwafrika kwa kupitia dini zoo. Historia inasema mwanadamu wa kwanza anapatikana hapa hapa Tanzania (Olduvai Gorge) ila dini kwa uwongo wanasema mwanadamu wa kwanza ni Adam na Eva ambao ni wazungu (Wayahudi, Waarab), wapi na wapi?

Kujiaminisha ujinga ni kitu kibaya sana. Watu hawataki kusoma historia ili kujuwa ukweli wanajikita tu kuamini dini iliyotungwa na watu ili kukandamiza waafrika.
 
Mkuu wazungu walituharibu akili walipokuja na dini zao tu.....walijaribu kufuta kila kitu kinachomuhusu mwafrika kwa kupitia dini zoo. Historia inasema mwanadamu wa kwanza anapatikana hapa hapa Tanzania (Olduvai Gorge) ila dini kwa uwongo wanasema mwanadamu wa kwanza ni Adam na Eva ambao ni wazungu (Wayahudi, Waarab), wapi na wapi? Kujiaminisha ujinga ni kitu kibaya sana. Watu hawataki kusoma historia ili kujuwa ukweli wanajikita tu kuamini dini iliyotungwa na watu ili kukandamiza waafrika.
Ukweli kabisa mkuu - wametumia dini sana (wakiibadilisha ukweli unavoonyesha sisi tuking'ara).
Pamoja sana mkuu
 
Unalalamika site ya mzungu kupost, hivyo unamwambia mwanao alinde historia yake ili asije akaingia google akaukuta uongo akaumeza.

KWANINI USIMPE AKILI MWANAO AZINDUE GOOGLE YAKE? Kwani kuna mtu amelazimishwa kuingia wikipedia? Si ni hiyari? Kwanini sisi tusianzishe cha kwetu ili waje wasome vya kwetu vyenye ukweli?

Afrika embu tuzinduke jamani.
hilo nalo wazo mkuu

nani anakumbuka kilichotokea kwa DAR HOTWIRE BOARD
 
Mimi nauliza kabla ya dini zote kuja africa. Sisi tulikuwa tunamuabudu nani. Maana katika maandiko yte ya dini zote tunaambiwa akuna mtume Wala nabii mweusi sijui sisi tulikuwaga wapi enzi hizo. Tunaambiwa kwenda kuomba makabulini dhambi nakati mababu zetu walikuwa wanaomba na mambo yao yanaenda kama walivo omba.

Naomba kuuliza dini zetu sisi watu weusi zipo wapi au walichukuwa dini zetu na kuzibadilisha na kutupa zao
 
Maana Babu yangu aliniambia kitu kimoja ambacho adi sasa nakukumbuka na kuwafundisha watoto wangu. Kwamba waesrael original ni sisi watu weusi Ambao ndo waafrica kwa ujumla na makabura kumi na mbili ya bibilia ni wabantu tribe. Ambao asilimia 100 ya waafrica ndani yao kuna kibantu. Walituwekea mipaka ili tushindwe kuwa pamoja.

Kuna picha nnazo za ramani za zamani ambazo Babu alizitunza na kaniambia nizitunze kabla ajafa. Zinaonesha majina ya nchi zote za Africa yalikuwa majina ya machifu na koo zao zote. Na pia adi bustani ya Eden ipo Tanzania ngorongoro creater. Pia inaonesha Kila mkoa na machifu wake.
 
Maana Babu yangu aliniambia kitu kimoja ambacho adi sasa nakukumbuka na kuwafundisha watoto wangu. Kwamba waesrael original ni sisi watu weusi Ambao ndo waafrica kwa ujumla na makabura kumi na mbili ya bibilia ni wabantu tribe. Ambao asilimia 100 ya waafrica ndani yao kuna kibantu. Walituwekea mipaka ili tushindwe kuwa pamoja. Kuna picha nnazo za ramani za zamani ambazo Babu alizitunza na kaniambia nizitunze kabla ajafa. Zinaonesha majina ya nchi zote za Africa yalikuwa majina ya machifu na koo zao zote. Na pia adi bustani ya Eden ipo Tanzania ngorongoro creater. Pia inaonesha Kila mkoa na machifu wake.

Haha.
 
Mimi nauliza kabla ya dini zote kuja africa. Sisi tulikuwa tunamuabudu nani. Maana katika maandiko yte ya dini zote tunaambiwa akuna mtume Wala nabii mweusi sijui sisi tulikuwaga wapi enzi hizo. Tunaambiwa kwenda kuomba makabulini dhambi nakati mababu zetu walikuwa wanaomba na mambo yao yanaenda kama walivo omba.

Naomba kuuliza dini zetu sisi watu weusi zipo wapi au walichukuwa dini zetu na kuzibadilisha na kutupa zao
Naomba utafakari mambo mawili nakutupia ndugu yangu

1. Tamko la Hayati raisi wa pili Misri. Asili muarabu, alijua historia wakati ule, na ukweli wa kilichofanyika.
1647127591043.jpeg

- alikuwa anawaongelea 'wayahudi' baada ya taifa la leo la Israeli kuuanzishwa 1948.

2. Tukubaliane jamii ya wa Misri ya enzi za mafarao walioandikwa bibliani ni kama walivojichora (picha chini)
1647129002194.png


Mimi naona waswazi kama mimi pichani. Elimu ya uongo imekazana sana kutupotosha kadri teknolojia inavoruhusu. Ukiangalia sinema za holywood za stori za bibliani na ukaipigia magoti ile picha ya yesu mzungu makanisani - somo linapotea.

Tunaambiwa na maandishi...
  • Musa (Moses) alikulia Misri kama mtoto wa mfalme... siku ya tukio amuue mmisri alienyanyasa wayahudi - bado wayahudi hawakumtambua kuwa ni myahudi mwenzao hata kama alivaa mavazi ya kimisri. Mantiki inaniambia hawakuwa rangi tofauti...
  • Herode alipotaka kumuua Yahsua (Yesu), walimficha misri. Tumeshaona Misri ni ya weusi... angekuwa Yahsua mweupe mzungu angefichikaje misri
  • Makabila 10 ya Israeli (wayahudi) yalipotea - bado yamepotea.
Sijui wenzangu, ila mimi naamini dini yetu ndo hii tunayoifikiria kama ya mzungu ILA tulishapotea hadi mzungu alipotuletea tena dini yetu aliyoiteka, potosha, na kuipamba kama yake binafsi. Alipomaliza kudanganya wenzake ulaya, kaja kwetu...
 
Maana Babu yangu aliniambia kitu kimoja ambacho adi sasa nakukumbuka na kuwafundisha watoto wangu. Kwamba waesrael original ni sisi watu weusi Ambao ndo waafrica kwa ujumla na makabura kumi na mbili ya bibilia ni wabantu tribe. Ambao asilimia 100 ya waafrica ndani yao kuna kibantu. Walituwekea mipaka ili tushindwe kuwa pamoja. Kuna picha nnazo za ramani za zamani ambazo Babu alizitunza na kaniambia nizitunze kabla ajafa. Zinaonesha majina ya nchi zote za Africa yalikuwa majina ya machifu na koo zao zote. Na pia adi bustani ya Eden ipo Tanzania ngorongoro creater. Pia inaonesha Kila mkoa na machifu wake.
Nakuunga mkono kuhusu wanaIsraeli na bustani ya Eden... ila ramani 🤔
 
Ukweli kabisa mkuu - wametumia dini sana (wakiibadilisha ukweli unavoonyesha sisi tuking'ara).
Pamoja sana mkuu
Historia gani ya kuiamin kuliko dini ,hii historia ya kusema binadamu wa kwanza alikua sokwe ndio unaona bora kuiamin kuliko dini? Kwan hao sokwe sikuhizi hawapo mbona hawatoki watu kutoka kwa hao sokwe na ikiwa miaka mingi imepita .hii nayo ni historia ya huyo huyo mzungu ,binadamu wa kwanza kua Tanzania ni uongo ulio dhahiri , Ila kumbuka hiyo nayo kasema huyo huyo mzungu tena alijua hiyo miaka ya hilo fuvu kwa kutumia kemikali aliyoitengeneza huyo huyo sasa sijui unaiamin Kama kwel ina uwezo wa kugundua miaka iliyopita Mimi binafsi siamin.
 
Mimi nauliza kabla ya dini zote kuja africa. Sisi tulikuwa tunamuabudu nani. Maana katika maandiko yte ya dini zote tunaambiwa akuna mtume Wala nabii mweusi sijui sisi tulikuwaga wapi enzi hizo. Tunaambiwa kwenda kuomba makabulini dhambi nakati mababu zetu walikuwa wanaomba na mambo yao yanaenda kama walivo omba.

Naomba kuuliza dini zetu sisi watu weusi zipo wapi au walichukuwa dini zetu na kuzibadilisha na kutupa zao
Tulibadilishana nao, kama vile tunavyobadilishana malighafi na kupewa finished products. Africans bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sahivi wao waliotuletea dini nao wamezisaliti, wamekua athiest.

Afu tulioletewa ndio tumezing'ang'ania[emoji4]
Shiida sana ....dunia uwanja wa fujo......makanisa wamegeuza tu kua makumbi na ma hall ya shughuli nyingine ila huku bado yanafumuka kila siku kila mtu na kanisa lake.......
 
Back
Top Bottom